Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Tumetembelea shule ya Ivumwe high school kuzindua mradi wetu mpya wa swahili family youth future and leadership empowerment program TUTAKUA NA MASHINDANO YA DEBATE PAMOJA NA MDAHALO NA MSHINDI...
1 Reactions
5 Replies
117 Views
Anonymous
Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeanzisha utaratibu wa wanafunzi wa mwaka wa tatu kufanya utafiti (research) na kuufanyia utetezi (defence) katika muhula huu. Hata hivyo, wanafunzi...
1 Reactions
10 Replies
224 Views
Anonymous
Tunahitaji msaada hapo NACTVET Mikocheni unaenda unakaa siku nzima unaambiwa tu kuwa mtandao unasumbua, watu wanahitaji AVN Number, Transcript za matokeo na shida zingine pia zinazohusu huduma za...
0 Reactions
1 Replies
107 Views
Kero yangu kubwa kuhusu NACTVET ukiwapigia simu hawapokei na inapotokea wamepokea hawaelekezi vizuri, wanafanya kazi kama vile wamelazimishwa. Yaani kila ukipiga simu ni kama vile hawataki...
0 Reactions
3 Replies
245 Views
Nina malalamiko yangu kwa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kuhusu huduma ya mawasiliano kwa wateja. Kumekuwa na changamoto kubwa ya kutopokelewa simu...
0 Reactions
5 Replies
202 Views
Asee mimi nakwazika sana kwenye kufanya application ya kuomba transcript kwanza wameweka namba ambazo ukipiga hazipokelewi na zikipokelewa hakuna anayeongea. Pili, kwenye mfumo ukiomba Control...
0 Reactions
3 Replies
103 Views
Ni kwa muda mrefu sasa wanafunzi wa Udaktari Bingwa wa Mifupa Bugando wamekuwa wakipitia mazingira magumu pamoja na kufelishwa makusudi katika idara yao bila uongozi wa chuo kuchukua hatua, ilhali...
8 Reactions
19 Replies
471 Views
Anonymous
Natumaini mko salama. Ninaandika kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu Chuo Kikuu cha St. Augustine University of Tanzania SAUT kuhusiana na fedha za ada nilizolipa ziada kiasi cha Tsh 500,000 na...
2 Reactions
3 Replies
77 Views
Za muda huu ndugu zangu poleni na majukumu ya siku ,Kwa anaefahamu utaratibu wa kupata mkopo tena kwa mwanafunzi aliesitishaga masomo kwenye degree akiwa mwaka wa kwanza sasa anataka kurudi chuo...
1 Reactions
0 Replies
80 Views
MSAADA WAKUU Mimi ni mwanafunzi nahitaji ushauri wa kozi nzuri ya afya kwa diploma kati ya hizi DENTISTRY, RADIOLOGY & NURSING
1 Reactions
13 Replies
384 Views
Shukurani ziwafikie wote mnaosoma uzi huu. Naomba niende kwenye mada, mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2025 katika Tahasusi ya PCM, kwa mwaka huu ninatamani ku-apply kusoma courses za Diploma...
2 Reactions
17 Replies
775 Views
Anonymous
Tunaomba kufahamu hatima ya wanafunzi waliozuiliwa kufanya Test 1 katika Chuo cha MUST, ambapo mfumo wa matokeo umeonyesha alama za ABSC. Kwa mujibu wa taarifa kutoka chuoni, wanafunzi hao...
0 Reactions
0 Replies
39 Views
Teknolojia haiwezi kuchukua nafasi ya walimu, lakini inaweza kuwa nyenzo muhimu ya kuongeza usawa wa fursa za kujifunza kwa kila mwanafunzi. Leo hii, AI imekuwa kama mwalimu binafsi anayepatikana...
0 Reactions
0 Replies
58 Views
Anonymous
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) namba walizoweka za huduma kwa wateja hazipokelewi na watu wanashida, ni bora kama hawatoi huduma kwa njia ya simu wafute hizo namba. Nimepiga namba zote sasa...
1 Reactions
0 Replies
60 Views
MIMI NITAKUSAIDIA KWENYE MAMBO YAFUATAYO MUDA WOWOTE MIMI NI MTAALAMU NINA UZOEFU WA MIAKA MINGI NITAKUSAIDIA KATIKA MAMBO YAFUATAYO UKIWA POPOTE πŸ”“ π™Ίπš„π™΅πš„π™½π™Άπš„π™° π™°π™²π™²π™Ύπš„π™½πšƒ πšˆπ™° π™°π™Ήπ™Έπšπ™° π™Ώπ™Ύπšπšƒπ™°π™» & πš„πš‚π™·π™°πš„πšπ™Έ...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Mwanachama wa JamiiForums.com kupitia Jukwaa Jukwaa la Elimu (Education Forum) aliandika β€œKipengele kipya cha Anuani ya Makazi (NaPA) katika Fomu ya Mkopo wa HESLB hakieleweki kwa Watendaji wengi...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwenye uombaji wa mkopo kuna kipengele kipya cha kuweka National physical address (NaPA) hiki ni kipengele kipya kwa waombaji Mwaka 2025. Tatizo kimetolewa bila maelekezo yoyote na Wadau...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Tunafundisha tuition masomo yafuatayo: PHYSICS, CHEMISTRY, na MATHEMATICS. Online & Home tuition Service available. Tupo Tegeta- DSM 0782044028
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Anonymous
Habari, Naomba suala hili lifanyiwe uchunguzi. Kumekuwa na malalamiko kuhusu utaratibu wa kuanzishwa kwa michango mikubwa katika baadhi ya shule za sekondari za Wilaya ya Longido, hususan Shule...
0 Reactions
0 Replies
51 Views
UDOM imeongeza Programu 5 mpya za Shahada za Awali: βœ… Bachelor of Science in Medical Laboratory Sciences (BSc-MLS) βœ… Bachelor of Business with Education (BBE) βœ… Bachelor of Counselling...
0 Reactions
6 Replies
253 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…