Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Anonymous
Kero yangu, kijana wangu amehitimu chuo Mwaka 2025 katika Chuo cha CBE Kampasi ya Dar, Kozi ya Business Administration lakini mpaka leo Februari 2026 ameenda chuo kufuatilia cheti amejibiwa mpaka...
0 Reactions
0 Replies
183 Views
Msaada,kijana anataka kujisajili huku HPRS ili atume maomba ya kazi,sasa sehemu hii ya mfumo wao haitaki kurespond(hiyo drop down box hairespond chochote) hivyo hawezi kuendelea na usajili,shida...
0 Reactions
3 Replies
136 Views
Sera ya "Elimu Bure" ilikuja kama mkombozi kwa wazazi wengi wa Kitanzania wenye kipato cha chini. Lengo lilikuwa wazi: kuhakikisha kila mtoto anapata haki ya msingi ya elimu bila kikwazo cha...
0 Reactions
1 Replies
245 Views
Salam Wanjukwaa, UTANGULIZI Nchini Tanzania katika maendeleo ya kitaalum ni pamoja na kupitia shule za secondary. Kuna kafeelings flani kazuri sana unapomaliza primary na kujiunga na secondary...
6 Reactions
7 Replies
796 Views
Anonymous (a484)
Kero yangu ni kuhusu Chuo cha Elimu ya Biashara, nimehitimu chuo cha Elimu ya Biashara CBE Dar es Salaam Mwaka 2025 lakini changamoto iliyopo mpaka leo mfumo unasoma continue wakati nimeshahitimu...
1 Reactions
2 Replies
272 Views
Katika dunia ya sasa, Tanzania inakua na changamoto nyingi za kijamii na kielimu. Mojawapo ya changamoto hizo ni mfumo wa shule za bweni za jinsia moja (hasa zile zisizo za kidini). Ingawa mfumo...
1 Reactions
1 Replies
225 Views
Tupunguze mabajeti ya v8 huko na vitu vya hovyo. Degree mwalimu aanze na 700k mwaka 2016 hadi leo anaanza na 700k ????
0 Reactions
9 Replies
341 Views
Kuna Binti amemaliza form four 2025 lakini matokeo yake ni division four Sasa anataka kujiunga na VETA lakini hajui ni kozi gani yakwenda kusoma Ndg wadau naomba msaada wamawazo
1 Reactions
9 Replies
438 Views
Anonymous (b213)
Kumekuwepo na ukosefu wa maji katika Hostel za Ubungo za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tunapoishi Wanafunzi wa Uzamili (Postgraduate Students) ambao tunasoma Master's Degrees na Ph.D! Kipindi hiki...
1 Reactions
22 Replies
718 Views
Habari ndugu zangu wanaJf Natumaini mko salama na wenye afya njema. Ninaomba msaada wenu kwa jambo muhimu. Natafuta Kitabu cha Enock kilichoandikwa kwa Kiswahili. Ikiwa kuna yeyote kati yenu...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani. Yeye hataki kwenda advance.. Anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vipi na ipi ni nzuri...
5 Reactions
46 Replies
942 Views
Mimi naona hakuna ulazima. Halafu pia hata wakifanya wasirudie darasa.
3 Reactions
10 Replies
265 Views
Habari wana JF. Kuna mwalimu mmoja mstaafu nilimsikia akisema private candidates mara nyingi huwa hawafanyi vizuri kwa kuwa alama zao za mitihani hugawanya nusu kwa kuwa wao huwa hawana...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Naomba kuelimishwa hapa wakuu, Nimepiga kwenye guideline kuna baadhi ya masters zinatolewa na vigezo vinataka mtu mwenye degree ama Postgraduate diploma. Wakati huo huo kuna kozi ambazo...
4 Reactions
41 Replies
887 Views
Je ni kweli limetushindaaa?
1 Reactions
5 Replies
105 Views
Mwalimu anakwenda kusahihisha mtihani wa Taifa kazi kubwa sana na nyeti. Eti unapiga hesabu kusahihisha scripts ngapi ndio umlipe??? Yaani mtu analipwa kama kibarua wa kujenga matofali mangapi...
0 Reactions
1 Replies
194 Views
Kuna mambo mengine yanayoshangaza sana. Mwaka jana nilifika katika Shule ya Sekondari-Ruvu Station ambayo ipo Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kumuwakilisha kaka yangu kwenye kikao cha wazazi. Nilibaki...
0 Reactions
2 Replies
217 Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa kwanza. Tulivyofika chuo tulipaswa kulipia bima ya afya 50400, lakini mpaka sasa hatujapatiwa hizo bima na semister inaenda ukingoni. Tulivyojaribu...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
Back
Top Bottom