Jukwaa la Historia

On JF:

#TUJIKUMBUSHE Ukiambiwa Dr Salim Ahmed Salim aliteuliwa balozi nchini Misri akiwa na miaka 22 halafu ukalinganisha na vijana wetu wa leo wenye elimu na umri huo utaona km vile tunarudi nyuma...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Vita kuu ya pili ya dunia. Ujerumani ya Hitler ikiwa imezipiga na kuzikalia nchi nyingi za Ulaya ikiwemo Ufaransa ilivamiwa na UK na US na nchi washirika (zikiwemo Canada, Uholanzi, New Zealand na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume, kama unasaba wa uspain wa zamani utazingatiwa. Ingawaje ni vyema kufahamu pia kuwa nyingi ya vyanzo vingi vya miaka ya kale ima vimeharibiwa au havipo wazi...
5 Reactions
118 Replies
22K Views
Tanzania ni nchi ya maajabu nchi yenye historia ilio tukuka. Kumbe miaka ya 1932 kundi kubwa la wa Europia Poland walikuja kupiga kambi Tanzania kama wakimbizi wakati huo ikiitwa Tanganyika...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Juni 5-7/2017 majonzi makubwa yalitawala kwa kuondokewa na mwanamziki ambaye hakika alitoa mchango mkubwa katika sanaa. Huyu ni Halila Tongolanga. Nadhani wengi wetu mtakumbuka kibao chake...
2 Reactions
4 Replies
45K Views
  • Closed
Kwanza napenda ifahamike kuwa dhumuni la kuipandisha clip hii hapa ni kumpinga huyo anaejiita "Sungura Media" aliyeipandisha clip hii youtube na kuandika kuwa eti ni "video ya siri". Haya...
14 Reactions
327 Replies
30K Views
Wako wapi leo? Julius Kambarage Nyerere All Hassan Mwinyi Idris Abdul Wakil Joseph Sinde Warioba Salim Ahmed Salim Rashidi Kawawa Gertrude Ibengwe Mongella Abdullah Saidi Natepe Ameir Mohamed...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau naomba mwenye taarifa kamili za SHEIKH AMRI ABEID anipatie kwani nimejitahidi kufuatilia kwenye vyanzo tofauti nimeshindwa kabisa kupata taarifa zake. Nimeuliza wakazi wengi wa Arusha...
1 Reactions
44 Replies
30K Views
Kilimanjaro ni neno maarufu sana miongoni mwa wakaazi wa Afrika na duniani kote. Umaarufu wa jina hili umetokana na Mlima mrefu uliosimama pekee unaoitwa Mlima Kilimanjaro, upatikanao kaskazini...
2 Reactions
8 Replies
12K Views
Mwaka 1845 Warumi walianza kula kifungua kinywa chenye mayai. Kwa mwanaume mwenye uwezo mzuri kiuchumi chai ya asubuhi ilijumlisha mayai manne ya kuchemsha.
6 Reactions
1 Replies
2K Views
BURIANI HASSAN MBASHIR MWANAMJI MPENZI WA SUNDERLAND NA SIMBA Hassan Mbashir katika uhai wake alikuwa mtu maarufu Dar es Salaam ile ambayo wengi wetu tulikulia. Alikuwa mpenzi mkubwa wa...
6 Reactions
13 Replies
3K Views
MFUNGO WA RAMADHANI KATIKA MJI WA HARARE ZIMBABWE Zamani ilikuwa ukiwa na safari unahitaji vibali kadhaa ili uweze kusafiri, iwe safari ya kikazi au vinginevyo. Kwanza utahitaji kibali cha Benki...
18 Reactions
29 Replies
5K Views
Jamani hiki kitu nimekuwa nikikiwaza kwa muda mrefu sana, hivi kati ya Mwalimu na Mandela nani alitoa mchango mkubwa zaidi? Kwa fikra zangu nijuavyo mimi, Nyerere alitoa mchango mkubwa sana...
3 Reactions
117 Replies
10K Views
Alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Alikuwa ni mchapa kazi sana na miongoni mwa Wakuu wa Mikoa waliokuwa kipenzi cha Baba wa Taifa miaka hiyo. Katika uongozi wake, alipandisha hadhi ya...
5 Reactions
29 Replies
10K Views
Binafsi nimejipa utaratibu kuwa vitabu vinavyohusu uafrika na waafri sitavitilia mkazo sana vile vilivyoandikwa na wazungu bali vilivyoandikwa na Waafrika wenyewe! Mfano ukisoma historia ya Mkwawa...
9 Reactions
83 Replies
13K Views
Darsa hii ya Tafsir ya Qur'an hapa Ujiji kila Mwezi wa Ramadhani iliasisiwa na Sheikh Swedi Bin Abdallah Silanda miaka mingi iliyopita. Sheikh Swedi alikuwa mwanafunzi wa Sheikh Khalfan Zindijali...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau wa historia ya Tanganyika mnisaidie. Mwaka 1958 uchaguzi ulifanyika Tanganyika na TANU kupata viti 29 kati ya 30 huku kiti kimoja cha ubunge yani Legislative Council kikichukuliwa na UTP...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Our ancestors had adopted Arabic culture you can tell from their dress code.
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom