Jukwaa la Historia

On JF:

Afrika nzima inasoma mambo yaliyoandikwa na mzungu Yasiyo zingatia ukweli wa historia halisi je ni sawa watoto wetu kuendelea nkuwaita wapinga ukoloni kuwa waasi?hapanalaIma tuwaze upya ndugu...
2 Reactions
1 Replies
900 Views
58 years ago today and in color: The March on Washington for Jobs and Freedom This was not long ago and far away.
1 Reactions
0 Replies
813 Views
NAUKUMBUKA MWAKA WA 1957 Alfajir. Baada ya sala ya Alfajir wengi wetu tukirudi nyumbani kutoka msikitini kitu cha kwanza, Bismillah mkono unakwenda kwenye simu kuangalia kuna ujumbe gani. Mimi...
10 Reactions
21 Replies
3K Views
Leo tujifunze kidogo historia ya nchi yetu pichani ni gavana wa Kwanza wa ujerumani kuitawala. Tanganyika bwana Julias von soden
2 Reactions
7 Replies
18K Views
GAZETI LA UHURU LILIPOSEMA KUWA PROF. MALIMA ATAJITOA CCM MSIKITINI TABORA 1995 Ijumaa moja tarehe 15 Julai mwaka wa 1995 gazeti la Uhuru, lilibeba kichwa cha habari katika wino mweusi uliokoza...
9 Reactions
27 Replies
4K Views
Sote tunaelewa kuwa mkutano wa Berlin wa mwaka 1984 ndio ulioigawa Afrika kuwa katika mipaka tuliyo nayo leo. Mkutano huo uliitishwa na Otto von Bismarck ili kuigawa Afrika miongoni mwa mataifa ya...
4 Reactions
18 Replies
4K Views
LEO NI IMETIMIA MIAKA 36 TOKA KIFO CHA BOB MARLEY. Alikuwa msanii wa reggae na mwanaharakati aliimba siasa na nyimbo za kutetea watu weusi JAMAICA mpaka serikali yake kumsaka vibaya na kukimbilia...
9 Reactions
69 Replies
31K Views
ABDALLAH TAMBAZA NA MOHAMED SAID PAMOJA NUSU KARNE NA KUMBUKUMBU YA SHAMA Alhamdulilah. Picha ya kwanza kushoto ni Abdallah Tambaza na huyo mwingine ni mimi. Hapo ni Jamhuri Park Nairobi katika...
10 Reactions
20 Replies
4K Views
Sio tu Tanzania, ni kanisa la kwanza Afrika Mashariki. HOLY GHOST CHURCH KANISA KATOLIKI BAGAMOYO, TANZANIA LILIJENGWA 1872 Wakiongozwa na Sultan Majidd binafsi, Waislamu wa Bagamoyo...
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Huyu Jamaa alikuwa Anakubalika sana na watu, Maana wakati wa kipindi cha kwanza cha uraisi wa Clinton, Bunge la Marekani, lilikuwa linamilikiwa na Republican. Hata hivyo, Clinton alimshinda...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
This is where they sat in 1884(Berlin) and divided Akebulan (Africa) among themselves without inviting a single African. They destroyed our heritage and made us become beggars of foreign aid. The...
9 Reactions
44 Replies
3K Views
Watu wengi huamaini kuwa nchi za kiislamu huwa haziwaheshimu wanawake na haziwezi kutawaliwa na wanawake. Hata hivyo miaka ya hivi karibuni imeonakana kuwa hilo siyo kweli kwani kule Pakistani...
9 Reactions
152 Replies
58K Views
Majeshi ya Libya yaelemewa na JWTZ nchini Uganda. #Sehemu #ya - 20. Toleo lililopita tuliona jinsi askari wa Libya walivyo elemewa nchini Uganda na namna wengine walivyouawa na wengine...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
KIPINDI MAALUM KUHUSU HARAKATI ZA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA 1954 - 1961 Swahili Villa on line TV ya Washington DC wamefanya Kipindi Maalum na Mwanahistoria Mohamed Said kuhusu harakati za...
4 Reactions
0 Replies
2K Views
TANZANIA THE STORY OF JULIUS NYERERE From the pages of Drum Picha ya kushoto ni mswada alionipa Jim Bailey mmiliki wa jarida la Drum kuhariri na kutafuta mchapaji yaani "publisher. "...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tukio hili limetokea miaka ya 1970's wakati wa mchakato wa Ujenzi wa Reli ya Tazara inayounganisha nchi za Tanzania na Zambia. Mradi huo wa kimkakati ulifadhiliwa na na Serikali ya China...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
WATU MASHUHURI KATIKA UHURU WA TANGANYIKA Vitabu hivi vina historia ya kusisimua ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika katika chama cha TANU lakini historia imewasahau. Ukianza kufungua...
10 Reactions
24 Replies
6K Views
Zaidi ya miaka elfu 7 iliyopita, eneo tambarare la jangwa la Atacama lilikuwa linakaliwa na kikundi cha wavuvi ambao walitengeneza teknolojia ambayo leo dunia inaitamani . Inahusu "utamaduni wa...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
KUMBUKUMBU ZA PROF. KIGHOMA MALIMA NA SHEIKH IBRAHIM MAVUMBI WA TABORA UCHAGUZI WA 1995 Radio ya gari yangu siku zote wakati wote ninapokuwa naendesha kituo changu ninachosikiliza ni TBC Taifa...
6 Reactions
29 Replies
6K Views
Back
Top Bottom