Sura Mbaya, jambazi aliyeitikisa Tanzania kutoka Tabora

My Son drink water

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
4,932
13,283
Kuna watu wamefanya matukio ya kutisha lakini historia zao haziandikwi.

Kuna jambazi aliitikisa Tanzania alikuwa akiitwa Sura mbaya, si jina lake halisi bali lilitokana na matendo yake.

Jambazi hili lilikuwa likiishi Tabora miaka ya 1980.

Alikuwa na Uwezo wa kukupokonya chochote hata mkeo na alikuwa hakamatiki.

Najua mpo mnaojua historia ya hili jambazi karibuni mtiririke
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom