Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Job Title: Teacher Subjects and Academic Qualifications: Business Studies & History or Geography: Diploma or Bachelor Degree Science/Information and Computer Studies & Physics or Mathematics...
1 Reactions
1 Replies
471 Views
Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kwa kushirikiana kampuni ya Jolly Futures wameandaa mafunzo kwa walimu wa shule ya msingi kuhusu mbinu za kufundisha...
0 Reactions
0 Replies
506 Views
Msaada wa ushauri wenu wakuu, mtu aliemaliza diploma ya miaka mitatu IT ni bora aende degree kuendelea kusoma au aende VETA kujifunza ujuzi mwingine?
0 Reactions
0 Replies
344 Views
Jamani naombeni kujua ni kwa mda gani mafunzo ya CBET yanatolewa na kwa gharama gani?
0 Reactions
0 Replies
173 Views
Mm nimeajiriwa kama mwlm ngaz ya cheti ila sitak kuendelea na ualim saaa n kozi gan naweza kujiendeleza nayo ambayo huwa ina nafasi za kazi zaidi msaada wenu wadau
2 Reactions
63 Replies
2K Views
Nitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni...
26 Reactions
809 Replies
179K Views
Kwema wana JF, Nilikuwa nahitaji kujua kwa wale waliowahi kurudia mtihani wa kidato cha nne, nilimaliza 2018 nikapata C mbili na D moja, hivyo nataka kurudia masomo matano pamoja na hilo...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mtaala mpya ulioboreshwa wa elimu ulioanzishwa na Serikali ya Tanzania unalenga kutoa elimu jumuishi, shirikishi na yenye mwelekeo wa ujuzi zaidi kuliko nadharia. Mabadiliko haya yanakusudia...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
1/ Katika kipindi hiki cha maendeleo ya kiteknolojia, tunahitaji kujadili kwa kina: Ni chuo gani nchini Tanzania kinachofanya vizuri zaidi katika kufundisha IT kwa vitendo na kuzalisha vijana...
0 Reactions
3 Replies
637 Views
Habari, Naitaj msaada tafadhali nina shida ya kubadili majina nimefatilia makala kadhaa za watu walojaribu kuulizia utaratibu uko vp kuna kitu nimeona kimezungumziwa sana "DEED POLL"...
1 Reactions
25 Replies
9K Views
Ningependa kuanzisha mjadala kuhusu suala hili la elimu ya juu. Je, ni kweli inafaa zaidi kusomea shahada ya kwanza hapa nyumbani Tanzania, na kisha kama mtu ana uwezo kifedha, aende kusomea...
1 Reactions
3 Replies
469 Views
Habari Moja kwa moja niende kwenye mada. Naomba kujua Kuna chuo gani hapa Tanzania kinachotoa diploma /degree katika kozi ya Occupational Health and Safety. Nimeona OSHA wanatoa kozi mbalimbali za...
4 Reactions
27 Replies
8K Views
Naomba maelezo Kama Kuna vifurushi maalumu vya laini ya halotel ya chuo na jinsi vinavyopatikana
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Vijana mnao soma olevel kuanzia kidato cha kwanza hadi ya Sita. Jifunzeni hesabu online kwa huyu teacher yupo nondo sana. Channel yake ya YouTube ni...
4 Reactions
10 Replies
697 Views
Habari ndugu zangu. Mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 30, kiwango Cha elimu (FEDHA & UHASIBU, NTA-5; pia OFFICIAL STATISTICS, NTA-5). Changamoto ya kiuchumi inanifanya nizidi kuchukua mda...
2 Reactions
8 Replies
626 Views
Chuo hiki kinamilikiwa na Wizara ya Ujenzi. Chuo hiki hakiwalipi wakufunzi wake, hakuna workshop na ukizingatia kinatoa Diploma kwa course za engineering. Wazazi kuweni makini hiki chuo kinafaa...
0 Reactions
0 Replies
269 Views
Shuleni waalimu wanafundisha kuwa uwepo wa dunia ni matokeo ya kuibuka, na sisi tulitokana na sokwe!.... Je, wewe unafahamu nini kuhusu chanzo Cha dunia hii na sisi Binadamu?
1 Reactions
6 Replies
332 Views
Ninasoma degree ya economics open hivo natafuta mwl wa kuni brash kwa malipo tutakayokubaliana. NIPO LINDI Simu 0688 229 455
1 Reactions
2 Replies
278 Views
Habari wadau, Mwanafunzi wa UDSM kutoka department ya Creative Arts maarufu kama Plaboe ametangazwa best student katika mahafali ya chuo Kikuu cha Dar es Salaam ya mwaka 2023. Kijana huyo...
18 Reactions
144 Replies
10K Views
Back
Top Bottom