Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Mwalimu anakwenda kusahihisha mtihani wa Taifa kazi kubwa sana na nyeti. Eti unapiga hesabu kusahihisha scripts ngapi ndio umlipe??? Yaani mtu analipwa kama kibarua wa kujenga matofali mangapi...
0 Reactions
1 Replies
195 Views
Kuna mambo mengine yanayoshangaza sana. Mwaka jana nilifika katika Shule ya Sekondari-Ruvu Station ambayo ipo Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kumuwakilisha kaka yangu kwenye kikao cha wazazi. Nilibaki...
0 Reactions
2 Replies
217 Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa kwanza. Tulivyofika chuo tulipaswa kulipia bima ya afya 50400, lakini mpaka sasa hatujapatiwa hizo bima na semister inaenda ukingoni. Tulivyojaribu...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
Habari za leo jf-members kuna mdogo wangu amehitim form 4 mwaka jana anataka akasome A-level PCM Kwa matokeo haya physics-D chemia-B mathe-B division i-17 IVI INAWEZEKANA INGALI KUWA PHYSICS...
4 Reactions
16 Replies
309 Views
Skills au ujuzi upi ni muhimu kuwa nao kijana wa kitanzania mwenye umri kuanzia 18 na kuendelea labda mwisho35 (awe ana soma au yupo mtaani.)vyovyote vile ilimradi kijana. Nia na madhumuni ya uzi...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
17% intetest for workers loan is injustice.
5 Reactions
26 Replies
494 Views
Anonymous
Kuna chuo cha afya kinaitwa City College Mwanza kinawanyanyasa sana Wanafunzi na Wazazi, Wanafunzi wanafukuzwa hovyohovyo kisa hawakamilisha michango. Mfano chuo kimefunguliwa mwezi Novemba...
0 Reactions
4 Replies
266 Views
Anonymous
Huku kwetu kuna Shule ya Serikali inayoitwa Shule ya Msingi Tambani, ipo Mbande Mwisho, Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani ina changamoto ya uhaba wa madarasa na madawati na pia miundombinu yake...
0 Reactions
0 Replies
215 Views
Naomba mwenye uzoefu anielekeze HATUA Kwa HATUA jinsi ya Kuanzisha community based organisation mpaka kuwa na kibali cha kuanza kufanya kazi
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nilimaliza kidato cha nne kwa ufaulu mbaya nikiwa na D3 tu nyingine zote F miaka mingi kidogo iliyopita, nikajiendeleza certificate na sasa nina diploma nikiwa na ufaulu wa diploma GPA ya 3.5...
3 Reactions
10 Replies
363 Views
Vyuo vya ufundi kama VETA (Vocational Education and Training Authority) Vyuo vya ualimu kama DUCE (Dar es Salaam University College of Education) Vyuo vya afya kama Muhimbili University of Health...
14 Reactions
69 Replies
5K Views
  • Featured
Ufaulu Umepanda. Futatilia hapa. https://www.youtube.com/live/uwbLeIIRXOc?si=m-Iyj06qeAYHlPCl Kupata Matokeo fungua link hii: https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/csee/index.htm --- Baraza...
11 Reactions
102 Replies
4K Views
CapCut ni nini? CapCut ni programu ya kuhariri video (video editor) inayotumiwa sana duniani kutengeneza video za: TikTok YouTube Instagram Reels Matangazo ya biashara Video za elimu Ni maarufu...
5 Reactions
1 Replies
355 Views
Jamani kama nilivyoeleza huko juu nahitaji kampani ya raia mmoja ambaye yuko Dar es Salaam na ana mpango wa hiyo project kwa msimu 2026_2027 mchepuo wa EGM tuu ...... I NEED A COMPANY
2 Reactions
8 Replies
189 Views
Elimu kwa muda mrefu imekuwa ikipimwa kwa vigezo finyu vinavyojikita zaidi kwenye matokeo ya mitihani kuliko mchango wake halisi katika maendeleo ya mtu na taifa. Katika mjadala wa kila mwaka wa...
4 Reactions
1 Replies
232 Views
Anonymous
Chuo cha Uhasibu Arusha (Institute of Accountancy Arusha - IAA) kuna malalamiko mengi kutoka Kwa Wanafunzi wa Program za Masters lakini hayafanyiwi kazi. Shida kubwa ni kukosa uhakika wa...
2 Reactions
5 Replies
738 Views
Serikali Ipige Marufuku Shule za Serikali za Kutwa Kugeuzwa Mabweni ya Kambi za Mitihani, Katika miaka ya karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la shule za serikali za kutwa kugeuzwa kuwa kama...
5 Reactions
16 Replies
542 Views
Samahani wanajukwaa, Ninaomba kufahamishwa juu ya kozi tajwa hapo juu inayotolewa na chuo cha Muhimbili katika hospitali ya KCMC chini ya RDTC, hususani unatambulikaje baada ya kuhitimu hiyo...
3 Reactions
84 Replies
19K Views
Back
Top Bottom