Kupotelea ni neno sahihi?

WA MAMNDENII

JF-Expert Member
Jun 5, 2010
344
57
Naomba kujuzwa kama ni sahihi kutumia neno tajwa kwenye lugha yetu adhimu ya Kiswahili, mfano " Barua ilipotelea ofisini kwako "
 
Naomba kujuzwa kama ni sahihi kutumia neno tajwa kwenye lugha yetu adhimu ya Kiswahili, mfano " Barua ilipotelea ofisini kwako "
Mimi sio mtaalam wa lugha kwamba sikuwahi kusoma kitaalam shuleni, ila nimwongeaji nimezaliwa naongea kiswahili hivyo nitakujibu kama mswahili hasa na sio mtaalam wa lugha ya Kiswahili

Mfano #1 "Barua ilipotelea ofisini kwako"

Ni neno sahihi kabisa na dhamira ya kutumia neno "ilipotelea" na sio "ilipotea" ni kutaka kuonesha eneo ambapo hiyo barua ilipotea hivyo uzito haupo tena kwenye barua iliyopetea bali eneo ambalo hiyo barua ilipotea

Mfano #2 "Barua ilipotelea nyumbani kwako"

Itakuwa sio sahihi sana kutumia neno "ilipotea" wakati dhumuni lako ni kusisitiza eneo ambalo hiyo barua ilipotea na asio kupotea kwa barua
 
Mimi sio mtaalam wa lugha kwamba sikuwahi kusoma kitaalam shuleni, ila nimwongeaji nimezaliwa naongea kiswahili hivyo nitakujibu kama mswahili hasa na sio mtaalam wa lugha ya Kiswahili

Mfano #1 "Barua ilipotelea ofisini kwako"

Ni neno sahihi kabisa na dhamira ya kutumia neno "ilipotelea" na sio "ilipotea" ni kutaka kuonesha eneo ambapo hiyo barua ilipotea hivyo uzito haupo tena kwenye barua iliyopetea bali eneo ambalo hiyo barua ilipotea

Mfano #2 "Barua ilipotelea nyumbani kwako"

Itakuwa sio sahihi sana kutumia neno "ilipotea" wakati dhumuni lako ni kusisitiza eneo ambalo hiyo barua ilipotea na asio kupotea kwa barua
Asante mkuu kwa ufafanuzi
 
Mimi sio mtaalam wa lugha kwamba sikuwahi kusoma kitaalam shuleni, ila nimwongeaji nimezaliwa naongea kiswahili hivyo nitakujibu kama mswahili hasa na sio mtaalam wa lugha ya Kiswahili

Mfano #1 "Barua ilipotelea ofisini kwako"

Ni neno sahihi kabisa na dhamira ya kutumia neno "ilipotelea" na sio "ilipotea" ni kutaka kuonesha eneo ambapo hiyo barua ilipotea hivyo uzito haupo tena kwenye barua iliyopetea bali eneo ambalo hiyo barua ilipotea

Mfano #2 "Barua ilipotelea nyumbani kwako"

Itakuwa sio sahihi sana kutumia neno "ilipotea" wakati dhumuni lako ni kusisitiza eneo ambalo hiyo barua ilipotea na asio kupotea kwa barua
Kwa kuunga mkono hoja, ' mtu huyo alipotelea kusikojulikana', yaani, alipotea mahali kusikojulika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom