Jukwaa la Historia

On JF:

Sir Charles Njonjo alizaliwa 23 Jan 1920 huko Kabete, Kenya. Huyu jamaa alikuwa mwanasheria na ameshawahi kutumika kama waziri wa Sheria wa Kenya na ndiye aliyeiuwa jumuiya ya Africa Mashariki...
9 Reactions
40 Replies
2K Views
Mbona wajumbe wengi waliuliwa kikatili?
0 Reactions
1 Replies
285 Views
Hivi ni kweli kuna kiumbe ambacho kinaongoza kujidhalalisha chenyewe alafu tena kilalamikia matokeo yake🤣
1 Reactions
3 Replies
397 Views
Kama ulikua humjui vizuri DALAI LAMA wacha nikufahamishe;- Watu wengi wanaamini kuwa DALAI LAMA ni jina la mtu, Sasa nikwambie tu kuwa siyo kweli kabisa, Ukweli ni kwamba neno DALAI...
4 Reactions
8 Replies
743 Views
Ibn Battuta (1304-1377) kwa kiarabu inatamkwa (eebin bahtuta) Katika kitabu chake Ibin Batuta anaandika kwamba kiswahili ni lugha ambayo inazungumzwa na wakazi asilia wa upwa wa pwani ya Afrika...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Leo tujikumbushe kuhusu Askofu Luwum, aliyemnyima usingizi Dikteta Iddi Amin Dada huko Uganda. Janani Luwum alikuwa mmoja wa viongozi mashuhuri wa kidini nchini Uganda, na anaheshimiwa kama...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
SANI ABACHA, MBABE WA MAPINDUZI NIGERIA, UTAWALA WAKE ULIGUBIKWA NA UFISADI, MAUAJI,UKATILI NA UKIUKAJI MKUBWA WA HAKI ZA BINADAMU: LAKINI NI KIPINDI CHAKE NIGERIA ILISHUHUDIA MAGEUZI MAKUBWA YA...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
October 26, 1979 huko Korea Kusini kulitokea kisa cha ajabu cha mkuu wa ujasusi wa shirika la Korea Kusini(KCIA) Kim Jae-gyu kumtwanga risasi mbili boss wake rais wa Korea Kusin Park Chung-hee na...
3 Reactions
9 Replies
922 Views
Vijana wana vipaji vya ubunifu wa hali juu kupita kiasi. Kipindi nilichofanya mada ilikuwa nyingine kabisa lakini kipindi kilipokwenda hewani na kutazama picha iliyowekwa hawa vijana niliwavulia...
3 Reactions
4 Replies
468 Views
https://youtu.be/Z3f-8I6ALVQ
1 Reactions
4 Replies
308 Views
Unadhani uchumi wa Bara la Africa ungekuaje Siasa ingekua ya namna gani kutokana na utofauti wa rasilimali, lugha na dini Je jina gani lingekua sahihi United States Of Africa (USAf). Jina linalo...
1 Reactions
1 Replies
283 Views
Wakuu! Wale ambao tulikuwa humu Jamiiforums kipindi cha mwaka 2011 na mitandao ya kijamii ilikuwa haijashika hatamu, I mnalikumbuka hili tukio la huyu Jamaa Mohamed Bouaziz? Nimeamua kuandika...
7 Reactions
14 Replies
803 Views
Wazito wa JF nawasalimia, Carlos The Jackal, kwa jina la kuzaliwa anaitwa Ilich Ramirez Sanchez,alizaliwa mwaka 1949 huko Venezuela. Carlos alizaliwa katika familia inayojiweza kiuchumi,ambapo...
38 Reactions
188 Replies
50K Views
Sarafu hizi zilitumika enzi za utawala wa dola ya rumi,na hasa zilitumika katika malipo ya ngono na ulilipwa tokana na aina ya mtindo uliotumia katika uasherati.Mfano mzuri ukitazama katika movie...
9 Reactions
57 Replies
19K Views
https://youtube.com/shorts/zb2MRW5Grts?si=Dl1G32RSEUXRXMnR Subhaanallah This is mind blowing How awesomely majestic is Allah subhaanahu wa taha'la Infinitely majestic, Totally sublime...
2 Reactions
0 Replies
230 Views
NOTE: Nitapitia baadaye kurekebesha typos pole pole; ukikutana nazo usizitilie maanani. Miaka takriban 45 iliyopita, Iraq ilipitia wakati mgumu sana. Kwanza, mwaka 1979 ulikuwa na matukio mawili...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwezi Septemba, 2023 Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alimteua aliyekuwa Rais wa chama cha walimu Leah Ulaya kuwa mkuu wa Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, hata hivyo Leah aligomea uteuzi huo wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
MAKTABA IMEPOKEA KITABU CHA RAJABU IBRAHIM KIRAMA Rajabu Ibrahim Kirama ndiye aliyeuingiza Uislam Uchaggani kiasi cha zaidi ya miaka 150 iliyopita. Katika maajabu ya Allah alipofariki watoto...
4 Reactions
7 Replies
646 Views
Back
Top Bottom