The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,905
Neno mzigo Lina maana nyingi sana....
Mzigo - pesa ....Utasikia jamaa ana mzigo..
Mzigo - mchepuko...Utasikia Yule dada mzigo wa jamaa...
Mzigo- makalio makubwa ...Utasikia Yule dada ana mzigo....
Mzigo ..-kifurushi...
Mzigo - mtu asiekuwa na faida..
Utasikia jamaa keshakuwa mzigo Kwa familia yake..
Mzigo - mashine kubwa Kwa wanaume ..Utasikia wadada wanamsifia ana mzigo...
Hili neno ...Lina maana nyingi sana...hebu wengine waongeze..
Mzigo - pesa ....Utasikia jamaa ana mzigo..
Mzigo - mchepuko...Utasikia Yule dada mzigo wa jamaa...
Mzigo- makalio makubwa ...Utasikia Yule dada ana mzigo....
Mzigo ..-kifurushi...
Mzigo - mtu asiekuwa na faida..
Utasikia jamaa keshakuwa mzigo Kwa familia yake..
Mzigo - mashine kubwa Kwa wanaume ..Utasikia wadada wanamsifia ana mzigo...
Hili neno ...Lina maana nyingi sana...hebu wengine waongeze..