Harusi ya Oscar na Flora Kambona iliyofanyika katika kanisa juu la Mtume Paulo mjini London

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
1553274778658.jpeg


Julius Nyerere ndiye alikuwa mpambe wa bwana harusi.
 
Uvumilivu wa kukubali siasa za ndiyo mzee? Mzee wenyewe alisema hadharani kuwa baadhi ya maamuzi yake hayakuwa na tija.

Kambona alisimamia alichokiamini.
Kambona aliingizwa mkenge tu na kundi lililomchukia nyerere

Hata km ni wewe ungekuwa rais kipindi nchi inapata uhuru halafu watokee watu wanayoyumbisha ujenzi wa msingi wa taifa sidhani km ungewachekea



God first
 
Kuna hypothesis inasema kwamba kukosana kwa Nyerere na Kambona ni kwa sababu Uingereza ilikuwa inamuandaa kichinichini Kambona kumpiku Nyerere. Imenichukua miaka mingi kuiamini hiyo dhana lakini baada ya hii picha sasa ndiyo inaanza kuniingia akilini.

Hebu angalia mazingira ya picha yenyewe. Kwanza Kambona kafungia ndoa Uingereza, siyo Tanganyika. Pesa za bonge la sherehe ya namna hiyo alizipata wapi.

Pili, Kambona alikuwepo TANU ilipoanza kutanuka na hata mwaka 1955 alifungua baadhi ya matawi. Lakini Mwaka 1956 akaenda kusoma, hivyo harusi hiyo ameifanya akiwa mwanafunzi. Tumeshahojia wingi wa pesa za harusi wakati chama chake TANU hakikuwa na pesa. Je, wazungu na askari hao wote pichani walikuwa wanashangialia figure ya aina gani wakati Tanganyia Nyerere alikuwa hakoswi kubambikiziwa kesi na TANU kuonekana chama cha wahuni.

Kama Nyerere alikuwa Best Man basi alimkomesha Kamboa bila kujua maana alijionea kila kitu mwenyewe huko London kuliko angesimuliwa.

OK. Baada ya uhuru inasemekana Kambona alikuwa kila mwaka account yake inaingiziwa mapesa mengi. Kufikia mwaka 1967 Kambona alikuwa ni tajiri kuliko mtu yeyote serikalini. Pesa hizo zilikuwa zinatoka wapi na zilikuwa ni za nini?

Suala la Kambona linahitaji utafiti mwingi lakini hata haya tunaweza kuyamulika na kuyatumia.

Kuhusu Kambona kufika mbali hili ndilo lilikuwa wazo lake na ikiwezekana pia lilimksanisha Nyerere. Kufika mbali maana yake ni kutoka uwaziri na kuwa Rais. Hii ingewezekana kama Nyerere angemzidi kwa miaka kuanzia 15 kwenda juu.

Lakini Kambona na Nyerere hawakuzidiana hata miaka mitano. Hivyo suala la kumrithi lisingewezekana na ndiyo maana Nyerere alilijua akawa na tahadhari na Kambona mapema sana.

Kambona angekuwa mvumilivu angefika mbali
Vijana mnalakujifunza hapa sio kila muda kuropoka ropoka tu

God first
Kambona aliingizwa mkenge tu na kundi lililomchukia nyerere

Hata km ni wewe ungekuwa rais kipindi nchi inapata uhuru halafu watokee watu wanayoyumbisha ujenzi wa msingi wa taifa sidhani km ungewachekea



God first
Uvumilivu wa kukubali siasa za ndiyo mzee? Mzee wenyewe alisema hadharani kuwa baadhi ya maamuzi yake hayakuwa na tija.

Kambona alisimamia alichokiamini.
Kambona angekuwa mvumilivu angefika mbali
Vijana mnalakujifunza hapa sio kila muda kuropoka ropoka tu

God first
 
Kuna hypothesis inasema kwamba kukosana kwa Nyerere na Kambona ni kwa sababu Uingereza ilikuwa inamuandaa kichinichini Kambona kumpiku Nyerere. Imenichukua miaka mingi kuiamini hiyo dhana lakini baada ya hii picha sasa ndiyo inaanza kuniingia akilini.

Hebu angalia mazingira ya picha yenyewe. Kwanza Kambona kafungia ndoa Uingereza, siyo Tanganyika. Pesa za bonge la sherehe ya namna hiyo alizipata wapi.

Pili, Kambona alikuwepo TANU ilipoanza kutanuka na hata mwaka 1955 alifungua baadhi ya matawi. Lakini Mwaka 1956 akaenda kusoma, hivyo harusi hiyo ameifanya akiwa mwanafunzi. Tumeshahojia wingi wa pesa za harusi wakati chama chake TANU hakikuwa na pesa. Je, wazungu na askari hao wote pichani walikuwa wanashangialia figure ya aina gani wakati Tanganyia Nyerere alikuwa hakoswi kubambikiziwa kesi na TANU kuonekana chama cha wahuni.

Kama Nyerere alikuwa Best Man basi alimkomesha Kamboa bila kujua maana alijionea kila kitu mwenyewe huko London kuliko angesimuliwa.

OK. Baada ya uhuru inasemekana Kambona alikuwa kila mwaka account yake inaingiziwa mapesa mengi. Kufikia mwaka 1967 Kambona alikuwa ni tajiri kuliko mtu yeyote serikalini. Pesa hizo zilikuwa zinatoka wapi na zilikuwa ni za nini?

Suala la Kambona linahitaji utafiti mwingi lakini hata haya tunaweza kuyamulika na kuyatumia.

Kuhusu Kambona kufika mbali hili ndilo lilikuwa wazo lake na ikiwezekana pia lilimksanisha Nyerere. Kufika mbali maana yake ni kutoka uwaziri na kuwa Rais. Hii ingewezekana kama Nyerere angemzidi kwa miaka kuanzia 15 kwenda juu.

Lakini Kambona na Nyerere hawakuzidiana hata miaka mitano. Hivyo suala la kumrithi lisingewezekana na ndiyo maana Nyerere alilijua akawa na tahadhari na Kambona mapema sana.

Acha kusingizia wazungu kwa kila kitu, Nyerere alipotaka kupinduliwa na jeshi mwaka 1964 nani alizima maasi yale kama si askari wa muingereza?. kama wangetaka aondoke si wangemuondoa tu mwaka huo nakumuachia nchi Kambona aliyeshiriki kikamilifu kuzima yale maasi?
 
Acha kusingizia wazungu kwa kila kitu, Nyerere alipotaka kupinduliwa na jeshi mwaka 1964 nani alizima maasi yale kama si askari wa muingereza?. kama wangetaka aondoke si wangemuondoa tu mwaka huo nakumuachia nchi Kambona aliyeshiriki kikamilifu kuzima yale maasi?

Jibu hoja zangu kabla ya hoja yako mpya ya mapinduzi ya 1964.
 
Kuna hypothesis inasema kwamba kukosana kwa Nyerere na Kambona ni kwa sababu Uingereza ilikuwa inamuandaa kichinichini Kambona kumpiku Nyerere. Imenichukua miaka mingi kuiamini hiyo dhana lakini baada ya hii picha sasa ndiyo inaanza kuniingia akilini.

Hebu angalia mazingira ya picha yenyewe. Kwanza Kambona kafungia ndoa Uingereza, siyo Tanganyika. Pesa za bonge la sherehe ya namna hiyo alizipata wapi.

Pili, Kambona alikuwepo TANU ilipoanza kutanuka na hata mwaka 1955 alifungua baadhi ya matawi. Lakini Mwaka 1956 akaenda kusoma, hivyo harusi hiyo ameifanya akiwa mwanafunzi. Tumeshahojia wingi wa pesa za harusi wakati chama chake TANU hakikuwa na pesa. Je, wazungu na askari hao wote pichani walikuwa wanashangialia figure ya aina gani wakati Tanganyia Nyerere alikuwa hakoswi kubambikiziwa kesi na TANU kuonekana chama cha wahuni.

Kama Nyerere alikuwa Best Man basi alimkomesha Kamboa bila kujua maana alijionea kila kitu mwenyewe huko London kuliko angesimuliwa.

OK. Baada ya uhuru inasemekana Kambona alikuwa kila mwaka account yake inaingiziwa mapesa mengi. Kufikia mwaka 1967 Kambona alikuwa ni tajiri kuliko mtu yeyote serikalini. Pesa hizo zilikuwa zinatoka wapi na zilikuwa ni za nini?

Suala la Kambona linahitaji utafiti mwingi lakini hata haya tunaweza kuyamulika na kuyatumia.

Kuhusu Kambona kufika mbali hili ndilo lilikuwa wazo lake na ikiwezekana pia lilimksanisha Nyerere. Kufika mbali maana yake ni kutoka uwaziri na kuwa Rais. Hii ingewezekana kama Nyerere angemzidi kwa miaka kuanzia 15 kwenda juu.

Lakini Kambona na Nyerere hawakuzidiana hata miaka mitano. Hivyo suala la kumrithi lisingewezekana na ndiyo maana Nyerere alilijua akawa na tahadhari na Kambona mapema sana.
Maneno yako yana ukweli ndani yake, Hata mimi nilijiuliza askari hawa walipataje kulinda hii harusi wakati Kambona wala mkewe hawakuwa wa familia ya kifalme ya Uingereza. Kwanza kupata kibali cha kufunga ndoa St Paul’s si jambo la kitoto.

Hata alivyokimbilia Uingereza, alikuwa na matumaini ya kuendeleza mapambano ya kumng’oa Nyerere akiwa nje ya nchi.

Bahati mbaya au nzuri, ule ulikuwa ni wakati wa Cold War na Ujerumani Mashariki walitoa mafunzo mengi kwa Usalama wa Taifa. Tanzania ilikuwa na itelejensia ya hali ya juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom