Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kula ilonona Niliyowaza ni mengi, hadi kuandika hili Ni usia wa mvungi, aliompa Sadali Wa kilemba au shungi, kila mtu yake hali Kama wataka haramu, basi kula ilonona Usifanye kwa kuiga, kuona...
1 Reactions
1 Replies
462 Views
Sina wivu na wewe, kwani huyu ni mkeo Ananifwata mwenyewe, toka kale sio leo Natamani uelewe, kisha uwe na upeo Mkeo kaanza kwangu, na mimi ndio wa mwanzo. Mimi sinayo makosa, japo siyatendi mema...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Similarities between Bantu Swahili, Zulu, Shona, Sotho and Luhya. Elephant Ndovu(Swahili) - indlovu(Zulu) - Nzou(Shona) Inzofu - Luhya Tlou - sotho Meat Nyama(Swahili) - inyama(Zulu)...
0 Reactions
1 Replies
538 Views
Muishi milele wadau wa jf Naomba kufahamishwa maana za maneno haya kama yanavyotumika katika dini yakiislamu; - Juzuu - Kuran - Msaafu - Ulamaa Karibuni
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Nipo natafakari namna nchi hii imekuwa, hakuna jambo baya kama kumtambua mtu na kumponda kwa kutumia kiashiria cha kabila lake. Hivi karibuni kumezuka tabia ya watumiaji wa mitandao hasa katika...
30 Reactions
409 Replies
36K Views
NAJIPA MOYO. Matatizo niliyo nayo, kuyabeba ni michosho Lakini hali iwayo, naloa maji ya jasho Bado ninajipa moyo, kuwa nitapata kesho. Ninapotazama mbele, giza nene naliona Lini nitafika kule...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Natumai nyote muwazima wa afya ya akili na mwili. Leo napenda kuweka sawa matumizi sahihi ya majina haya haya ambayo yamekuwa yakitumika visivyo kuwakilisha rika na jinsia ya kundi husika la watu...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Ni mtu anayefurahia mateso ya wengine mfano Akiona unapata mshahara milioni mbili anataka upungue upate milioni moja. Akiona watoto wako wana amani na furaha anataka kukufukuza kazi ili dunia...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Unakutana na mwanamke au mwanaume amevaa kapendeza ananukia marashi kwa mtazamo unakubali kuwa ni full package. Shida inaanza pale anapoongea unakuta na ile lafudhi yenyewe ya kikabila mpaka...
26 Reactions
126 Replies
5K Views
Jaman nauliza mimi ni wakiume na nina mjomba wangu sas je mtoto wake huyo mjomba nitamuitaje? Au huyo mtoto ataniita mimi nani?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Tulifunzwa kula kile kilichowekwa mezani na kukithamini, tukafunzwa kuridhika na vile vichache ambavyo vilipatikana majumbani mwetu. Tukakua tukivaa nguo ambazo wazazi wetu walimudu kuzinunua...
6 Reactions
4 Replies
487 Views
Hebu andika sentensi ya maneno kumi tuone uwezo wako wa kuandika Kiswahili.
2 Reactions
75 Replies
3K Views
Mzungu mmoja aliwahi kunikebehi akasema sisi Waafrika kwy Kiswahili tunamuita mtu toka nchi za Magharibi Mzungu, akaniambia ebu sasa ondoa herufi z kwenye neno Mzungu alafu ulisome. Akajinasibu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kingereza kinafundishwa kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuu, kwanini watanzania watafasiliwe Kiingereza kwenye mikutano yetu na wageni? Hii ni aibu kubwa kwa taifa, elimu yetu na hata Chama...
0 Reactions
8 Replies
669 Views
Hapa nimejitahidi kuandika baadhi ya maneno ambayo Lugha ya Kiswahili imeyatohowa na kuyatia kwenye msamihati wake. Mnakaribishwa kuchangia maneno mengine ambayo, hapa hayapo, si lazima yawe...
0 Reactions
30 Replies
37K Views
Kwa mfano nimepigiwa na rafiki yangu nataka kumueleza nipo kwenye basi kwa kingereza ipi ni sentencing sahihi kati ya hizi. Which is correct, “I am in the bus” or “I am on the bus”?
3 Reactions
19 Replies
1K Views
WAJA Dawa ya kipwepwe nini, Siyo maji na sabuni? Basi jipu tumbueni, Mnayemhofu nani? Mtachopoteza nini? Mkidai kwani shani! Kuna nini utaani, Hadi muogope nari? Ona mwafanyiwa ndaro, Muishipo...
1 Reactions
3 Replies
454 Views
Karibuni Wote pia mnao kijua Kiitaliano tupeane maujuzi.
2 Reactions
74 Replies
6K Views
Salaam ndugu zangu, Kiswahili ni miongoni mwa lugha zinazokua kwa kasi kwa sasa ulimwenguni. Lugha hii inazidi kusambaa Kijiografia pamoja na kuongeza idadi ya wazungumzaji kila kukicha. Pamoja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mke wangu aniamsha, usiku saa sita, Machozi aomboleza, simu anonyesha, Habari mbaya napata, usingizi unakata, Akili yangu kataa, Magufuli amekufa. Tarehe kumi na tano, ndoto ninaota, Aniijia...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom