Kwanini ''The Successful Commando in History Alexander the Great'' hakuongoza majeshi yake kuelekea West Europe?

smaki

JF-Expert Member
Jan 23, 2019
4,977
3,066
Wadau mimi naomba kuuliza hivi:

Kwa nini Alexander The Great hakupiigana vita na kuziteka nchi za Ulaya Magharibi vile vile na zile za Ulaya Kaskazini ambako kuna maendeleo makubwa?

Badala yake alielekeza nguvu zake zote kusini mwa bara Ulaya kwa maana ya Africa Kaskazini ambako ni maskini sana tu, na hata alipoendeleza mashambulizi huko India wajeda walimgomea kabisaa.

Mojawapo ya madai yao ni kuwa walitaka kurudi kwao! Lakini hawakurudi badala yake waliishi na kujitwalia Africa Kaskazini ndo pakawa makao makuu yao, tena basi kwa maskini, na huyu jamaa anaye semekana alikuwa jini pia alifia Africa why? why?
 
From what I know

Nikirejea historia

Ujue nchi nyingi za Ulaya zimeanza kuwa developed kwenye karne ya 18, yani hapo ndo Wazungu akili zilianza kuwafunguka na kuanza kutafuta utajiri (wealth accumulation) na population yao ikaanza kuongezeka. So, kabla ya hapo, nchi za Ulaya zilikuwa na lowest population afu masikini, so there were nothing to conquer.

Ila nchi za mashariki ya Kati bara Hindi na Arab states zilikuwa organized na kustaarabika muda mrefu kabla ya kuzaliwa Kristo na kilichowainua ilikuwa ni biashara kwa kwenda mataifa mbalimbali kukusanya vito vya thamani na kuviuza afu India kulikuwa na madini ya kila aina na mengi. Unajua wale jamaa ni watafutaji, kwaiyo kupitia hilo zikawa nchi tajiri sana kwa mfano Babeli ufalme mkubwa ulikuwa upo Mashariki ya Kati Leo ni Iraq ulikuwa na dhahabu za kutosha kwaiyo Alexanda mkuu lengo lake lilikuwa zuri kwenda eastern states maana ndipo kulipo kuwa kumeendelea tofauti na western states.

Na ilikuwa ukiteka falme za mashariki umeiteka dunia kwa wakati huo. Ila baadae wazungu wakaja na fitina na akili za maendeleo wakafitinisha nchi za mashariki ttajiri wakauchukua wao ila maendeleo ya teknolojia ndio yaliyo wainua wazungu kwenye miaka ya 1800

Huwezi shindana na teknolojia Waarabu wakabaki na primitive ways wazungu wakabuni modern ways wakawapiku. Kwaiyo basi miaka ile maendeleo yalikuwa mashariki Arabs na bara Hindi.
 
Thank you mkuu, ina maana hawana muda mrefu kwenye ubora wa Maendeleo;

Mbona sasa hawamthamini Alex/mkuu kama aliye watoa tongotongo, wapowapo tu?
 
From what I know

Nikirejea historia

Ujue nchi nyingi za ulaya zimeanza kuwa developed kwenye karne ya 18 yani hapo ndo wazungu akili zilianza kuwafunguka na kuanza kutafuta utajiri (wealth accumulation) na population yao ikaanza kuongezeka so kabla ya hapo nchi za ulaya zilikuwa na lowest population afu masikini masikini so there were nothing to conquer
Ila nchi za mashariki ya Kati bara Hindi na Arab states zilikuwa organized na kustaarabika muda mrefu kabla ya kuzaliwa kristo na kilichowainua ilikuwa ni biashara kwa kwenda mataifa mbalimbali kukusanya vito vya thamani na kuviuza afu India kulikuwa na madini ya kila aina na mengi . Unajua wale jamaa ni watafutaji. Kwaiyo kupitia hilo zikawa nchi tajiri sana kwa mfano babeli ufalme mkubwa ulikuwa upo mashariki ya Kati Leo ni Iraq ulikuwa na dhahabu za kutosha kwaiyo Alexanda mkuu lengo lake lilikuwa zuri kwenda eastern states maana ndipo kulipo kuwa kumeendelea tofauti na western states Na ilikuwa ukiteka falme za mashariki umeiteka dunia kwa wakati huo. Ila baadae wazungu wakaja na fitina na akili za maendeleo wakafitinisha nchi za mashariki utajiri wakauchukua wao ila maendeleo ya teknolojia ndio yaliyo wainua wazungu kwenye miaka ya 1800

Huwezi shindana na teknolojia Waarabu wakabaki na primitive ways wazungu wakabuni modern ways wakawapiku. Kwaiyo basi miaka ile maendeleo yalikuwa mashariki Arabs na bara hindi

Karne ya 18 Ulaya tayari inatawala dunia,maendeleo yao yameanza karne ya 11 anzia na vita ya msalaba na hii ilikuja baada ya papa wa RC kuwaita wafalme dhaifu wa Ulaya ya wakati huo na kuwaambia waache kupigana vita za kiukoo,waende mashariki waka pambane kuichukua nchi takatifu na utajiri.Mambo yalianzia hapo ya kifuatiwa na maendeleo ya sayansi na teknolojia.
 
Ulaya hakuna utajiri wowote... hakuna rasilimali zozote...

Mambo mengi makubwa yanatokea na yapo Africa, huko ulaya wanafanya kuyaboresha tuu.

Africa sisi siyo maskini, ila tushapumbazwa na hao wanaojiita western countries kwamba sisi siyo chochote wala lolote wao ndiyo kila kitu.

Cc: mahondaw
 
Mpaka mwaka 285 B.C Persia ndio ilikuwa dola kubwa na maendeleo ya kufa mtu walikuwa wakiitawala dunia wakati huo mji mkuu wake ulikuwa ni Babylon, na alipowashinda persia akawa mtawala wa dunia, ni kama leo ukitaka kuitawala dunia lazima umshinde Mmarekani akiangua huyo hao wengine wananywea.
 
Nyakati zaenzi hizo upande wa mashariki ndo ulikuwa na nguvu kiuchumi na j=kijeshi kuliko hiyo magharibi. kumbuka enzi hizo Irani,Iraq Ndo dola zilizokuwa zinatamba. Dola ya Rumi kwa maana ya Ulaya ilikuwa bado haijawa na nguvu kiuchumi na kijeshi.
 
smaki,

Alikufa na utapiamlo akiwa na miaka 33. He was so brutal and violent. By that age, he was completely worn out and he could go further. Yes his wars were directed to the civilized nations. West Africa and Eastern Europe were more advanced by that time.
 
karne ya 18 ulaya tayari inatawala dunia,maendeleo yao yameanza karne ya 11 anzia na vita ya msalaba na hii ilikuja baada ya papa wa RC kuwaita wafalme dhaifu wa Ulaya ya wakati huo na kuwaambia waache kupigana vita za kiukoo,waende mashariki waka pambane kuichukua nchi takatifu na utajiri.Mambo yalianzia hapo ya kifuatiwa na maendeleo ya sayansi na technolojia.
Wazungu walikuwa wapi kipindi hiki kabla ya mapigano haya. na Ulaya kulikuwa na barafu, je Agano jipya wazungu wamo? yaani wametajwa.

ukiangalia historia wazungu walizuka ghafla
 
Ndugu yangu, hata mimi mwenyewe sijui.

Wadau mimi naomba kuuliza hivi kwa nini ALEXANDER The Great hakupiigana vita na kuziteka nchi za Ulaya Magharibi vile vile na zile za Ulaya Kaskazini ambako kuna maendeleo makubwa? Badala yake alielekeza nguvu zake zote kusini mwa Bara Ulaya kwa maana ya Africa Kaskazini ambako ni maskini sana tuu, na hata alipo endeleza mashambulizi huko India wajeda walimgomea kabisaa.

Mojawapo ya madai yao ni kuwa walitaka kurudi kwao! Lakini hawakurudi badala yake waliishi na kujitwalia Africa kaskazini ndo pakawa makao makuu yao tena basi kwa maskini na huyu jamaa anaye semekana alikuwa Jini pia alifia Africa why? why?
 
Ustaarab kipindi hicho unauoata mashariki na africa na hapo mediterania huko ulaya walikuwa bado walipitwa hata hii kilwa yetu na bagamoyo
 
Ama kweli Africa bana ni vichwa; Mleta mada nakushukuru sana tena mno mimi na mke wangu umenifungua akili vibaya sana, imebidi nisome kwa bidii huu utamu ulioniletea humu.

Amini usiamini najidai sana mpaka sasa kuwa sisi ni zaidi ya wazungu na huenda wengi wetu tumetoka Royal Family hapo Egypt, siyo mbali na Tanzania yetu,

Tumelishwa Matango pori haswa mpaka tumevembewa. shukrani Bidada ila naomba kujua km umeolewa au bado upoupo kwanza siyo kwa nia mbaya nina mke wangu.
 
Alexander The Great aliendelea na conquests zake kuelekea mashariki kilichojiri ni kwamba mziki mnene alikutana nao Maeneo ambayo leo ipo nchi ya Afghanistan vita ilikuwa ngumu hayo maeneo(Afghanistan&Pakistan)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom