Ilikuwa mwaka 1984, majira ya asubuhi nilimshuhudia mwalimu wetu katika shule ya sekondari ya bweni iliyoko kijijini kwenye baridi na huku akiwa amekumbatia redio yake ya mkononi, ukali wake...
Shajara ya Mwana Mzizima
Rashidi Mfaume Kawawa
Mtetezi Wanyonge aliyekuja kuwa Waziri Mkuu
Na Alhaji Abdallah Tambaza
Raia Mwema Aprili 30 - May 1, 2018
UTAWALA dhalimu wa Kikoloni wa Ulaya...
* Moja ya Maajabu Makubwa waliyoyafanya ni kujenga Great Pyramid hiyo kitu ina sifa sifuatazo.
A. Ilijengwa kama Kaburi la Pharao ya kipindi hicho aliyeitwa 'KHUFU' Pia inajulikana kama ni...
Mwandishi wa vitabu hivi haitaji kuelezwa sana kwa wasomaji wa makala zake chini ya anuani:
"Shajara ya Mwana-Mzizima," katika gazeti la Raia Mwema.
Makala zake zimeeleza historia ya Dar es...
Ananielezea Mzee wangu kwamba mnamo mwaka 1974, Mwalimu Nyerere alienda kukaa Chamwino Dodoma kwa muda mrefu kusimamia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino. Ndugu Moses Nnauye, wakati huo akiwa Mkuu wa...
Hiki ni chumba chenye kompyuta kilichotumika kujumlishia matokeo mwaka 2015, chumba hiki maalumu cha IT kipo MASAKI JIJINI DSM, Kwa hakika hawa ndio walio msaidia kuhakikisha Rais Magufuli...
TBC imekuwa ikirusha kipindi, ''Kutoka Maktaba,'' kipindi hicho kikionyesha
mahojiano aliyofanya Ally Sykes na TBC 1 wakati wa uhai wake kuhusu
maisha yake akiwa Burma wakati wa WWII hadi kwisha...
Kama mambo yata enda kwa desturi, uwezekano wa kupata Rais mprotestanti Tanzania ni kati ya miaka 20-30 kutoka 2015.
Miaka 10 - 20 kwa awamu ya sasa, na miaka 10 kwa awamu inayofuatia ambayo...
Naomba kujua mengi kati ya machache kumuhusu huyu adui wa mwalimu nyerere
Je huyu mwamba alizaliwa wapi, lini na alisomea WaPi,
Je anatokea mkoa gan
Na ndugu zake saiz wako wapi je yupo hata...
Ahmed Rashad Ali
Nadhani katika niandikayo mara kwa mara mmekuwa mkisoma jina la Ahmed Rashad Ali.
Ahmed Rashad wakati wa WWII yeye alikuwa mwanafunzi India. Rashad ni katika Royal Family...
Unaposhangaa ya United States of America (USA) kuweka mtu anayeitwa 'Designated Survivor' kila panapokuwa na State of Union ili kukitokea shambulio lolote basi huyo jamaa atakuwa raisi basi...
Habari ya muda huu wanajanvi.
Kama mada inavyo jieleza hapo juu , ni kisa kinacho muzungumzia rubani wa ndege vita ya Usovieti aliye iba ndege hiyo na kuitoloshea nchini Japan. Ungana nami...
Picha ya Waasisi wa TANU
7 Julai, 1954
Leo ni Saba Saba siku ambayo tarehe 7 Julai 1954 wazalendo 17 walikutana katika ofisi ya TAA New Street kuasisi chama cha TANU, chama ilichokuja kudai uhuru...
Innalilah Wainna Ilahi Rajiun
RIP
Pole sana kwa ndugu na jamaa na wana tasnia ya habari kiujumla, huu msiba wakwetu sote umetugusa wengi.
Pia Azam Tv mpo vizuri mmetumia ndege yenu kufata miili...
WHEN WE WERE KINGS: NYERERE'S LETTER TO RONALD REAGAN dated 07 June 1982, a letter which shed a light on Tanzania influence on global politics and diplomacy since its independence. .
Also in this...
MONTAZA PALACE ALEXANDRIA 1988
Leo asubuhi nimeingia Maktaba na kukuta picha ya Montaza Palace.
Nilifika Montaza Palace kusali sala ya Ijumaa mwaka wa 1988 nilikuwa kwenye kozi mjini Akexandria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.