Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,916
- 30,259
MTAA WA MAFIA NA NYAMWEZI ZAMANI
Hii picha ya kwanza ni Mtaa wa Mafia na Nyamwezi na mbele ni Barabara ya Msimbazi.
Nyuma ni Mtaa wa Nyamwezi.
Nyumba ya Mzee Mussa Pazi iko mkono wa kulia haionekani kwenye picha.
Upande huo ndipo ilipokuwa nyumba aliyokuwa akiishi Sheikh Hassan bin Ameir.
Sehemu hiyo inayoonekana ndipo yalipokuwa yanatandikwa majamvi na Sheikh Hassan bin Ameir akiendesha darsa lake la Alfajir hapo.
Angalia hapo chini sehemu hii ilivyo hivi sasa picha inainyesha kona ya Mtaa wa Mafia na Nyamwezi:
Hii picha ya kwanza ni Mtaa wa Mafia na Nyamwezi na mbele ni Barabara ya Msimbazi.
Nyuma ni Mtaa wa Nyamwezi.
Nyumba ya Mzee Mussa Pazi iko mkono wa kulia haionekani kwenye picha.
Upande huo ndipo ilipokuwa nyumba aliyokuwa akiishi Sheikh Hassan bin Ameir.
Sehemu hiyo inayoonekana ndipo yalipokuwa yanatandikwa majamvi na Sheikh Hassan bin Ameir akiendesha darsa lake la Alfajir hapo.
Angalia hapo chini sehemu hii ilivyo hivi sasa picha inainyesha kona ya Mtaa wa Mafia na Nyamwezi: