Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Visawe ni maneno yenye maana sawa Neno=Kisawe 1. Ardhi=Dunia 2.Ari=Nia 3.Aibu=Soni 4.Azma=Makusudio 5.Binti=Msichana 6.Chakula=Mlo 7.Chanzo=Sababu 8.Cheti=Hati 9.Chuana=Shindana...
2 Reactions
8 Replies
9K Views
Guys nina plan ya kusoma PhD nje ya nchi lakini nikitegemea zaidi nipate udhamini. Ningependelea kusoma nchi za ulaya au America kutokana na quality ya elimu yao pamoja na fursa, haswa Nordic...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana JF Hope mko poa wote, leo nimeandaa hii thread itakayokuelezea umuhimu wa kuwa na portifolio badala ya kuwa na CV kwenye kutafuta kazi mbali mbali Kwanza kabisa inabidi utambue ya kuwa...
0 Reactions
2 Replies
665 Views
Habari Wana Jf Mim Ni Student Wa A Level Form 5 Naingia 6.Nasoma HGL, malengo yangu ni kusoma Public Administration UDSM next year. Naombeni Mnipe Mwongozo Juu Ya Malengo Yang Coz I Admire It So...
0 Reactions
23 Replies
17K Views
Bachelor of Arts in Public Administration : Program description Students pursuing a Bachelor of Public Administration (BPA) degree will develop leadership, analytical, organizational...
0 Reactions
1 Replies
850 Views
PUBLIC NOTICE ON ADMISSION STATUS INTO HIGHER TRAINING INSTITUTIONS 2014/2015 Central Admission System (CAS) opened on 8th April 2014 and closed on 31st August 2014. A total number of 17,087...
0 Reactions
98 Replies
29K Views
Habari wanaJF, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimepita Bookshops kadhaa hapa Dsm nimekosa hicho kitabu,kama kuna mtu anaweza kunisaidia sehemu nikakipata nitashukuru. Asante kwa msaada wako
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Je, Elimu ya Juu ni 'DEAD HORSE' kwa Vijana wa Tanzania Katika ulimwengu wa sasa, ambapo vijana wengi wa Kitanzania wanahangaika kupata ajira licha ya kuwa na shahada za vyuo vikuu, pendekezo la...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Yaani serikali ina nia nzuri tu. Ila watu wake wanatuletea usumbufu. Huu mfumo wa sis.tamisemi.go.tz una wavuta wanafunzi kutoka prems hawaji na unakuandikia success Yaani sielewi elewi
1 Reactions
5 Replies
746 Views
Habari wakuu nina changamoto ya nida majina yangu yanatofautiana jina la mwisho lakin mimi ni mtumishi nikienda kuapdate taarifa bank wanasema NIDA ina majina tofauti na bank kwa sababu ya jina...
0 Reactions
1 Replies
342 Views
Nimepata nafasi ya kuchaguliwa na vyuo viwili hapa Tanzania chuo cha kwanza nimepangiwa kusomea civil engineering na chuo cha pili nimepangiwa kozi ya computer engineeringi. Wana JF nipeni...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Jamani nahitaji kujua chuo kilichopo Tanzania kinachotoa master degree in electrical engineering by coursework and dissertation
1 Reactions
1 Replies
656 Views
Masters by course work na by thesis tofauti yake ni nini hasa?
1 Reactions
41 Replies
6K Views
1. TO BE HUMBLE PERSON ( kuwa mtu mnyenyekevu na mwadilifu ). Katika mafunzo ya "dao - self defense system" kuna kanuni tano za kujilinda ambazo ni lazima kila mwanafunzi wa DAO ajifunze...
2 Reactions
12 Replies
640 Views
Kipindi nachaguliwa pale Open University nilikuwa najua kuna utaratibu mzuri na kueleweka katika ku-handle vitu vingi vya academic hasa hasa niliposikia asilimia kubwa ya vitu vinafanywa online na...
1 Reactions
0 Replies
949 Views
Anonymous
Baadhi ya Wanafunzi zaidi ya 150 hadi 180 hadi leo hawajapatiwa fedha zao za ‘boom’ la Kwanza (Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), walicheleweshewa boom mpaka ikafika wakati wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello habari za majukumu. Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha kikatoliki Ruaha (RUCU) kilichopo Iringa. Kwasasa changamoto ambayo wanafunzi wengi tunaipotia ni ucheleweshwaji wa pesa za...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Tangu kuzinduliwa Kwa application Mpya ya kusaini pesa za kujikimu maarufu kama HESLB wallet mtandao hakuna watu wamepewa pesa lakini wanashindwa kusaini kutokana na tatizo la mtandao.. Ukienda...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
HESLB hawatutakii mema hata kidogo haiwezekani moaka leo hii mwezi umeisha lakini hamna pesa ya kujikimu mfano mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma nimefuatilia pesa lakini majibu ni kwamba...
0 Reactions
1 Replies
380 Views
Je, bodi ya mikopo inatoa pesa ya kujikimu kwa mwanafunzi alie pewa mkopo na anasoma chuo kikuu huria yani(Open University of Tanzania)
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom