Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Ebwana washkaji tuskate tamaa ktk swala zima la Education as we as more you struggle as more you succefull so mazee na waungwan wote wa MABUGHA CDTTI Haswaaa Tongora kaza buti mwana.:thinking:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu nimesikia kile chuo kikuu cha kilimo wanafunzi wameanza kulipia cheti cha degree pamoja na trancript. sana mimi nauliza hii ccm inatupeleka wapi? ada yenyewe hatuwezi kulipa hizo 40%...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau: Sijui kama na shule nyingine kuna tatizo kama hili:- Binti yangu amemaliza kidato cha nne "Kisutu Girls" mwezi huu na Graduation ilikuwa tarehe 26 Oct 2010. Kama ilivyo kawaida wamepewa...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Naisikitikia nchi yangu Tanzania kwa kile kilichokilichotangazwa na Prof. Magembe kuwa serikali itafuta mitihani ya Darasa la saba ili kuwawezesha wanafunzi wote kuingia kidato cha kwanza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam! Naombeni msaada wa information kuhusu faida na hasara za kufanya kazi kama Assistant Lecturer au Lecturer pia ningeomba mwenye data anisaidie salary scale ya Assistant Lecturer(M.Sc...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Waziri wa elimu wa ccm ametangaza leo kuwa elimu ya msingi sasa itakuwa form 4 ifikapo 2012.je hii si ina maanisha elimu bure mpaka form 4?source TBC1
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu naomba mpitie hiyo makala hapo chini muone naomna sekta ya vitabu ilivyovamia Bongo. Ni makala kutoka gazeti la Mwananchi leo jumanne tar 26 2010 Mkanganyiko vitabuni Kitabu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Experienced Accounting and Finance Tutor for University students (Open university and the like) and professional qualification students (like CPA and ACCA) is available. If you need assistance...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
washkadau mwenzenu nina kadigrii kangu kamoja,ila nataka nijiendeleze zaidi tena siyo bongo sasa ninawezaje kupata vyuo mtoni pamoja schoolarship
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Salaam! Naombeni msaada wa information kuhusu faida na hasara za kufanya kazi kama Assistant Lecturer au Lecturer pia ningeomba mwenye data anisaidie salary scale ya Assistant Lecturer(M.Sc...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hali yangu yategemea sana na hisia za kibinadamu kwani mimi husonga kwa shida na raha mimi ni nani?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu jamaa wameshafanya selection na majibu yako kwenye mtandao bofya hapa:- UDSM - Users & Groups
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba mwenye data anijulishe: hivi ni nani mmiliki wa chuo kikuu cha waislam - morogoro?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
---------- Forwarded message ---------- From: Dennis Mutira <nmut...@gmail.com> Date: Mon, Aug 23, 2010 at 9:33 AM Subject: Fwd: [Fwd: List of International scholarships for Developing...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WanaJF naomba kuuliza juu ya hiyo kozi tajwa hapo juu itolewayo na ARDHI UNIVERSITY.Ningependa kwa yeyote mwenye uelewa zaidi na kozi hii anisaidie kujua kwa hapa Tanzania ina inauhitaji wa kiasi...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Kwanini wanafunzi wanamaliza elimu ya msingi bila kujua kusoma na kuandika?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Global Studies – A European perspective Mallaba Foundation updated:2010-10-18 18:16:58 Deadline: 01/12/2010 Open to: applicants with bachelor degree in Social Sciences or Humanities...
0 Reactions
0 Replies
968 Views
International Master in Management of IT (IMMIT) Scholarships Mallaba Foundation updated:2010-10-12 17:17:56 Erasmus Mundus: International Master in Management of IT (IMMIT)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MASTER IN DATA MINING AND KNOWLEDGE MANAGEMENT (DMKM) Mallaba Foundation updated:2010-10-18 18:15:39 The primary social and economic value of modern societies is knowledge. For this...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…