Tumetembelea shule ya Ivumwe high school kuzindua mradi wetu mpya wa swahili family youth future and leadership empowerment program
TUTAKUA NA MASHINDANO YA DEBATE PAMOJA NA MDAHALO NA MSHINDI...
Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeanzisha utaratibu wa wanafunzi wa mwaka wa tatu kufanya utafiti (research) na kuufanyia utetezi (defence) katika muhula huu.
Hata hivyo, wanafunzi...
Tunahitaji msaada hapo NACTVET Mikocheni unaenda unakaa siku nzima unaambiwa tu kuwa mtandao unasumbua, watu wanahitaji AVN Number, Transcript za matokeo na shida zingine pia zinazohusu huduma za...
Kero yangu kubwa kuhusu NACTVET ukiwapigia simu hawapokei na inapotokea wamepokea hawaelekezi vizuri, wanafanya kazi kama vile wamelazimishwa.
Yaani kila ukipiga simu ni kama vile hawataki...
Nina malalamiko yangu kwa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kuhusu huduma ya mawasiliano kwa wateja.
Kumekuwa na changamoto kubwa ya kutopokelewa simu...
Asee mimi nakwazika sana kwenye kufanya application ya kuomba transcript kwanza wameweka namba ambazo ukipiga hazipokelewi na zikipokelewa hakuna anayeongea.
Pili, kwenye mfumo ukiomba Control...
Ni kwa muda mrefu sasa wanafunzi wa Udaktari Bingwa wa Mifupa Bugando wamekuwa wakipitia mazingira magumu pamoja na kufelishwa makusudi katika idara yao bila uongozi wa chuo kuchukua hatua, ilhali...
Natumaini mko salama.
Ninaandika kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu Chuo Kikuu cha St. Augustine University of Tanzania SAUT kuhusiana na fedha za ada nilizolipa ziada kiasi cha Tsh 500,000 na...
Za muda huu ndugu zangu poleni na majukumu ya siku ,Kwa anaefahamu utaratibu wa kupata mkopo tena kwa mwanafunzi aliesitishaga masomo kwenye degree akiwa mwaka wa kwanza sasa anataka kurudi chuo...
Shukurani ziwafikie wote mnaosoma uzi huu.
Naomba niende kwenye mada, mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2025 katika Tahasusi ya PCM, kwa mwaka huu ninatamani ku-apply kusoma courses za Diploma...
Tunaomba kufahamu hatima ya wanafunzi waliozuiliwa kufanya Test 1 katika Chuo cha MUST, ambapo mfumo wa matokeo umeonyesha alama za ABSC. Kwa mujibu wa taarifa kutoka chuoni, wanafunzi hao...
Teknolojia haiwezi kuchukua nafasi ya walimu, lakini inaweza kuwa nyenzo muhimu ya kuongeza usawa wa fursa za kujifunza kwa kila mwanafunzi.
Leo hii, AI imekuwa kama mwalimu binafsi anayepatikana...
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) namba walizoweka za huduma kwa wateja hazipokelewi na watu wanashida, ni bora kama hawatoi huduma kwa njia ya simu wafute hizo namba.
Nimepiga namba zote sasa...
MIMI NITAKUSAIDIA KWENYE MAMBO YAFUATAYO MUDA WOWOTE
MIMI NI MTAALAMU NINA UZOEFU WA MIAKA MINGI NITAKUSAIDIA KATIKA MAMBO YAFUATAYO UKIWA POPOTE
π πΊππ΅ππ½πΆππ° π°π²π²πΎππ½π ππ° π°πΉπΈππ° πΏπΎπππ°π» & πππ·π°πππΈ...
Mwanachama wa JamiiForums.com kupitia Jukwaa Jukwaa la Elimu (Education Forum) aliandika βKipengele kipya cha Anuani ya Makazi (NaPA) katika Fomu ya Mkopo wa HESLB hakieleweki kwa Watendaji wengi...
Kwenye uombaji wa mkopo kuna kipengele kipya cha kuweka National physical address (NaPA) hiki ni kipengele kipya kwa waombaji Mwaka 2025.
Tatizo kimetolewa bila maelekezo yoyote na Wadau...
Habari,
Naomba suala hili lifanyiwe uchunguzi.
Kumekuwa na malalamiko kuhusu utaratibu wa kuanzishwa kwa michango mikubwa katika baadhi ya shule za sekondari za Wilaya ya Longido, hususan Shule...
UDOM imeongeza Programu 5 mpya za Shahada za Awali:
β Bachelor of Science in Medical Laboratory Sciences (BSc-MLS)
β Bachelor of Business with Education (BBE)
β Bachelor of Counselling...