Historia ya Dar es salaam inavyopotoshwa

rodrick alexander

JF-Expert Member
Feb 12, 2012
15,190
20,156
Leo nimebahatika kusikiliza kipindi cha channel Ten ambacho huwa kinazungumzia maswala ya utalii lakini leo walijikita kuzungumzia historia ya jiji la Dar es salaam.Wakati niko shule mojawapo ya somo nililokuwa nafatilia ni somo la historia pia nilikuwa mpenzi wa kusoma vitabu mbalimbali lakini hapa jamiiforums kuna watu wamekuwa wakipotosha historia ya Dar es salaam hasa kuhusu majengo mbalimbali yaliyopo Dar es salaam kuwa yalijengwa na mwarabu lakini katika kipindi cha leo imeelezwa mwarabu au sultani Seyd aliacha majengo yasiyozidi matano ikiwemo jengo la whitefathers na Boma ambako pia kuna ofisi za jiji maeneo ya posta pia ndiye aliyejenga bandari ya Dar es salaam tofauti na wapotoshaji wanaosema kuwa hata ikulu ilijengwa na mwarabu pia makani ya Azania na St. Joseph yalijengwa na mwarabu
 
Historia ya Tanzania imekuwa elimu huria, kila anayedha anajua basi aneleza kivyake.
 
Leo nimebahatika kusikiliza kipindi cha channel Ten ambacho huwa kinazungumzia maswala ya utalii lakini leo walijikita kuzungumzia historia ya jiji la Dar es salaam.Wakati niko shule mojawapo ya somo nililokuwa nafatilia ni somo la historia pia nilikuwa mpenzi wa kusoma vitabu mbalimbali lakini hapa jamiiforums kuna watu wamekuwa wakipotosha historia ya Dar es salaam hasa kuhusu majengo mbalimbali yaliyopo Dar es salaam kuwa yalijengwa na mwarabu lakini katika kipindi cha leo imeelezwa mwarabu au sultani Seyd aliacha majengo yasiyozidi matano ikiwemo jengo la whitefathers na Boma ambako pia kuna ofisi za jiji maeneo ya posta pia ndiye aliyejenga bandari ya Dar es salaam tofauti na wapotoshaji wanaosema kuwa hata ikulu ilijengwa na mwarabu pia makani ya Azania na St. Joseph yalijengwa na mwarabu
Sasa muarabu na kujenga kanisa wapi na wapi?

Kanisa la Azania mmoja wa watu waliojenga ni baba yake na bibi yangu mzaa mama.

Walijenga na kukamilisha ujenzi mwaka 1903. Kipindi cha Wajerumani.

Sasa Muarabu kajenga lini kanisa la Azania?
 
Yaani hizo historia zenu mnazoskiza kama hajazieleza mzee Mohamed Said naona bado zimepotoshwa... Tafadhali popote alipo mzee wetu aje aondoe ukakasi huu
 
Leo nimebahatika kusikiliza kipindi cha channel Ten ambacho huwa kinazungumzia maswala ya utalii lakini leo walijikita kuzungumzia historia ya jiji la Dar es salaam.Wakati niko shule mojawapo ya somo nililokuwa nafatilia ni somo la historia pia nilikuwa mpenzi wa kusoma vitabu mbalimbali lakini hapa jamiiforums kuna watu wamekuwa wakipotosha historia ya Dar es salaam hasa kuhusu majengo mbalimbali yaliyopo Dar es salaam kuwa yalijengwa na mwarabu lakini katika kipindi cha leo imeelezwa mwarabu au sultani Seyd aliacha majengo yasiyozidi matano ikiwemo jengo la whitefathers na Boma ambako pia kuna ofisi za jiji maeneo ya posta pia ndiye aliyejenga bandari ya Dar es salaam tofauti na wapotoshaji wanaosema kuwa hata ikulu ilijengwa na mwarabu pia makani ya Azania na St. Joseph yalijengwa na mwarabu

nenda ikulu ndani angalia milango ya ikulu imeandikwa kiarabu
 
Back
Top Bottom