Jukwaa la Historia

On JF:

CASSIUS CLAY 1964 Hii picha ilikuwa maarufu sana miaka ya 1960. Ilipigwa siku Cassius Clay alipomshinda Sony Liston na kuchukua mkanda wa uzito wa juu wa masumbwi. Kwangu mimi picha hii...
11 Reactions
35 Replies
2K Views
PETER TOSH, ALIKUWA MTU WA KUUAWA TU(a man who must be killed), KWA SABABU ALIKUWA MTU NA NUSU, HAKUWA MTU WA KAWAIDA Bunny Wailer amnyooshea kidole mjane wa Bob Marley, Rita Marley. Ulikuwa ni...
20 Reactions
26 Replies
12K Views
HAYA NDIYO MAKOBAZI Makobazi ni viatu vinavyovyaliwa kwa wingi na watu wa Pwani ya Afrika ya Mashariki. Hivi ni viatu wanavyovaa wanaume. Juu ataweka kofia pengine ya ya mkono. Itafata kanzu...
13 Reactions
50 Replies
4K Views
Maqam Ibrāhīm ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la...
21 Reactions
113 Replies
12K Views
Naomba niwapatie ukweli ninaoujua kwa kutafiti na kufuatilia kuhusu uwepo wa Wakurya wengi jeshini na madai kwamba Nyerere aliwapeleka jeshini Kwanza niseme hivi, ni kweli kwamba Wakurya ni...
22 Reactions
80 Replies
14K Views
Wakati wa vita ya Kagera, Brigedia namba 207 ambayo ndiyo hasa ilikuwa ya kwanza kuusogelea mstari wa adui, iliongozwa na Meja Jenerali John Butler Walden. Kwa usiku mitatu, Walden alipita katika...
3 Reactions
6 Replies
4K Views
Jina lake halisi ni (Sultan Haji Hassanal Bolkiah Mu'izzaddin Waddaulah ibni Al-Marhum Sultan Haji Omar Ali Saifuddien Sa'adul Khairi Waddien Sultan and Yang di-Pertuan) wa Brunei taifa lilopo...
20 Reactions
110 Replies
20K Views
SALUM ABDALLAH NA CUBAN MARIMBA CHACHA BAND Kuna wakati huwa kuna mambo nayajua lakini huogopo kueleza kwa hofu kuwa wasije watu wakaniita muongo. Naogopa wataniita muongo kwa sababu...
8 Reactions
16 Replies
4K Views
AMOS KISENGE APEWA BARABARA Amos Kisenge amepewa barabara kwa kutambua mchango wake katika kupigania uhuru wa Tanganyika. Bahati mbaya hapo nilipokuta picha hii haikuelezwa Barabara ya Amos...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
1995 Benjamin William Mkapa anachukua fomu ya kugombea Urais, gazeti moja kwa kebehi likaandika "Mkapa naye achukua fomu." Hili neno "Naye" kwa sisi wana fasihi tuliona ni dongo, maana kipindi...
9 Reactions
24 Replies
4K Views
Naitafsiri kidogo Ile posting ya JF ya Jager Master ya Dec, 2011. Hii makala ya 2001, imeandikwa na kachero Wayne Madsen. Anasema Marekani Wana kambi Cyangugu, Rwanda karibu na mpaka wa Congo...
14 Reactions
41 Replies
6K Views
SIKU YA WANAWAKE DUNIANI/SIKU YA WANAWAKE TANZANIA Picha hiyo hapo chini nniliipata kwa Jim Bailey aliyekuwa akimilika gazeti la DRUM. Picha hii haikuwapo kabla ya mimi kuipata na kuiweka...
0 Reactions
1 Replies
796 Views
Ni wachache sana kukuta mtu anaeleza vita vilivotokea kwenye taifa moja kwa jina Macedonia. Vita hivi vilianza 1991-2001. Mwendelezo wa vita hii ni sababu za ethnic conflict kujikuta taifa...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Taarab ina historia ndefu katika muziki wa Tanzania kama ulivyokuwa muziki wa dansi. Wapenzi wa taarbu wa zamani waliiweka taarabu katika vyanzo kama Taarab ya Tanga, Taarab ya Dar es...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WANACHAMA WA CHAMA KIPYA CHA SIASA WAMEKUJA KUHAKIKIWA NA MSAJILI WA VYAMA ARNAUTOGLO HALL 1993 Asubuhi na mapema tulikuwa tumeshafika Ukumbi wa Arnautoglo tumekuja kuhakikiwa kwa ajili ya chama...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
SEHEMU YA KWANZA. Kwa wapenda filamu wengi Africa na duniani kote jina la Rambo ni jina maarufu mkombozi wa wanyonge dhidi ya tawala za kibabe za Vietcong ndani ya Vietnam na hata kule Cambodia...
7 Reactions
46 Replies
5K Views
WANACHAMA WA CHAMA KIPYA CHA SIASA WAMEKUJA KUHAKIKIWA NA MSAJILI WA VYAMA ARNAUTOGLO HALL 1993 Asubuhi na mapema tulikuwa tumeshafika Ukumbi wa Arnautoglo tumekuja kuhakikiwa kwa ajili ya chama...
0 Reactions
2 Replies
935 Views
SIKU YA WANAWAKE DUNIANI/SIKU YA WANAWAKE TANZANIA NYANGE BINT CHANDE MWANAMAMA ALIYEJITOLEA NYUMBA YAKE KUWA OFISI YA TANU KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Kuna mtu alipata kusema kuwa utafika...
2 Reactions
0 Replies
855 Views
HISTORIA KATIKA PICHA MBILI 1955 NA 1993 Picha hizo mbili hapo chini zimepishana miaka 38 kwa mkato na kifupi unaweza kusema zimepishana miongo minne yaani miaka 40. Picha ya kwanza ni mkutano...
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Back
Top Bottom