Habari wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi nina tatizo kubwa la kuongea Kiingereza. Nimekuwa nikipoteza fursa nyingi kwa sababu ya kushindwa kuwa fluent kwenye kuongea English...
Imezoeleka sasa kwa viongozi wengi kutuita wanyonge. Lakini kwa nini watumie neno hili?
Kwangu napata majibu yafuatayo:
1. Unyonge ni hali ya mtu kushindwa kujitetea hata kama anaporwa haki...
Nina hoja naleta kwenu tuijadili.
Je, mitandao ya kijamii inasaidia kuboresha lugha yetu ya Kiswahili maana watumiaji ni wengi na vile vile wafuatiliaji wa hiyo mitandao ni wengi.
Mifano hai ni...
Hivi kuchanganya kiswahili na kingeleza Tanzania tunafeli wapi huyu Alie Andika kwenye jengo hili vipi jengo la CCM Dodoma la Uchaguzi (UCHAGUZI HOUSE) neno UCHAGUZI halina Kiingereza au neno...
BADO NAENDELEA KUSISTIZA UMUHIMU WA KIINGEREZA KWA MKUU WA NCHI,NAOMBA CHUKUA MUDA SIKILIZA CLIPS HIZI ZA BINGWA WA KIINGEREZA ACCORDING TO JK BW MKAPA
INTERVIEW WITH CAPITAL TALK
MKAPA ON...
Katika kila fani kuna misingi kumi inayo fanya fani fulani iwe fani, katika misingu hiyo leo baangazia juu ya msingi mmoja ambao husomeka hivi "Kumjua yule wa mwanzo katika fani husika"
Kila somo...
Napenda kujua tafsiri ya msamiati Asasi. Mara nyingi nimesikia wakisema Asasi ya Kiraia lakini Asasi ni nini sijajua bado.
Naomba kufahamishwa, I'm deep
[emoji120][emoji120][emoji120]
Question tags, ni maswali mafupi mwisho wa sentensi. Tunatumia question tags pale ambapo tunategemea msikilizaji au msomaji kukubaliana na maelezo yetu. Mfano isn't it?, can you? wasn't it? Have...
Vitate, Vitawe na Visawe
VITATE, VITAWE NA VISAWE
Kitengo
Msamiati
MASOMO
Prev
N/A
Next
Tarakimu
Baadhi ya maneno ya Kiswahili yanaweza kuwa na maana sawa, maana zaidi ya moja au...
Nimetoa Wikipedia. The four mild Coronaviruses have a seasonal incidense occuring in the winter months in Temperate climate. There is no preference towards a particular season in Tropical climate.
Habari wanaJF,
Naombeni msaada nawezaje kujifunza kingereza cha kuongea japo nina idea nacho kidogo ila kwenye kuongea ndo shida.
Nitumie njia gani ili niweze kuongea vizuri.
Salaam kwenu wana Great thinker.
Kwa mara nyingine tena najitokeza kwenu kuwaomba mnisaidie kujua ni kitabu gani cha Sarufi ya kiingereza au kwa lugha nyingine tunaita English Gramer, ambacho...