HAPO ZAMANI ZA KALE: HISTORIA YA MWALIMU THOMAS SAUDTZ PLANTAN NA CLEMENT MOHAMED MTAMILA
Ulikuwa ukiingia nyumbani kwa Mwalimu Thomas Plantan Mtaa wa Masasi kitu kimoja ambacho kitakushangaza ni...
KIKAO CHA KUUNDA TANU NYUMBANI KWA HAMZA KIBWANA MWAPACHU NANSIO, UKEREWE 1953
Ilikuwa miezi ya mwanzo ya mwaka wa 1953 kabla ya kufika April, 1953.
Abdul Sykes Act. President na Secretary wa...
IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s
"Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952":
"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul...
MTAA WA MKWEPU NI MTAA KWA HESHIMA YA RASHID ''SISSO'' MOHAMED MKWEPU
Mtoto wa Rashid Sisso kaniandikia leo akaniuliza swali, ''Unajua asili ya Mkwepu Street kule Posta?''
Nikamjibu sijui...
Hii ishu ya watu wa Dodoma kuwa ombaomba ni ya kihistoria. Ilianza zamani enzi za misafara ya biashara kutoka Bagamoyo hadi Ujiji. H. M. Stanley ameliandika vema hili katika kitabu chache How i...
NUREMBERG TRIALS
Hii ilikuwa mahakama iliyokuwa Ujerumani baada ya Vita Kuu ya Pili (1939 - 1945) washirika wa vita vile dhidi ya Manazi wa Kijerumani waliiweka makhsusi kwa kuwahukumu wale wote...
RASHID SISSO MHAMASISHAJI ''EXTRA ORDINAIRE''
Mmoja kati ya wazalendo vijana walioanzisha Bantu Group alikuwa Rashid Sisso.
Wakati wa harakati za kudai uhuru alikuja kuwa karibu sana na Nyerere...
New Left Review 133 / 134 Jan Apr 2022
Issa Shivji, Saida Yahya-Othman and Ng’wanza Kamata,
Development as Rebellion: A Biography of Julius Nyerere
Mkuki na Nyota: Dar es Salaam 2020, £90...
EID EL FITR: ''BLUE HAWAII'' ELVIS PRESLEY EMPIRE CINEMA 1964
Kuna ndugu yangu hapa kaangalia video ya watoto wa mtaani kwangu Magomeni Mapipa leo asubuhi baada ya sala wamekuja kunipa mkono wa...
DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB)
Siku moja mwaka wa 2008 nilipokea email kutoka kwa Prof. Emmanuel Akyeampong kutoka Harvard akaniomba niwe mmoja wa waandishi karibu 500 kutoka kila pembe ya...
Joseph-Désiré Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa Zabanga
Na Martin Maranja Masese
Joseph-Désiré Mobutu aliyejiita baadaye Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa Zabanga alizaliwa mnamo 14 Oktoba 1930...
TAAZIA FUPI KWENYE MAZIKO YA MZEE KITWANA SELEMANI KONDO 2017
Naeleza siku aliyonipa jina la "mole," (kachero, jasusi)wa Waingereza aliyekuwa ndani ya uongozi wa juu wa TANU 1954.
Naeleza...
Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga alikuwa kiongozi wa kijeshi dikteta huko Zaire. Mke wake wa kwanza Marie-Antoinette Mobutu, alifariki kwa ugonjwa wa moyo mwaka 22 October 1977...
NUR YA MASJID BADAWY HAIJAACHA KUNG'ARA NA KUANGAZA
Masjid Badawy ilifikia kilele cha mafanikio yake makubwa kabisa katika miaka ya 1960.
Vuta hisia zako ni Mfungo Sita katika miaka ya 1950...
MAZUNGUMZO YA BURIANI OCTOBER 1968
Hapo chini Aisha ''Daisy'' Sykes anaeleza mazungumzo ya buriani, mazungumzo ya kuagana kati ya baba yake Abdulwahid Kleist Sykes na Julius Kambarage Nyerere...
PETER COLMORE MZUNGU MSWAHILI WA KENYA NA TANGANYIKA
Nilipomaliza kuandika kitabu cha Abdul Sykes nikamwambia Bwana Ally tukae kitako anihadithie maisha yake tuandike kitabu.
Ally Sykes...
-Wilaya yenye wachapakazi wazuri.
-Wilaya ya kwanza kwa shule nyingi za sekondari. Kata inashule zaidi ya 1
-Wafanya biashara wakubwa nchini. Mf. Air Precision, rombo grean view,
- Barabara ya...
Makala yangu ya Mfungo wa Ramadhani inaelekea imependwa na wengi.
Jamaa wamenifata pembeni kutaka kunijua zaidi.
Jambo hili limenifanya nifikirie makala nyingine yenye mwelekeo huo huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.