Jukwaa la Historia

On JF:

BI. MTUMWA KITETE MAMA MUUZA UJI NA VITUMBUA MCHANGO WAKE SAFARI YA NYERERE UNO 1955 Kuna jambo moja nimewahi kuelezwa na Bi. Mwamvua bint Mrisho maarufu kwa jina la Mama Daisy. Wakati huu...
0 Reactions
8 Replies
694 Views
MASHEIKH WANASIASA WAZALENDO WALIOPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Historia ya Waislam waliopigania uhuru wa Tanganyika ukisoma maisha yao utawakuta masheikh ambao wao usomeshaji wa dini iliku wa...
1 Reactions
2 Replies
353 Views
CHAMA CHA TANU KILIUNDWA NA WATU WENYE UZALENDO WA KWELI NA NDIYO SABABU YA KUWA NA NGUVU KUBWA Msikilize Mwalimu Nyerere anavyoieleza nguvu kubwa ya chama cha TANU...
0 Reactions
0 Replies
231 Views
Wakurugenzi, Nilibahatika kuzaliwa kijiji kimoja na Chritopher Kasangatumbo, alikuwa si mbinafsi mjamaa wa kweli, nilibahatika kumjua nikiwa kijana mdogo sana pale kijijini kwetu ipole, alikuwa...
46 Reactions
166 Replies
50K Views
Nimejaribu kufuatilia mazungumzo ya kipindi cha uongozi wa Idi Amin akiwa kama rais wa nchi ya Uganda, pamoja na mwenyekiti wa umoja wa nchi za kiafrika, nikagundua alikuwa ni mtu mwenye kipaji...
1 Reactions
76 Replies
2K Views
Kazi yoyote ya mikono ya binadamu itakuwa na makosa. Kazi iliyokamilika ni yake Allah peke yake. Yameonekana makosa katika kitabu cha Mwalimu Nyerere. Prof. Kabudi ana haya ya kusema kuhusu...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
HISTORIA YA PICHA YA WANAWAKE WATANO WALIOMSINDIKIZA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE UWANJA WA NDEGE SAFARI YA KWANZA UNO 1955 IMEKAMILIKA Kuna picha mashuhuri mbili za safari ya kwanza ya Mwalimu...
2 Reactions
3 Replies
641 Views
Je unaweza kutambua hizi ni bendera za nchi zipi? Haya wakuu twende kazi! 1. 2. 3. 4. 5.
0 Reactions
3 Replies
309 Views
Katika historia ya matukio ya kustaajabisha yaliyofanywa na taasisi za serikali kwa jina la “sayansi”, hakuna tukio lililojaa huzuni, udhalilishaji, na ukiukwaji wa maadili ya kibinadamu kama...
0 Reactions
5 Replies
542 Views
Kuna mtu hawazi Wala kufikiria watu watasema nini mtoto na mwanawe kupita bila kupingwa katikati ya watanzania 65,000,000. Hata kama unasema hujui lakini hii inaweza kukulazimisha kujua. Baada...
3 Reactions
14 Replies
720 Views
Huyu Ndiyo Hayati Benjamin Mkapa wa Tanzania! Denis Mpagaze ___________________ 1. Wazazi wake walitamani awe Padre wa Jimbo akawa Rais wa nchi. Sisi tunapanga na Mungu anapangua. 2. Aliingia...
12 Reactions
28 Replies
2K Views
JULIUS NYERERE NA ALI MWINYI TAMBWE, AL JAMIATUL ISLAMIYYA FI TANGANYIKA (UMOJA WA WAISLAM WA TANGANYIKA) SAFARI YA KWANZA UNO 1955 Usiku uliopita kijana mmoja jina lake Victor Madaha Mtangazaji...
2 Reactions
0 Replies
439 Views
Leo Maktaba ilitembelewa na Mtangazaji Victor Madaha wa Bongo Plus kutafuta historia ya vijana katika siasa kuanzia kudai uhuru wa Tanganyika hadi leo. Victor anasema kasukumwa kwa kuona wimbi...
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Mfalme James I wa Uingereza (na VI wa Scotland) alikuwa mtu wa kipekee katika historia, si tu kwa mchango wake wa kidini na kisiasa bali pia kwa maisha yake binafsi na maandiko aliyoyaacha...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Pripyat, Ukraine ni mji ulioko kaskazini mwa Ukraine, karibu na mpaka wa Belarus, ulioundwa rasmi mwaka 1970 kwa ajili ya kuwahudumia wafanyakazi wa Kiwanda cha Nyuklia cha Chernobyl. Mji huu...
2 Reactions
0 Replies
364 Views
June 24 mwaka wa 1717 kundi la freemason walifanya kikao sehemu iitwayo Gridion ambayo ilikuwa katikankiwanja cha mtakatifu paulo huko wingereza.. Kwenye kikao hicho moja ya ajenda kubwa ilikuwa...
1 Reactions
4 Replies
941 Views
Nimeulizwa swali kuhusu Siku ya Mashujaa wa Tanzania. Sikujibu swali ila nami nikauliza swali. Vipi utawaadhimisha mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika ikiwa hao mashujaa historia zao...
2 Reactions
0 Replies
305 Views
Katika historia ya ujasusi wa kimataifa, kuna sura ambazo hazikuwahi kuvalia sare za kijeshi wala kuwa na vitambulisho rasmi, lakini walikuwa silaha kubwa katika operesheni za kificho. Mmoja wao...
14 Reactions
22 Replies
1K Views
LEO SIKUKUU YA MASHUJAA: MTWA ABDALLAH MKWAWA WA KALENGA (1855 - 1898) Makala hiyo hapo chini ni nyongeza ya makala fupi ilyoandikwa na kijana mmoja kumuadhimisha Mtwa Mkwawa. Makala hii ndiyo...
0 Reactions
3 Replies
729 Views
Manhattan Project ulikuwa ni mpango wa siri wa Marekani wa kutengeneza silaha ya nyuklia (atomic bomb) wakati wa Vita ya Pili ya Dunia. Mpango huu ulianza mwaka 1939 lakini ukawa rasmi zaidi mwaka...
3 Reactions
0 Replies
349 Views
Back
Top Bottom