-Wilaya yenye wachapakazi wazuri.
-Wilaya ya kwanza kwa shule nyingi za sekondari. Kata inashule zaidi ya 1
-Wafanya biashara wakubwa nchini. Mf. Air Precision, rombo grean view,
- Barabara ya lami kokote utokako hadi rombo
- Nyumba bora zinazokosa hata wa kuishi
- Umeme kwenye kila kijiji
-karibu kila familia ina mtu mmoja anaelimu ya chuo kikuu
-Wilaya inayopendwa na waajiriwa wengi hususani walimu
-Wilaya yenye watu wanaotumia fursa vizuri
- watafutaji na wamiliki wa biashara mbalimbali Tanzania na nje ya Tanzania
-Wilaya inayochangia kodi ya nchi kwa kuwa wateja wazuri wa vinywaji hususani vinywaji vikali. mf. Bia
-Wilaya ambayo watoto wakike wanaongoza kwa kuolewa, kudumu kwenye ndoa na kufunga harusi za mamilion
-Wilaya inayoongoza kwa wazazi kuwajali na kuwapenda watoto wao
-Wilaya yenye watu wenye ubunifu na uthubutu mkubwa wa kujaribu kufanya biashara na kufanikiwa
-Wilaya inayopakana na nchi jirani lakini inaongoza kwa utuliû na amani kiasi cha kutokua kanda maalamu ya kipolisi. Sio kama Rorya
-Rombo ni dira ya ujasiriamali nchini
-Wakazi wake wamekua wataalamu wa kutengeneza pombe mbalimbali pasipo kusomea. Ni vema wakapewa elimu na kuweza kuziboresha na kulipa kodi ivyo kuliongezea taifa pato
-Wanaongoza kwenda kwao desemba kuliko watanzania wote nchini
-Wanamiliki Bar nyingi sana mijini nchini Tanzania
Wilaya inayoongoza kwa mabadiliko makubwa ya kisiasa
-Ni wilaya pekee ambayo vijana wa umri mdogo wanamiliki pesa nyingi
-Ni wilaya pekee ambayo mapenzi na ngono sio kipaumbele na hayajapewa nafasi na upekee kama sehemu nyingine.
-Ni wilaya pekee watu wake wanaongoza kwa kwenda nyumba za ibada kusali kwa wingi
-wilaya yenye mlima mrefu Africa na dunia nzima
-Ni wilaya pekee ambayo inazingatia sana uzazi wa mpango nchini.
-Ni wilaya pekee wanawake wanatafuta kwa usawa na wanaume na hawana muda wa kupetipeti wanaume zao wala kuchepuka.
HIZO NI BAADHI YA SIFA ZA ROMBO NA WAKAZI WAKE. JIVUNIE NYUMBANI.
TUDUMISHE SIFA.
HACHAFULIWI MTU KAMWE ROMBO NI MWANGA, NURU NA DIRA YA UTAFUTAJI NA MAENDELEO.
Copied and pasted
Sent using Jamii Forums mobile app
-Wilaya ya kwanza kwa shule nyingi za sekondari. Kata inashule zaidi ya 1
-Wafanya biashara wakubwa nchini. Mf. Air Precision, rombo grean view,
- Barabara ya lami kokote utokako hadi rombo
- Nyumba bora zinazokosa hata wa kuishi
- Umeme kwenye kila kijiji
-karibu kila familia ina mtu mmoja anaelimu ya chuo kikuu
-Wilaya inayopendwa na waajiriwa wengi hususani walimu
-Wilaya yenye watu wanaotumia fursa vizuri
- watafutaji na wamiliki wa biashara mbalimbali Tanzania na nje ya Tanzania
-Wilaya inayochangia kodi ya nchi kwa kuwa wateja wazuri wa vinywaji hususani vinywaji vikali. mf. Bia
-Wilaya ambayo watoto wakike wanaongoza kwa kuolewa, kudumu kwenye ndoa na kufunga harusi za mamilion
-Wilaya inayoongoza kwa wazazi kuwajali na kuwapenda watoto wao
-Wilaya yenye watu wenye ubunifu na uthubutu mkubwa wa kujaribu kufanya biashara na kufanikiwa
-Wilaya inayopakana na nchi jirani lakini inaongoza kwa utuliû na amani kiasi cha kutokua kanda maalamu ya kipolisi. Sio kama Rorya
-Rombo ni dira ya ujasiriamali nchini
-Wakazi wake wamekua wataalamu wa kutengeneza pombe mbalimbali pasipo kusomea. Ni vema wakapewa elimu na kuweza kuziboresha na kulipa kodi ivyo kuliongezea taifa pato
-Wanaongoza kwenda kwao desemba kuliko watanzania wote nchini
-Wanamiliki Bar nyingi sana mijini nchini Tanzania
Wilaya inayoongoza kwa mabadiliko makubwa ya kisiasa
-Ni wilaya pekee ambayo vijana wa umri mdogo wanamiliki pesa nyingi
-Ni wilaya pekee ambayo mapenzi na ngono sio kipaumbele na hayajapewa nafasi na upekee kama sehemu nyingine.
-Ni wilaya pekee watu wake wanaongoza kwa kwenda nyumba za ibada kusali kwa wingi
-wilaya yenye mlima mrefu Africa na dunia nzima
-Ni wilaya pekee ambayo inazingatia sana uzazi wa mpango nchini.
-Ni wilaya pekee wanawake wanatafuta kwa usawa na wanaume na hawana muda wa kupetipeti wanaume zao wala kuchepuka.
HIZO NI BAADHI YA SIFA ZA ROMBO NA WAKAZI WAKE. JIVUNIE NYUMBANI.
TUDUMISHE SIFA.
HACHAFULIWI MTU KAMWE ROMBO NI MWANGA, NURU NA DIRA YA UTAFUTAJI NA MAENDELEO.
Copied and pasted
Sent using Jamii Forums mobile app