Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,834
Mimi nimhitimu wa chuo cha ualimu x ngazi ya kati yaani diploma nimepata GPA ya 3.6
SWALI: Je, kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi yakusoma shahada i.e. Bachelor chuo kikuu UDSM main kampasi?
Wenye uzoefu tafadhali ili kama main campus kuna compitition nisitupe 10000 yangu niaply Teofilo Kisanji.
SWALI: Je, kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi yakusoma shahada i.e. Bachelor chuo kikuu UDSM main kampasi?
Wenye uzoefu tafadhali ili kama main campus kuna compitition nisitupe 10000 yangu niaply Teofilo Kisanji.