Jukwaa la Historia

On JF:

Wakorea wana historia yao toka mwanzo wataifa lao kuwepo kipindi cha devine Jumong, wazungu hivyo hivyo wana story zao, mbona sisi Waafrika hatuna hadithi zetu za mwanzo, au baada wa wazungu...
12 Reactions
93 Replies
13K Views
Julius Kambarage Nyerere alikuwa Mwanasiasa na Mwanafalsafa ambaye alikuwa kiongozi wa kwanza wa Tanganyika (sasa Tanzania) na rais wa kwanza wa nchi hiyo baada ya uhuru. Alikuwa mtetezi wa uhuru...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
MWARABU "NGOSHA" ALIYEKAMATWA KWA KUSHUKIWA GAIDI https://youtu.be/VK-vpPhKonQ?si=2WDSX3HAXG-h1AQ9 Nina rafiki yangu hapa msikitini Mwarabu wazee wake wanatokea Oman kazaliwa Usukumani. Yeye ni...
1 Reactions
2 Replies
484 Views
https://www.instagram.com/reel/DLVrV_LKwvP/?igsh=ZjFkYzMzMDQzZg== Nimeangalia hii Makinikia aliyoweka Muhidin Issa Michuzi. Nimemwona Jomo Kenyatta na Julius Nyerere kwenye Land Rover wakienda...
0 Reactions
0 Replies
332 Views
MAREKANI IMETENGENEZA MPANGO WA KUMALIZA VITA VYA IRAN NA ISRAEL Baada ya saa 24 In Shaa Allah vita baina ya Iran na Israel In Shaa Allah vita kuwa vimemalizika. Vita vimedumu kwa siku 12. Hizi...
4 Reactions
8 Replies
779 Views
Kwanza kabisa inabidi tukumbushane Msemo mmoja; One man's Terrorist is another man's Freedom Fighter" Kwa muktadha huo tunaweza kusema huenda ugaidi ulianza tangia enzi na enzi, ikiwa tu mtu...
0 Reactions
0 Replies
314 Views
Naomba kuwasilisha kazi yangu kwa ajili ya mashindano ya 'Stories of Change'. Hadithi hii imejengwa kwenye msingi wa matumaini, mapambano na ubunifu wa vijana wa Tanzania. --- “They called me...
0 Reactions
0 Replies
337 Views
Kutokana na mabadiliko ya maisha pamoja na utandawazi Mila na desturi hasa majina ya asili ya kitanzania yanazidi kupotea! nimeona ni vizur kuanzisha Uzi huu ili tuweke kumbukumbu vizuri za Maana...
2 Reactions
21 Replies
15K Views
Kwa yanayoendelea Congo nimebaini kuwa vita zina propaganda nyingi sana. Kwenye historia ya Idd Amina tumeambiwa kwamba Iddi Amin akiwa Rais aliwahi kufokewa na mlemavu kwamba ameshindwa kuiongoza...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Leo nimeona niwaletee machache kuhusu Jenerali Robert Mboma, aliyepata kuwa Mkuu wa Majeshi wa Tanzania miaka ya nyuma huku akiwa na rekodi mbalimbali. Twende kazi… 1. Jenerali Robert Mboma...
19 Reactions
60 Replies
7K Views
LEO SIKU YA KUZALIWA SIJALI ADAM SIJAONA Rafiki yangu Sijali Adam Lawi Nangwanda Sijaona kaniletea ukurasa mmoja wa shajara ya baba yake marehemu Mzee Lawi Nangwanda Sijaona ambayo aliandika...
2 Reactions
5 Replies
563 Views
Mnamo mwaka 1953, serikali za Amerika na Uingereza zilipanga mapinduzi nchini Iran, na kumpindua Waziri Mkuu aliyechaguliwa kidemokrasia Mohammad Mossadegh. Hatua hii, inayojulikana kama...
1 Reactions
0 Replies
474 Views
UNAWAFAMU VIPI WAIRANI? Vita vya Iran na Israel vimevuruga ratiba yangu ya kazi kwani muda wangu mwingi unakuwa katika kufuatilia vita hivi katika vyombo vya habari mashuhuri ulimwenguni – Al...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Nani mwenye kujua historia hiyo vizuri, nimeona Ile movie ikieleza na kuonyesha hali ilivokuwa wakati huo. Naombeni na picha za wakati huo na sasa
1 Reactions
6 Replies
566 Views
HAPA ndipo chimbuko la wazungu na baadhi ya waarabu, nchi ya Georgia, panaitwa CAUCASIA , milima Yao Inaitwa Caucasus mountains. Bahari Yao Inaitwa Black Sea, haisapoti hata samaki... Ina...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamii forums. Mimi ni mtanzania ambaye haishi Tanzania kwa zaidi ya miaka ishorini. Pamoja na kuishi nje ya Tanzania kwa mda mrefu hakuna siku ipitayo bila kutafuta habari za...
1 Reactions
5 Replies
562 Views
Hi there, I'm bored at here ukijumuisha na matukio yanayoendele kwa viongozi wa serekali yetu nikaona nishee nanyi baadhi ya vita vilivyoanzishwa na na viongozi wa nchi ambapo ukifikiria sababu za...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Si mwingine bali ni mtu mfupi wa kimo bali mrefu wa maarifa na kuona mbali kuhusu kesho ya taifa lake Deng Xiaoping Mkomunisti na dikteta bora wa kichina aliye iokoa chini yake kutumbukia...
0 Reactions
3 Replies
588 Views
Hivi Gen Z mnajua kweli historia ya huu mnara? Kitu kilichonipa ushawishi wa kutaka kukua zaidi ni hili neno 'Bismini'. Maana yake ni nini? Na chimbuko lake ni nini? Nimejaribu kutafuta lakini...
0 Reactions
2 Replies
932 Views
Back
Top Bottom