Mohammedy Al Hajji
Member
- Jul 17, 2016
- 6
- 3
Hivi ilikuwaje habari ya mzee Shekhe Suleiman Takadil alikuwa na nafasi gani katika kupambania uhuru wa Tanganyika
Hivi ilikuwaje habari ya mzee Shekhe Suleiman Takadil alikuwa na nafasi gani katika kupambania uhuru wa Tanganyika
Bingwa wa mchezo wa bao mitaa ya Kariakoo.
acha ujinga kama baba, mama wala babu yako hakushiriki ktk uhuru wa nchi basi usidhalilishe wana mapinduzi. kama muda huo akicheza bao je babu yako wewe akifanya nin kama sio kucheza na nyani tu porini na magovi yake.Bingwa wa mchezo wa bao mitaa ya Kariakoo.
acha ujinga kama baba, mama wala babu yako hakushiriki ktk uhuru wa nchi basi usidhalilishe wana mapinduzi. kama muda huo akicheza bao je babu yako wewe akifanya nin kama sio kucheza na nyani tu porini na magovi yake.
KWELI KABISA MKUUAcha upuuzi Babu yangu alimchangia Nyerere nauli ya kwenda UN,wakati huo wazee wa Kariakoo walikuwa wakicheza bao.
Sheikh Suleiman Takadir alikuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU kuanzia 1954 - 1958 alipofukuzwa TANU baada ya kutokea ugomvi baina yake na Mwalimu Julius Nyerere.Hivi ilikuwaje habari ya mzee Shekhe Suleiman Takadil alikuwa na nafasi gani katika kupambania uhuru wa Tanganyika
Sheikh Suleiman Takadir alikuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU kuanzia 1954 - 1958 alipofukuzwa TANU baada ya kutokea ugomvi baina yake na Mwalimu Julius Nyerere. Si rahisi kumweleza Sheikh Suleiman Takadir kwa mistari miwili mitatu kwani historia yake ni ndefu sana katika kupigania uhuru wa Tanganyika. Historia ya Sheikh Suleiman Takadir inaogopwa kutajwa kwa kuwa yeye alitoa tahadhari kuhusu hali ya baadae ya Waislam katika Tanganyika huru utabiri ambao nusu karne baada ya uhuru bado unawatia hofu viongozi walioshika madaraka. In Shaa Allah natayarisha darsa kuhusu Sheikh Takadir na nitarejea tena hapa Majlis.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo chini ni maisha ya siasa ya Sheikh Suleiman Takadir:
Mohamed Said: JINAMIZI LA UDINI TANZANIA: UTABIRI WA SHEIKH SULEIMAN TAKADIR
Ngongo,Bingwa wa mchezo wa bao mitaa ya Kariakoo.
acha ujinga kama baba, mama wala babu yako hakushiriki ktk uhuru wa nchi basi usidhalilishe wana mapinduzi. kama muda huo akicheza bao je babu yako wewe akifanya nin kama sio kucheza na nyani tu porini na magovi yake[/b][/u]
.
KUTOKA FB: SHEIKH SULEIMAN TAKADIR ALIVYOPOTEA KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKAKujua historia kunasaidia kujitafakari. Hii nayo wengine tunapata tafakari jadidu.
inaonekana umeamua kuthibitisha kuwa wewe ni kichaa kama mjombako. hao wacheza bao ndio waliomvua Mwl kaptura wakampa suruali, wakamzuia asitembee na baiskeli baada ya kumpa gari. wakamktia tiketi za UN then we unaleta uzuzu hapo tenaa mkoa wenu hata mmoja aliedai uhuruAcha upuuzi Babu yangu alimchangia Nyerere nauli ya kwenda UN,wakati huo wazee wa Kariakoo walikuwa wakicheza bao.
inaonekana umeamua kuthibitisha kuwa wewe ni kichaa kama mjombako. hao wacheza bao ndio waliomvua Mwl kaptura wakampa suruali, wakamzuia asitembee na baiskeli baada ya kumpa gari. wakamktia tiketi za UN then we unaleta uzuzu hapo tenaa mkoa wenu hata mmoja aliedai uhuru
alienda siku nyingi kufanya nini UNMtamvua Nyerere kaptula wakati alishatangulia siku nyingi UK wakati wazee wa kariakoo ujanja wao haukuwa zaidi ya Gerezani na Tandamti.
Kabla ya kutumwa mwl UN kumbuka wazee haohao wa Kariakoo walishaenda huko kudai uhuru baada ya Malkia kukataa ndipo wakamtafuta Mwl kwani alikuwa na sifa alizotaka Queen.Mtamvua Nyerere kaptula wakati alishatangulia siku nyingi UK wakati wazee wa kariakoo ujanja wao haukuwa zaidi ya Gerezani na Tandamti.
alienda siku nyingi kufanya nini UN