Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,900
- 30,235
BI. TITI MOHAMED (1926 - 2000)HANA MFANOWE
Historia ya Bi. Titi haijaandikwa.
Naamini ni watu wachache sana wanajua kuwa Bi. Titi Mohamed amepanda jukwaani kuhutubia mkutano wa TANU Viwanja Vya Mnazi Mmoja wala haijui sura ya Julius Kambarage Nyerere inafananaje.
Naamini pia si wengi halikadhalika wenye kujua kuwa wazungumzaji wakubwa wa TANU walikuwa watatu - Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU, Bi. Titi Mohamed na Julius Kambarage Nyerere walikuwa wakipanda jukwaani kuhutubia kwa mpangilio huu.
Hawa watatu na wengine katika viongozi ndiyo waliokuwa wakikaa juu ya jukwaa la TANU.
PICHA: Bi. Titi Mohamed akiwa juu ya jukwaa la TANU na Julius Nyerere wakihutubia wananchi bega kwa bega.
Bi. Titi Mohamed na viongozi wengine wa TANU John Rupia, Zuberi Mtemvu, Iddi Faiz Mafungo, Robert Makange, Rashid Sisso wakimsindikiza Nyerere safari ya kwanza UNO 1955.
Historia ya Bi. Titi haijaandikwa.
Naamini ni watu wachache sana wanajua kuwa Bi. Titi Mohamed amepanda jukwaani kuhutubia mkutano wa TANU Viwanja Vya Mnazi Mmoja wala haijui sura ya Julius Kambarage Nyerere inafananaje.
Naamini pia si wengi halikadhalika wenye kujua kuwa wazungumzaji wakubwa wa TANU walikuwa watatu - Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU, Bi. Titi Mohamed na Julius Kambarage Nyerere walikuwa wakipanda jukwaani kuhutubia kwa mpangilio huu.
Hawa watatu na wengine katika viongozi ndiyo waliokuwa wakikaa juu ya jukwaa la TANU.
PICHA: Bi. Titi Mohamed akiwa juu ya jukwaa la TANU na Julius Nyerere wakihutubia wananchi bega kwa bega.
Bi. Titi Mohamed na viongozi wengine wa TANU John Rupia, Zuberi Mtemvu, Iddi Faiz Mafungo, Robert Makange, Rashid Sisso wakimsindikiza Nyerere safari ya kwanza UNO 1955.