Mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza wa Zimbabwe, Robert Mugabe umehifadhiwa katika eneo ambalo alizaliwa, baada ya juzi kuagwa katika mji mkuu wa Harare, katika hafla iliyoshuhudiwa na watu kiduchu...
Wasalaam;
Jamaa alifahamika kwa jina la Edward Makuka Nkoloso alipata kuwa Colonel wa jeshi mwalimu na mwanaharakati nchini Zambia
Kubwa zaidi alikuwa National director of the science academy...
UMAR ''SIMBA WA JANGWANI'' MUKHTAR
Umar Mukhtar akiwa kafungwa minyororo baada ya kukamatwa
Siku kama ya leo tarehe 16 Septemba 1931 ndiyo siku Umar Mukhtar alinyongwa na Wataliani baada ya...
Katika kitabu cha maisha yake alichoandika, ''Khrushchev Remembers,'' Nikita Khrushchev anaeleza usaliti wa Beria wakati Joseph Stalin ni mgonjwa akizimia na kuzinduka.
Akiwa katika hali ya...
NOTE: Your input is atmost importance. Lets change our minds and support Tanzania and Magufuli despite his good deeds also he is a human being just like us and that means he is not perfect. But...
MFAHAMU MTOTO WA RAIS ALIYETUMIA CHEO CHA BABA YAKE KUUA, KUTEKA NA KUPOTEZA WAKOSOAJI WA BABA YAKE
Huyu anaitwa Charles "Chuckie" McArthur Emmanuel Taylor Jr, au wenyewe walimuita Demon. Huyu...
WAMANYEMA WA DAR ES SALAAM KATIKA TANU NA SIASA ZA KUDAI UHURU
Iddi Faiz Mafongo TANU Card No. 24 Iddi Tosiri TANU Card No. 25 Ndugu Wawili Katika Kupigania Uhuru wa Tanganyika, 1954
Wamanyema...
Leo nimebahatika kusikiliza kipindi cha channel Ten ambacho huwa kinazungumzia maswala ya utalii lakini leo walijikita kuzungumzia historia ya jiji la Dar es salaam.Wakati niko shule mojawapo ya...
Waliokaa kwenye viti mbele wa kwanza Dossa Aziz na nyuma yake wa kwanza aliyesimama ni Abbas Sykes na mbele waliokaa kwenye viti wa tano kutoka kulia ni Julius Nyerere ndani ya picha moja.
Jicho...
Najua hili litawavuruga wengi lakini ukweli ni kwamba hakuna kiongozi yoyote wa taifa huru la Afrika aliyeasisi taifa hilo baada ya ukoloni. Mataifa hayo yaliasisiwa na wakoloni wenyewe.
Sababu...
MACHOZI YA ABBAS SYKES (1929 - ) SEHEMU YA NNE: RAMADHANI MASHADO PLANTAN NA DOSSA AZIZ
Kwa kipindi cha zaidi ya miaka thelathini si CCM wala si rafiki yake mpenzi Julius Nyerere alikuwa...
Kwanza kabisa salam Wakuu
Siku kama ya leo 9 September 1990 aliyekua Kiongozi wa Liberia Samuel doe alisulubiwa na kuuawa kikatili ..
Ni moja ya Dikteta ambaye alikua Mkabila, akijificha kwenye...
HUYU NDIYO ALLY SYKES MZEE WA FITINA.
Na.Ramadhan Makero
UHURU wa Tanganyika haukuwa kazi rahisi kupatikana kama ambavyo wengi wanadhania.
Ili kuwa ni shughuli pevu iliyohitaji kujitoa kwa hali...
HOSPITALI YA SOKOINE MKOANI LINDI MADUDU MATUPU
Hospitali ya sokoine ndio hospitali ya mkoa wa lindi
Inasikitisha sana unskilled worker ambae si daktari alimfunga POP ndugu yangu siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.