Jukwaa la Historia

On JF:

King Leopold ndiye muanzilishi wa harakati za kueneza dini Congo. Alileta misaada mingi lakini pia alijinufaisha kwa madini na meno ya tembo. Hii picha ina maneno 1,000. Wapagazi wote wamevaa...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Kanisa Katoliki Tanzania Bara litaadhimisha Miaka 150 tangu Ukristo Ukatoliki uingie Tanzania bara kupitia Mji mkongwe wa Bagamoyo,na pia wataashimisha miaka 100 toka Kanisa Katoliki la Tanzania...
4 Reactions
18 Replies
14K Views
Mjadala kuhusu rangi za bendera ya Taifa la Tanzania ni mzito kuliko nilivyodhani. Nimepekua baadhi ya nyaraka za kimataifa na zenyewe zinakinzana. Bendera ya Tanzania ilizinduliwa rasmi Tarehe...
0 Reactions
3 Replies
9K Views
WANYASA WANAULIZA DENIS PHOMBEAH NI NANI KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA ? Raia Mwema 14 - 20 Agosti, 2019 Raia Mwema la 14 - 20 Agosti limechapa makala ambayo kwanza ilikuwapo hapa...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Ndugu wakuu, Maveterani wa kitambo,na wote wenye ufahamu,Salaam. Ninapenda kufahamu juu ya Wakuu wa "Jeshi" la Police, IGPs tangu Tanganyika huru na baadae Tanzania,na rekodi zao , walau...
2 Reactions
53 Replies
35K Views
Mwanafunzi mtoto wa Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Ali Abbas anakumbuka kuwaona Abdulwahid Sykes, Dossa Aziz na Nyerere mara kadhaa katika miaka ya mwanzoni ya 1950 wakija kuonana na sheikh katika...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Picha: Kulia Mzee Mshume akimsindikiza Baba wa Taifa kupiga kura ya urais Ukumbi wa Arnautoglo akiwa na Max Mbwana na Mwinjuma Mwinyikambi 1962. Mzee Mshume Kiyate anamvisha Baba wa Taifa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
The Salem witch trials of the 1690s have an iconic place in American lore. But before the Salem witch hunt, there was the “Great Hunt”: a larger, more prolonged European phenomenon between 1560...
0 Reactions
1 Replies
949 Views
WAMANYEMA WA TABORA NA SIASA ZA UKOMBOZI TANGANYIKA Baada ya kusoma historia ya Bi. Dharura bint Abdulrahman msomaji wangu mwingine ameniandikia: ''Asalam Aleykum. Ukitaka khabari za huyu mama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WAMANYEMA WA TABORA NA SIASA ZA UKOMBOZI WA TANGANYIKA Abdallah Said Kassongo Baada ya kusoma historia ya Bi. Dharura bint Abdulrahman msomaji wangu mwingine ameniandikia: ''Asalam Aleykum...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
TULIKOTOKA KUFIKIA SADC SEHEMU YA TATU TANGANYIKA NA MKUTANO WA WAPIGANIA UHURU KUSINI YA SAHARA 1953 KISA CHA ALLY SYKES, DENIS PHOMBEAH NA KENNETH KAUNDA TANGANYIKA NA WAPIGANIA UHURU WA...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ukweli huu umejidhihirisha awamu ya 5 Wafitini, wachochezi, wasiokuwa wazalendo, wanafiki, mabeberu, mafisadi, wala rushwa kwa ujumla wao itaeaona wanatoa majibu kwenye komenti kama hizi muhimu...
0 Reactions
2 Replies
926 Views
Dunia ina mambo siyo kidogo. Wakati ambao unahisi upo kwenye nyakati ngumu kuna wenzako mikiki wanayopitia ni mara mia ya hiyo ya kwako!! Kwanza siku hizi, kizazi cha millenials, tuna raha...
5 Reactions
3 Replies
1K Views
Qaddafi was not killed for humanitarian purposes but for the oil and for money. His ideas of an African gold-backed currency were his major undoing. The recent Hillary Clinton email leaks have...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ugeni wa SADC ni wetu sote na tunaupenda sana Sisi Watanzania, lakini kamati ya mapokezi fanyeni kila kitu kinachowezekana ili msisababishe foleni ndefu za muda mrefu njiani Kwa wananchi wenzenu...
0 Reactions
0 Replies
981 Views
" Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini ya nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare (au Chasu). Wapare wanatokea katika wilaya za Same na Mwanga, mkoa wa...
1 Reactions
36 Replies
12K Views
Sultani Abdulrauf Songea Mbano Kibao kimeandika jina lake kama ''Lwafu'' Nduna Mbano Kaburi la Sultani Abdulrauf Songea Mbano Kwa miaka mingi sana na hadi leo jina la Sultani wa Wangoni...
10 Reactions
252 Replies
35K Views
Warangi ni moja ya makabila ya Kibantu. Pia huwekwa kwenye kundi la Wabantu lijulikanalo kama kundi la Niger-Congo. Kabila la Warangi lilianza lini, bado ni suala la mdahalo kwani wanasayansi wa...
1 Reactions
15 Replies
20K Views
KITABU NILICHOSOMA: WATU MASHUHURU KATIKA UHURU WA TANGANYIKA Na Hafidh Kido Hafidh Kido akipokea kitabu kutoka kwa Mwandishi KATIKA jamii tuliyonayo hatuna budi kusoma maandishi yoyote kwa...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
''Kila chini ya paa la nyumba kuna historia,'' maneno haya aliniambia Dome Okochi Budohi mwaka wa 1972 nyumbani kwake Ruiru, nje kidogo ya Nairobi. Hapo juu ni picha ya Ring Street na Upanga Road...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom