Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari wana JF Ukiachilia maneno kama 'kaa' na 'paa' ambayo Yana maana zaidi ya moja. Je, ni maneno gani mengine?
1 Reactions
85 Replies
22K Views
Kwa anayejua maana ya huu msemo " ulimwengu hadaa, binadamu shujaa"
1 Reactions
3 Replies
10K Views
Kiingereza, kifaransa, kiarabu, na kiispania ndio lugha zinazo zungumzwa na watu katika nchi nyingi duniani. Kiingereza karibu makoloni yake yote ndio lugha wanayotumia, hali kadhalika kwa...
0 Reactions
36 Replies
10K Views
Wakuu hii kitu "Kuhudumia" naona haiko sawa kabisa Kama vile wengi wanavoitafsiri. Wengi naona wanaichanganya na neno "Kuhonga" Mtu ukimpa au kumlipia hela ya kula, mavazi , au makazi (Mahitaji...
7 Reactions
32 Replies
3K Views
Mwenye kujua naomba anijulishe tafadhali. Kama anajua na maana ya jina itakuwa vizuri zaidi. With much thanks in advance.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hilo neno lina maana gani maana nalisikiaga vijiweni huko[emoji41] Sikiliza weee pimbi
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Huku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE...
22 Reactions
410 Replies
51K Views
Habari za leo wapendwa, leo nimekutana na changamoto moja ambayo imenifanya niwaze sana japo najua kuna majibu yake humu ndani. Naomba kujuzwa Pacha wa tatu au nne kuzaliwa anaitwaje kwa lugha...
1 Reactions
20 Replies
12K Views
Bongo hapa kila kitu shida, kama mambo madogo haya yanakosewa hivi,je masuala serious itakuaje? Kama Kingereza kimetushinda tukipe nguvu Kiswahili 😂😂😂😂 Hii ndio nini sasa👇
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Hello my jf friends[emoji112] hii ni thread yangu ya pili nabandika hapa jukwaani lakini sio kwamba niko expert sana kwenye haya mambo ila ni passion tu ndo inanisukuma pia napenda kushare kama...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu wadau, Naomba kujuzwa kitaaluma vioo vya pembeni vinavyomuongoza driver katika kuendesha gari au pikipiki vinaitwa SIDE MIRRORS au SITE MIRRORS kwa kuwa watu wengi hutamka kati ya maneno...
1 Reactions
61 Replies
18K Views
Wataalamu wa lugha naombeni mnieleweshe. N.B kama hujui usicomment nisije nikakupiga bure!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msaada tutani wa mtu anayejua hii lugha
1 Reactions
2 Replies
716 Views
Salaam kwenu wakuu. Natumai mnaendelea vyema na majukumu ya ujenz wa Taifa letu kupitia Royo Tawa ya uswazi. Ammaa baad. Naomba msaada wa kujulishwa maana ya kingereza ya msamiati wa kiswahili...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Naomba msaada wa kutofautisha haya maneno 1. CUSTOMER Vs CLIENT 2. OBLIGATION Vs DUTY 3. GUARANTEE Vs. WARANTEE
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwenye Kamusi ya mtandaoni neno Funnel limetafsiliwa km "bomba".Je ni sawa au kuna neno lingine sahihi?
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Tafadhali naomba kujua misemo/nahau zifuatazo kwa kiingereza zinasemwaje 1. Usichezee shilingi katika tundu la choo 2. Huruma isizidi uwezo.
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau, hasa wale wa mambo ya urembo hv vitu viwili nimekuwa nikivisikia sana na mpaka leo sijajua utofauti mkubwa ni upi maana Kuna mama mmoja aliwahi kunionesha Pete zake 2 akanambia moja ni...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Unakuta mtu badala aandike neno kwa usahihi analiandika katika matumizi ya herufi ambayo siyo na huku ni kuzuoesha wengine matamshi ambayo mwisho wa siku yatazidi kuharibu lugha ya kiswahili...
3 Reactions
49 Replies
16K Views
Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina...
24 Reactions
174 Replies
12K Views
Back
Top Bottom