Kakira Member Joined Jun 11, 2023 Posts 7 Reaction score 5 Jul 12, 2023 #1 Katika matumizi ya simu tunakuta alama: * inatamkwa nyota. # inatamkwa alama ya reli. Kwanini * isitamkwe alama ya nyota sababu sio nyota kihalisia.
Katika matumizi ya simu tunakuta alama: * inatamkwa nyota. # inatamkwa alama ya reli. Kwanini * isitamkwe alama ya nyota sababu sio nyota kihalisia.
Carasco Putin JF-Expert Member Joined Apr 23, 2022 Posts 13,171 Reaction score 37,343 Jul 12, 2023 #2 Nyota