#TUJIKUMBUSHE
Ukiambiwa Dr Salim Ahmed Salim aliteuliwa balozi nchini Misri akiwa na miaka 22 halafu ukalinganisha na vijana wetu wa leo wenye elimu na umri huo utaona km vile tunarudi nyuma...
Vita kuu ya pili ya dunia. Ujerumani ya Hitler ikiwa imezipiga na kuzikalia nchi nyingi za Ulaya ikiwemo Ufaransa ilivamiwa na UK na US na nchi washirika (zikiwemo Canada, Uholanzi, New Zealand na...
Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume, kama unasaba wa uspain wa zamani utazingatiwa.
Ingawaje ni vyema kufahamu pia kuwa nyingi ya vyanzo vingi vya miaka ya kale ima vimeharibiwa au havipo wazi...
Tanzania ni nchi ya maajabu nchi yenye historia ilio tukuka. Kumbe miaka ya 1932 kundi kubwa la wa Europia Poland walikuja kupiga kambi Tanzania kama wakimbizi wakati huo ikiitwa Tanganyika...
Juni 5-7/2017 majonzi makubwa yalitawala kwa kuondokewa na mwanamziki ambaye hakika alitoa mchango mkubwa katika sanaa.
Huyu ni Halila Tongolanga. Nadhani wengi wetu mtakumbuka kibao chake...
Kwanza napenda ifahamike kuwa dhumuni la kuipandisha clip hii hapa ni kumpinga huyo anaejiita "Sungura Media" aliyeipandisha clip hii youtube na kuandika kuwa eti ni "video ya siri". Haya...
Wako wapi leo?
Julius Kambarage Nyerere
All Hassan Mwinyi
Idris Abdul Wakil
Joseph Sinde Warioba
Salim Ahmed Salim
Rashidi Kawawa
Gertrude Ibengwe Mongella
Abdullah Saidi Natepe
Ameir Mohamed...
Wadau naomba mwenye taarifa kamili za SHEIKH AMRI ABEID anipatie kwani nimejitahidi kufuatilia kwenye vyanzo tofauti nimeshindwa kabisa kupata taarifa zake.
Nimeuliza wakazi wengi wa Arusha...
Kilimanjaro ni neno maarufu sana miongoni mwa wakaazi wa Afrika na duniani kote. Umaarufu wa jina hili umetokana na Mlima mrefu uliosimama pekee unaoitwa Mlima Kilimanjaro, upatikanao kaskazini...
Mwaka 1845 Warumi walianza kula kifungua kinywa chenye mayai. Kwa mwanaume mwenye uwezo mzuri kiuchumi chai ya asubuhi ilijumlisha mayai manne ya kuchemsha.
BURIANI HASSAN MBASHIR
MWANAMJI MPENZI WA SUNDERLAND NA SIMBA
Hassan Mbashir katika uhai wake alikuwa mtu maarufu Dar es Salaam ile ambayo wengi wetu tulikulia.
Alikuwa mpenzi mkubwa wa...
MFUNGO WA RAMADHANI KATIKA MJI WA HARARE ZIMBABWE
Zamani ilikuwa ukiwa na safari unahitaji vibali kadhaa ili uweze kusafiri, iwe safari ya kikazi au vinginevyo.
Kwanza utahitaji kibali cha Benki...
Jamani hiki kitu nimekuwa nikikiwaza kwa muda mrefu sana, hivi kati ya Mwalimu na Mandela nani alitoa mchango mkubwa zaidi?
Kwa fikra zangu nijuavyo mimi, Nyerere alitoa mchango mkubwa sana...
Alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Alikuwa ni mchapa kazi sana na miongoni mwa Wakuu wa Mikoa waliokuwa kipenzi cha Baba wa Taifa miaka hiyo. Katika uongozi wake, alipandisha hadhi ya...
Binafsi nimejipa utaratibu kuwa vitabu vinavyohusu uafrika na waafri sitavitilia mkazo sana vile vilivyoandikwa na wazungu bali vilivyoandikwa na Waafrika wenyewe! Mfano ukisoma historia ya Mkwawa...
Darsa hii ya Tafsir ya Qur'an hapa Ujiji kila Mwezi wa Ramadhani iliasisiwa na Sheikh Swedi Bin Abdallah Silanda miaka mingi iliyopita.
Sheikh Swedi alikuwa mwanafunzi wa Sheikh Khalfan Zindijali...
Wadau wa historia ya Tanganyika mnisaidie.
Mwaka 1958 uchaguzi ulifanyika Tanganyika na TANU kupata viti 29 kati ya 30 huku kiti kimoja cha ubunge yani Legislative Council kikichukuliwa na UTP...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.