Adil_101
Senior Member
- Jul 26, 2022
- 110
- 339
Mnamo Agosti 28 mwaka 1963, karibu watu 250,000 walikusanyika kaika bustani ya kihistoria ya Lincoln Memorial mjini Washington-DC kumsikiliza mtu huyu akizungumza.
Jina lake lilikuwa Dkt Martin Luther King Jr na maneno aliyosema yanakubalika kote duniani hadi wa leo.
Dkt King, mwana wa kiume wa mhubiri kutoka Jimbo la Georgia kusini mwa Marekani, alikuwa na ndoto kuwa maisha ya watoto wake yatakuwa tofauti na jinsi maisha yake yalivyokuwa.
Jina lake lilikuwa Dkt Martin Luther King Jr na maneno aliyosema yanakubalika kote duniani hadi wa leo.
Dkt King, mwana wa kiume wa mhubiri kutoka Jimbo la Georgia kusini mwa Marekani, alikuwa na ndoto kuwa maisha ya watoto wake yatakuwa tofauti na jinsi maisha yake yalivyokuwa.