HAVE YOU EVER READ THIS? LET'S KNOW WHERE OUR MEN STARTED FROM
The history of the Tanzania Peoples Defense Force (TPDF) stretches back to when the Germans ruled the area known then as German East...
ZAIDI YA MIAKA 50 ILIYOPITA
Shule ni St. Joseph's Convent School.
Mwaka wa 1967.
Darasa Form 1D.
Class Teacher Mrs. De Souza.
Darasa hili mchanganyiko Wasichana na Wavulana.
Form 1C Wasichana...
Bwana Yesu Kristo (Adonai Yahushua Masiha) alizaliwa during the Feast of Tabernacles.
Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa.
The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the...
JOHN LIMO WA TPC NA CHAKI WA COSMOPOLITAN
Picha ya kwanza ni ya John Limo na picha ya pili ni ya Chaki mbae katika miaka ya 1960 alikuwa golikipa wa Cosmopolitan na Timu ya Taifa na aliacha...
Waarabu wa kale waliweza kuchonga miamba na kuifanya makazi, waliweka milango na madirisha kujikinga na baridi pia wanyama wakali hata wezi.
Walikwenda mbali zaidi katika mazingira ya Zama za Mawe.
MAZUNGUMZO MAFUPI NA KITUKUU CHA ABUSHIRI BIN SALIM AL HARITH
Leo jioni nimeingia katika duka moja.
Baada ya salaam kijana aliyekuwa pale dukani nyuma ya counter akanishukuru kwa kumwandika babu...
Kabla ya ujio wa wakoloni wahenga walikua wawindaji. Wenye nguvu waliwinda wanyama na wengine wakitembea kutafuta mizizi na matunda. Matunda ya asili yalikua ni pamoja na matango.
Wawindaji...
Tujumike kutizama ni wapi tulipotoka enzi mababu zetu wakati wa ukoloni,hiizi picha chini picha za jiji la mbeya kwa sasa ambazo zilipigwa miaka ya 1936-1937
[18/09, 22:27] MOHAMED SAID: Historia Ya Uhuru Wa Tanganyika |1950 - 1961 | Mohamed Said | Shemu Ya Kwanza
[18/09, 22:27] MOHAMED SAID: Tutaaza Saane na nusu Usiku Huu, LIVE usikose Sehemu ya Kwanza
Picha hiyo hapo chini ya Bi. Titi na akina mama wa Bukoba wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika nimeletewa kutoka Bukoba na mmoja wa watu ambao nawaheshimu sana katika kuhifadhi kumbukumbu...
ALIPOISHI BABA WA TAIFA BAADA YA KUACHA KAZI YA UALIMU 1955
Hapo ilipo nyumba hii ilikuwapo nyumba ya kawaida ingawa kwa wakati ule nyumba hiyo ilikuwa nyumba ya kuvutia pia.
Nyumba hiyo ilikuwa...
From Adam hadi Abraham (around 2000 years) patriachs ndio walikua watunzaji wa tumaini la injili. From Abraham hadi Yesu (around 2000 years) Abraham, Isaac, Jacob na uzao wao (Taifa la Israel la...
GREAT DISAPPOINTMENT
Great disappointment katika harakati ya Millerite ilikuwa majibu ambayo yalifuata tangazo la mhubiri wa Baptist Miller kwamba Yesu Kristo atarudi Duniani kufikia 1844, kile...
KINYOZI MWINGEREZA NA BARZA YAKE KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
Miaka ni 1950 kuendelea hadi 1960 hapo kwenye hiki kiwanja na hilo jengo alikuwa kinyozi jina lake Muingereza.
Mwingereza...
LEO KATIKA KUMBUKUMBU KUTOKA IKULU
Naangalia picha hiyo hapo chini iliyowekwa na Ikulu kama kumbukumbu na kwa hakika imenirudisha nyuma.
Ninapogeuza shingo kuangalia nyuma mimi hupenda kuingia...
JENGO LA AL JAMIATUL ISLAMIYYA FI TANGANYIKA
Lango kuu la kuingia jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) lililojengwa katika miaka ya mwanzoni miaka ya 1930...
NGOME NDOGO ALIYOJENGA HERMANN VON WISSMAN BAGAMOYO
Kiasi cha miaka 10 iliyopita nilifika kwenye hii ngome ndogo aliyojenga Hermann von Wissman wakati jeshi lake lenye askari wa Kinubi na Kizulu...
MTOTO WA GEREZANI ANAGOMBEA UBUNGE CANADA
Originally a native of Tanzania, I immigrated to Canada settling in Ottawa where I graduated from Ridgemont High School, followed by attending the SUNY...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.