Jukwaa la Historia

ALIPOISHI BABA WA TAIFA BAADA YA KUACHA KAZI YA UALIMU 1955 Hapo ilipo nyumba hii ilikuwapo nyumba ya kawaida ingawa kwa wakati ule nyumba hiyo ilikuwa nyumba ya kuvutia pia. Nyumba hiyo ilikuwa...
5 Reactions
2 Replies
2K Views
From Adam hadi Abraham (around 2000 years) patriachs ndio walikua watunzaji wa tumaini la injili. From Abraham hadi Yesu (around 2000 years) Abraham, Isaac, Jacob na uzao wao (Taifa la Israel la...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
GREAT DISAPPOINTMENT Great disappointment katika harakati ya Millerite ilikuwa majibu ambayo yalifuata tangazo la mhubiri wa Baptist Miller kwamba Yesu Kristo atarudi Duniani kufikia 1844, kile...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
KINYOZI MWINGEREZA NA BARZA YAKE KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA Miaka ni 1950 kuendelea hadi 1960 hapo kwenye hiki kiwanja na hilo jengo alikuwa kinyozi jina lake Muingereza. Mwingereza...
5 Reactions
4 Replies
2K Views
LEO KATIKA KUMBUKUMBU KUTOKA IKULU Naangalia picha hiyo hapo chini iliyowekwa na Ikulu kama kumbukumbu na kwa hakika imenirudisha nyuma. Ninapogeuza shingo kuangalia nyuma mimi hupenda kuingia...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
JENGO LA AL JAMIATUL ISLAMIYYA FI TANGANYIKA Lango kuu la kuingia jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) lililojengwa katika miaka ya mwanzoni miaka ya 1930...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NGOME NDOGO ALIYOJENGA HERMANN VON WISSMAN BAGAMOYO Kiasi cha miaka 10 iliyopita nilifika kwenye hii ngome ndogo aliyojenga Hermann von Wissman wakati jeshi lake lenye askari wa Kinubi na Kizulu...
9 Reactions
7 Replies
2K Views
MTOTO WA GEREZANI ANAGOMBEA UBUNGE CANADA Originally a native of Tanzania, I immigrated to Canada settling in Ottawa where I graduated from Ridgemont High School, followed by attending the SUNY...
9 Reactions
27 Replies
3K Views
OFISI YA EAST AFRICAN MUSLIM WELFARE SOCIETY (EAMWS) DAR ES SALAAM Hilo jengo hapo chini ndipo ilipokuwa ofisi ya East African Muslim Welfare Society (EAMWS)kabla ya kupigwa marufuku na serikali...
2 Reactions
1 Replies
982 Views
Kwa wale waliosoma History huyu ndiye Luteni Zachariah Hans Pope wa JWTZ alieshiriki Ktk jaribio la mapinduzi ya kumpindua baba wa Taifa mwl JK Nyerere 1982 akishirikiana na kina kapteni Eugene...
4 Reactions
55 Replies
25K Views
Mwenye kufahamu vyema historia ya mwafrika mwenzetu anayetajwa kama mtumwa jeuri naomba atujuze hapa jamvini. Nawasilisha. ===== KUNTA KINTE NA SIMULIZI YA UTUMWA WAKE HUKO AMERIKA KUNTA...
4 Reactions
25 Replies
6K Views
Mimi napenda kujua kwa mwenye habari zinazohusu kesi ya uhain ktk miaka ya tisini na kifo cha komando tamimu kilitoke vp mwenye kujua aniabarishe hapa jamvin
1 Reactions
157 Replies
75K Views
Wengi huita siku ya MaShambulio ya al-Qaida dhidi ya Marekani, Mashambulio ambayo yalichukua takribani uhai wa watu zaidi ya 3000. Kulitokea mashambulio Manne ambayo yalitumia ndege Nne...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Redirect
Wapendwa nimewahi kulisikia jina hili kwenye wimbo wa Stamina baadae nikaambiwa ni jina la mtu na alikuwa na historia yake,naomba mwenye kufaham tafadhal atueleze KUNTA KINTE alikua ni mtu wa aina...
0 Reactions
Replies
Views
Ni vizuri viongozi wa Tanzania (na viongozi wa Afrika) wakayajua Majina haya Matakatifu ya kwenye Biblia: Adonai YAHWEH na Adonai Yahushua Masiha. Labda hii itawasaidia wawe viongozi bora. Ni...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mtaa wa Congo upo Kariakoo Jijini Dar es Salaam Mtaa huu umekuwa Maarufu sana kwa Wingi wa Watu toka Mwaka 1920 mpaka leo. Je, UMAARUFU wa Mtaa huo ni NINI? Kwanini Muda wote una Watu Wengi...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Hapo zamani, wafanyabiashara wengi walitokea na kutafuta masoko na fursa za kibiashara nje ya mipaka ya nchi yao. Moja kati ya safari ndefu ilikuwa ni ile ya kulizunguka bara la Africa ili kuweza...
11 Reactions
20 Replies
4K Views
  • Redirect
"Tunamshukuru sana Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia fedha zaidi ya bilioni 200 kwa lengo la kutandaza Mkongo wa taifa wenye urefu wa 4244Km kwa kushirikiana na Shirika la umeme Tanzania...
0 Reactions
Replies
Views
DOME OKOCHI BUDOHI "MAU MAU" NDANI YA TANU? Kadi ya TANU ya Dome Budohi ni no. 6. Dome Budohi alikuwa Mluya kutoka Kenya lakini alikuwa mwanachama na kiongozi wa TAA na hivi ndivyo alivyoweza...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo asubuhi nimepata picha ya meli iliyokuwa ikijulikana kama ''Karanja,'' Meli hii ina historia ya pekee kwa vijana wengi wa Dar es Salaam ambao walikuwa wanawania kwenda Ugiriki kutafuta kazi...
5 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom