Its TBT day lets motivate...
Naam!
Alikuwa ni mtu mweusi, alikuwa akifahamika kwa jina la Madam CJ Walker (1867-1919) alikuwa ni milionea wa kwanza wa kike kule US. She was a self-made milionea...
Jina lake ni Mtwa Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga, mtoto wa Chifu Munyigumba. Ukitaka kumzungumzia wala usizunguke sana, sema tu Chifu Mkwawa inatosha.
Kwa nini aliitwa Mkwawa? Hilo linatokana...
Kidada Jones na Tupac walikua na mahusiano ya kimapenzi yaliyodumu kwa muda mfupi tu mwaka 1996. Walikutana mwaka 1995, kwenye Club moja huko mjini Los Angeles na wakaanzisha uhusiano wa kimapenzi...
Alizaliwa nchini Jamaica na alisomea nchini Canada, alipata shahada ya kwanza katika biochemistry.
Kwa kuwa anatoka katika familia ya Kikristu, maisha yake ya awali aliishi kama Mkristu.
Wakati...
SALUM ABDALLAH NA CUBAN MARIMBA CHACHA BAND "MKONO WA IDDI"
Katika utoto wetu tukiisikia nyimbo hii ya Salum Abdallah inapigwa TBC tunajua Iddi imeingia.
Watoto wa kike wako uani wanapakwa hina...
"Ndugu Rais ninazo habari mbaya. Kumekuwa na Mapinduzi nchini Ghana."
"Unasema nini? Nkrumah aliuliza.
" Mapinduzi nchini Ghana. " akarudia balozi wa kichina.
Nkrumah alikuwa Peking .Hiyo...
PART 1:
[emoji100]Sio tu Marekani yote, we ukipata muda nenda kawaulize hata FBI kuwa huyu John Herbert Dillinger aliwafanya nini!!?, wasipokujibu nenda Kapitie Mafaili yao, Utapata majibu huko...
MNA NINI NDANI YA KITABU CHA SHEIKH PONDA?
Ili kitabu kiwe kitabu lazima kiwe na elimu mpya yaani ile ambayo jamii haijui.
Hii elimu mpya ndiyo roho, moyo na maisha ya kitabu kwani kitabu kina...
Mwanzo nilidhani mzaha Prof. Kabudi ambaye alikuwa mwalimu wa chuo kikuu Dar essalaam alipoteuliwa na Magufuli kuwa Waziri alisema anamshukuru rais kwa kumtoa ktk jalala. Wenye Akili tulistuka kwa...
Hivi serikali ya Tanzania wamefanya juhudi gani kuishinikiza ujerumali warudishe mafuvu ya viongozi wetu?
Hadi leo nahisi Mangi Meli bado roho haijapumzika kwa amani serikali yetu haijafanya...
Mzee Selemani
John Okello, hapa nakumbuka walitoka watu, wametoka watu hapa wakenda Pemba. Kwa hali ya kiuchunguzi. Je, Pemba tunaweza kuwapata wenzetu tukaja kusaidiana hapa? Wakatupa motisha...
Maamuzi ya Zanzibar
Mwaka 1991 Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ilikutana mjini Zanzibar na kufanya mabadiliko ya Azimio hilo.
Akizungumza na wazee wa chama, viongozi wa Taifa...
Wakuu zangu ningependa sana kujua kwa nini nchi yetu haikuweka record za kumbukumbu ya watu muhimu ktk Historia ya nchi yetu. Watu ambao leo hii wangeitwa mashujaa wa kweli. Watu ambao sisi...
(The Most Intelligent Criminal In History?)
UZI [emoji897][emoji897][emoji897][emoji116]
[emoji100]Anaitwa Liu Zhaohua, mshindi wa 2 katika mashindano ya somo la chemistry akiwa shule...
Mkuu wa kikosi cha Polisi cha Usalama wa barabarani ACP Ramadhani Ngazi asema kuna changamoto za kiusalama. Ni kwenye baadhi ya mikoa kutokana na ujambazi n.k Akitaja maeneo ya Rukwa, Katavi...
CHURA WA KIHANSI
Taxonomy
👉Kingdom⟹ Animalia
👉Phylum ⟹ Chordata
👉Class ⟹ Amphibia
👉Order ⟹ Anura
👉Family ⟹ Bufonidae
Vyura wa kihansi kwa jina la kisayansi wanajulikana kama...
Familia yake ilifanya misa ya kumbukumbu jana nchini Morocco, hao wamama wawili ni wajane wa Mobutu na ni mapacha kutoka tumbo moja. Hawa wanaume ni watoto wa Mobutu.
Mobutu aliwekeza mali...
Kuna clip inazunguka mitandaoni ikieleza mengi kuhusu Tanganyika.
Kubwa linaloshtua watu wengi ni kusema imani kuu nchini ni Ukristo.
Nimeandika makala hiyo hapo chini kutanabaisha kuhusu historia...
Watoto Ni kawaida yao kumuamini mzazi wake kwa 95% kuzidi lolote/yeyote 5% kwa kuwa anafahamu mzazi Ni binadamu salama kwake kuzidi binadamu yeyote..
NI muhimu kutumia fursa hii ya kubahatika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.