Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naona na hii, "Kichwa kikubwa bila Akili ni Adhabu kwa miguu."
1 Reactions
2 Replies
1K Views
As usual,Ni siku nyingine,, Blue Monday,,,, !!! Haya Ni maneno ambayo mwanaume huwezi kumuandikia mwanaume mwenzio,,,, kubwa la maadui ni ; "make Apo kwanza nicheke""" dah Mara "Mambo" ...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Nilikuwa namsikiliza Ahmed Ally wa Simba akihojiwa clouds FM. Jamaa ana kithembe kikali sana. Anasema Thimba live bila chenga. Hapo akaja mtu anatangaza Ndondo Cup. Anasema watacheza "Kinethi" na...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Picha yake Mwanahashima binti Sheikh. Shairi la Mwana Kupona lilitungwa ili kumnasihi jinsi ya kuwa mke mwema. Shairi hili lilitafsiriwa 1934 na Alice Werner na William Hitchens kwa mada ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kigezo kipi kimetumika kutoa Taarifa ifuatayo.?? "AMUUA MKE WAKE NA KISHA YEYE MWENYEWE KUJIUA." Kupitia kauli hiyo tunaweza kuwa tunamlinda muhalifu bila hata kufahamu. Ukifanya Tathimini...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
USICHEZEE BAHATI. Wewe si mzuri sana, punguza kuniringia Wazuri nimewaona, sura zao zavutia Na mengi wewe hauna, ila nimewakimbia Moyo umekuchagua, kwako nikama bahati.. Wangapi wamenitaka...
5 Reactions
4 Replies
1K Views
Naongea Lugha mbili ambazo almost kila mtu wa EA anaongea (Swahili and English) Ningetamani kujua Lugha hii ya wenzetu kama lugha ya tatu, Maana naikubali na nimefuatilia inaongelewa na nchi zaid...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
We always experience deaf communicating through the use of sign as we name Sign Language. Every sign used by deaf in different countries are different from one county to another due to the...
0 Reactions
0 Replies
594 Views
Kamusi ya Kiingereza ya Oxford (OED) ambayo ni kamusi kubwa zaidi ya lugha ya Kiingereza imeongeza maingizo 200 mapya na yaliyosahihishwa kutoka Kiingereza cha Afrika Mashariki, ambayo kimsingi...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna demu hapa Anatumia ooh! my God vibaya, nimemsifia ana kucha nzuri na vidole(Hand) ety kakaanza na ooh! my God 😅😅😂 Tumia kwenye vitu kama , Watu wanne wamesagwa na kata Pila, au vitendo vya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari ndugu wanajukwaa Naomba kufahamishwa tofauti kati ya maneno kungwi, somo na nyakanga
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kumbe hili jina linaweza kutumiwa na muumini kama jina lake? Huyu ni mwenyeji wa Morocco. Na leo kwenye fainali namuona hapa. Muongozo tafadhali FaizaFoxy adriz Kisai
2 Reactions
105 Replies
7K Views
Sheheni za siraha, dunia uwanja wa fujo, Atomiki makombora, jehanamu ya fumbo, Kisiwa cha miba, wenye nguvu ulimbombo, Utu umetoweka, mauaji kila uchao. Kiburi chao pesa, zilizofungwa kwenye...
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Kwa nini 7/7 na si tarehe nyingine? Tarehe iliyopendekezwa ya siku ya Kiswahili duniani ni tarehe 7 mwezi Julai kwa kuwa katika tarehe hiyo mwaka 1954 ni siku ambayo chama cha Tanganyika African...
0 Reactions
2 Replies
716 Views
Jamani Mnaonaje matumizi ya Kiswahili katika usaili wa kazi….toa maoni yako
2 Reactions
47 Replies
3K Views
Wajuvi wa mambo nisaidieni@ niliishia form four division5
1 Reactions
82 Replies
24K Views
Mwanafunzi angejibuje kama Mwl. wake muda wote anatumia Kiswahili.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba huu uzi utumike kuelezea maneno ya aina moja yenye maana moja kwa makabila tofauti tofauti mfano neno kuigota linapatikana katika makabila ya wakurya na wasukuma na lina maana moja ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ebu tuyaweke maneno mblimbali humu tunayoyajuwa na yanatumika kwenye Kiswahili. Mfano Rais la kiarabu Shukrani tena kiarabu Tuendelee...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Wanajopo habari ya Jumapili, Wale mnaokumbuka kozi/somo tajwa hapo juu, yani, COMMUNICATION SKILLS, ninawaomba Kiswahili chake rasmi. Shukrani
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom