Jukwaa la Historia

On JF:

Ni takribani Siku Tatu Polisi Morogoro Wanamshikilia Lucy SHAYO kinyume na Utaratibu wa Jeshi la Polisi. Mpelelezi wa Lucy na R.C.O wa Morogoro Wamekuwa wakizikimbia Ofisi zao kwa siku zote ili...
1 Reactions
1 Replies
614 Views
Sehemu ya kwanza - Tundu Lissu alikamatwa Aprhli 9, 2024, Mimba na kupelekwa Dar es salaamu, siku iliyofuata, Aprili 10, 2024, alishitakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Lissu alipinga...
1 Reactions
1 Replies
479 Views
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA UNGUJA MWALIMU JULIUS K. NYERERE KWENYE MKUTANO WA VIONGOZI WA NCHI ZA AFRIKA, MJINI CAIRO Tarehe 20 Julai, 1964 NINATAKA kuwaunga mkono...
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Hivi kunaa anaejua sababu ya hii;;nyimbo nyingi za asili wanajiachia hewan wakifka za wachaga akuna anaetaka kumwachia mkono mwenzake tena wakianza kucheza macho yanaangalia kulia na kushoto...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
PICHA YA JUU NI MWALIMU NYERERE ALIESHIKA TAMAA NA KUONEKANA KAMA MTU ALIEKEREKA NA JAMBO KATIKA UFUNGUZI WA CHUO CHA UFUNDI HUKO ZANZIBAR 1963 Akishiriki Muungano Kwanini katika swala ukuaji...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Inatajwa kuwa Mende walikuwepo duniani miaka milioni 120 iliyopita,kabla ya wanyama wakubwa kama vile Dinosaurs na bado hajawahi kupotea.Mende ni mdudu anayetajwa kuwa anauwezo wa kuishi siku tatu...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Katika wodi ya watoto wachanga kwenye hospitali ya Texas, muuguzi mmoja alionekana mwenye tabasamu pana, uchangamfu kubwa, huruma na kujali isivyo kawaida. Alikuwa karibu na kila mtoto aliyelia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MWANDISHI KIJANA WA WAKATI HUU ANAZINDUA KAZI MBILI KWA SIKU MOJA NA WAKATI MMOJA Si kitu cha kawaida kwa mwandishi yeyote duniani kuzindua vitabu vyake viwili katika siku moja. Sijaliona...
1 Reactions
6 Replies
735 Views
Je, kuna makanisa ya zamani au ya kihistoria katika jimbo la Arusha? Nilikuwa najiuliza kwanini katika majimbo mengi nchini Tanzania unakuta makanisa mengi ya zamani na mazuri ya Kanisa Katoliki...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana. Leo nimeamua niwaletee majina ya kisukuma na maana zake Naomba tuwe pamoja MAYALA. Njaa huitwa wa kiume NYANZALA. Njaa huitwa wa kike BUTOGWA. UPENDO...
13 Reactions
349 Replies
121K Views
From Moshi to Moscow: How a girl from the slopes of Kilimanjaro became Tanzania’s first female doctor By Sean Christie November 3, 2023 FIRST FOR WOMEN: Esther Mwaikambo was the first female...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Joto la kisiasa limeendelea kupanda nchini. Wananchi wengi wa Zanzibar wameonesha hisia zao kwa kuandamana wakidai Muungano uvunjwe wabaki na nchi yao. maelezo yapo kwenye video hapa chini
12 Reactions
75 Replies
3K Views
Unafahamu kilichowapata watoto wa Benito Mussolini baada ya kifo chake? Je, walibeba mzigo wa makosa yake? Baada ya kuuawa kwake mwaka 1945, watoto wa Benito Mussolini waliishi maisha yenye...
13 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanasayansi na wabunifu wameunda bangili maalum inayoitwa "Pavlok", ambayo hutumia mshtuko mdogo wa umeme kumsaidia mtu kuacha tabia mbaya. Bangili hii inafanya kazi kwa njia ya tabia ya...
2 Reactions
17 Replies
920 Views
Kama tunavyojua kuwa athari ya uislamu uliohuishwa na Muhammad rehma na amani zimshukie ziianza Makka halafu Madina na baada ya hapo zikaenea kila sehemu ya dunia kwa njia moja au nyengine. Bila...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Anaitwa Kapteni Gaspa Derrick Mkandala Lufufu, halafu mbele hapo kuna maneno ya kihaya alipenda kuyaweka Mnaokumbuka vyema Mtatukumbusha. Baada ya kustaafu kazi ya Jeshi Lufufu aliamua kuanza...
58 Reactions
127 Replies
23K Views
The Forgotten Library of Timbuktu: Africa’s Lost Knowledge For centuries, hidden within the sands of Mali, lay one of the world’s greatest treasures—not gold or jewels, but knowledge. The city of...
7 Reactions
2 Replies
527 Views
Mikocheni asili yake ni miti ya mikoche. Mikocheni maana yake mahali penye mikoche. Mikoche yenyewe ni miti iliyo kama miwese/minazi. Miti hii inapatikana pwani ya Afrika Mashariki hadi huko South...
18 Reactions
64 Replies
4K Views
Ndugu zangu Mawaziri Baada ya kusaidia kuvuka Mto salama, Basi Cabinet ijayo hamtakuwa tena na msaada kwenye Boti sana sana mtakuwa mizigo tu ambayo itahitaji Kutupwa nje Ili Chombo kiongeze...
0 Reactions
5 Replies
514 Views
Back
Top Bottom