Nadhani mambo ya kibiblia huwa yanajirudia rudia katika vipindi mbali mbali, na katika maeneo mbali mbali in a small way.
Story ya Samson na Delilah inaweza kujirudia in a small way kwenye...
Ahmed Rajab na Rais Mstaafu Jenerali Ibrahim Babangida
Ahmed Rajab na Rais Mstaafu Jenerali Ibrahim Babangida
KAMA kuna mtawala wa kijeshi aliyewaweza Wanigeria basi alikuwa Ibrahim Badamasi...
AHMED ADAM – MNUBI ALIYEMKIRIMU NA KUMLAZA MWALIMU JULIUS NYERERE NYUMBANI KWAKE MIKINDANI 1955
Tukio dogo la kiburi cha askari mpumbavu wa mkoloni ndiko kulisababisha watu wa Mikindani...
TAAZIA: MOHAMED MLAMALI ADAM
MIMI NA MWALIMU WANGU
Mohammed Said
Sheikh Mohamed Mlamali Adam
Siku moja nimepita ofisini kwa Bwana Ally Sykes na katika mazungumzo yetu akaniambia kuwa alikuwa...
KIFO CHA IDDI FAIZ MAFUNGO 1987
Naamini bila ya chembe ya wasiwasi kuwa kwa sasa historia ya Iddi Faiz Mafungo inafahamika na wengi.
Iddi Faiz Mafungo Mweka Hazina wa TANU na Al Jamiatul...
MIAKA 20 BILA NYERERE:
MACHACHE KUTOKA HISTORIA YA SAFARI YA KWANZA YA MWALIMU NYERERE LINDI 1955
Kumbukumbu ya Miaka 20 bila ya Baba wa Taifa imeadhimishwa leo mjini Lindi lakini si wengi...
NINAVYOMKUMBUKA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE
MWALIMU MTU WA WATU 4
Mwalimu ameingia kaburini kama mtu aliyekuwa hana majivuno si kwa cheo chake au elimu yake.
Huyu ndiye Mwalimu...
NINAVYOMKUMBUKA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE
MWALIMU MTU WA WATU 3
Mwalimu kama vile alivyokuwa bingwa wa kupanga mikakati katika mchezo wa siasa dhidi ya mbinu za Gavana Edward...
JOSEPH STALIN NA VLADIMIR PUTIN, NI WAJEURI, WABABE NA MIAMBA INAYOFANANA URUSI, NI STALIN ALIYEINGIA IKULU YA KREMLIN KWA NGUVU, NA NI PUTIN ALIYEINGIA KREMLIN KWA KULAZIMISHWA LAKINI ANAYETAMANI...
WATAFITI KUTOKA KUMBUKUMBU YA NYUMBA YA MWALIMU NYERERE MAGOMENI WALIPONITEMBELEA
Jana Maghrib mimetembelewa na maofisa wawili kutoka Kumbukumbu ya Nyumba ya Mwalimu Julius Nyerere, Bi. Gilago...
NINAVYOMKUMBUKA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE
MWALIMU MTU WA WATU 2
Mwalimu alikuwa mtu kutoka bara, Mkristo Mkatoliki.
Alianza siasa hasa za kudai uhuru wa Tanganyika katika...
HOTUBA YA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE MBELE YA WAZEE WA DAR ES SALAAM DIAMOND JUBILEE HALL TAREHE 5 NOVEMBA, 1985
Tarehe 5 Novemba, 1985 kabla hajastaafu urais, Baba wa Taifa...
"Kamuzu Banda alizaliwa karibu na Kasungu, Malawi iliyokuwa wakati ule sehemu ya eneo lindwa la Afrika ya Kati ya Kiingereza (baadaye Nyasaland).
Wazazi walikuwa Mphonongo Banda na Akupingamnyama...
MOHAMED SAID AKIELEZA ALIVYOFIKIA KUANDIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
https://www.facebook.com/100022121633704/videos/342910389789679/?sfnsn=mo&vh=i
I have been reading history books, but in sum ending up in despair and unsatisfied! I happened to be enthusiastic in thoroughly studying the history of Tanganyika, call it Tanzania as it is, its...
Hilo Raia Mwema la leo tarehe 9 Oktoba 2019 TOLEO MAALUM LA MWALIMU NYERERE Balozi Abbas Sykes anaeleza toka siku ya kwanza 1952 Nyerere kenda nyumbani kwao Mtaa wa Stanley na Sikukuu kaongozana...
NINAVYOMKUMBUKA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE
MWALIMU MTU WA WATU 1
Miaka 20 iliyopita baada ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere nilimwandikia taazia...
Wakuu natumai nyote mu bukheri wa afya, Nianze kwa kuwasabahi.
Mimi nimekuwa nikisoma thread zenu pamoja na michango mbalimbali za wadau. Leo nabisha hodi kwa kuwashirikisha jambo hili la...
Leo alfajir nilikuwa napitia maktaba yangu nikakumbana na shajara
(diary) yangu ya 1991.
Hapo juu ni ukurasa wa tarehe 9 May. Huyo niliyemtaja kama, ‘’Ahmed,’’
ni Ahmed Rajab wakati ule alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.