Msaada please ! Assistant Lecture/ Lecturer.

Misosi

Member
Sep 17, 2010
85
4
Salaam! Naombeni msaada wa information kuhusu faida na hasara za kufanya kazi kama Assistant Lecturer au Lecturer pia ningeomba mwenye data anisaidie salary scale ya Assistant Lecturer(M.Sc holder) na Lecturer (PhD holder) na kama kuna malupulupu yoyote katika kazi hizi please. Kiufupi ninataraji kuhitimu masomo yangu kwa M.Sc na ningependa kufanya hii kazi lakini kama mjuavyo ni muhimu kufanya utafiti kwanza. Ahsante nategemea mawazo yenu wana JF.
 
Faida moja wapo unapata muda lukuki wakufanya mambo yako mengine...
Ukiwa sharp unapata consultancies za kutosha na zinalipa
Mshahara ni mdogo ukibahatika sana una 1M take home per month
 
Faida moja wapo unapata muda lukuki wakufanya mambo yako mengine...
Ukiwa sharp unapata consultancies za kutosha na zinalipa
Mshahara ni mdogo ukibahatika sana una 1M take home per month

Nashukuru kwa msaada wa information Mkuu.
 
Kazi ya ualimu haina marupurupu mkuu.....na wala consultancies usifikiri ni rahisi kuzipata....lazima uwe na mtandao wa wenye nazo vinginevyo utaishi kwa mshahara tu.
 
Kimsingi, marupurup kama mwalimu wa chuo kikuu hakuna, na kwa junior staff kuishi kwa kutegemea mshahara is a common business. Cha msingi, kama unataka kujiunga na universities, njoo upate muda wa kuffanya mabo yako..lakini marupurupu sahau..ukitaka marupurupu nenda wizarani..huko ndiko ziliko pesa zisizo na wenyewe, na kuzila ni kiasi cha kuandika worklan tu, hata kama unachokwenda kufanya hakina tija inayolingana na pesa uliyochukua.
 
Faida moja wapo unapata muda lukuki wakufanya mambo yako mengine...
Ukiwa sharp unapata consultancies za kutosha na zinalipa
Mshahara ni mdogo ukibahatika sana una 1M take home per month

Ah mwanangu mbona umempendelea! yaani akija na MSC yake ataanzia PUTS 13, wakilamba kodi almost 30% na PPF, atabakiwa na kama 800,000 tu. Kwa ufupi ndugu yangu ukiwa junior staff (TA, AL,L) andika maumivu tu!
 
Kimsingi, marupurup kama mwalimu wa chuo kikuu hakuna, na kwa junior staff kuishi kwa kutegemea mshahara is a common business. Cha msingi, kama unataka kujiunga na universities, njoo upate muda wa kuffanya mabo yako..lakini marupurupu sahau..ukitaka marupurupu nenda wizarani..huko ndiko ziliko pesa zisizo na wenyewe, na kuzila ni kiasi cha kuandika worklan tu, hata kama unachokwenda kufanya hakina tija inayolingana na pesa uliyochukua.
Nashukuru sana Mkuu, ila hujanidokeza mshahara ni kiasi gani kwa mfano kwa Assistant Lecturer (basic / take home), vipi kuhusu house allowance hampewi? na je hamna safari zozote za hata kwenda kufundisha vyuo vingine? Kundi lipi hasa ndiyo junior staff? nashukuru Mkuu, natumai utanisaidia maswali hayo bila kunichoka.
 
Ah mwanangu mbona umempendelea! yaani akija na MSC yake ataanzia PUTS 13, wakilamba kodi almost 30% na PPF, atabakiwa na kama 800,000 tu. Kwa ufupi ndugu yangu ukiwa junior staff (TA, AL,L) andika maumivu tu!

Nashukuru Mkuu! kumbe hata L ni ktk kundi la junior stsff??!!! hivi huyu si ni PhD holder au??...
 
Nashukuru Mkuu! kumbe hata L ni ktk kundi la junior stsff??!!! hivi huyu si ni PhD holder au??...
Nadhani wengine hata hawafaham wanajibu nini. Mshahara kwa AL ni roughly 1.1 net. Hapo tayari kila kitu. Ukikaa kwa muda kwenye AL utafikisha 1.3 net. Kwa L ni 1.7 net. Kuhusu marupurupu huwa yapo, inategemea na ww tu ufanyaji wako kazi. Kuna kazi nyingi saana za ziada zinalipwa. Kwa University junior ni TA and AL.
 
Mshahara mpya Gross ni around 1.5m, take home kama 1.1. Marupurupu yapo kama unakuwa unasimamia fields au kazi nyingine zozote zinazohusiana na taasisi yako. Inategemea na MSc ya nini lakini unaweza pia kufanya kazi kwenye Insitution nyingine ukaongeza kipato chako. Ukiwa na projects ndio vizuri zaidi na pia ukiwa na consultancies.

Kila mtu ana bahati zake so better try and see, kama huridhiki si unajiondokea bwana
 
Nadhani wengine hata hawafaham wanajibu nini. Mshahara kwa AL ni roughly 1.1 net. Hapo tayari kila kitu. Ukikaa kwa muda kwenye AL utafikisha 1.3 net. Kwa L ni 1.7 net. Kuhusu marupurupu huwa yapo, inategemea na ww tu ufanyaji wako kazi. Kuna kazi nyingi saana za ziada zinalipwa. Kwa University junior ni TA and AL.

Nadhani mshahara wa assitant lecturer ni more than 1.4 m. wakikata mazagazaga yao mwisho wa mwezi unamkabidhi mkeo 1m azipangie matumizi.
 
Nadhani mshahara wa assitant lecturer ni more than 1.4 m. wakikata mazagazaga yao mwisho wa mwezi unamkabidhi mkeo 1m azipangie matumizi.
"Bolded" Aisee kuna wanaume wangapi kama wewe!!
 
Nadhani mshahara wa assitant lecturer ni more than 1.4 m. wakikata mazagazaga yao mwisho wa mwezi unamkabidhi mkeo 1m azipangie matumizi.


Teh teh, Du hii kali!, unanikumbusha wimbo mmoja sikumbuki bendi gani walikuwa wanaimba " mshahara nikipata, bajeti apange yeye, anajenga nyumba kwao mimim kwangu........"
 
Kubwa la kwanza: Malengo yako nini? Pesa au Career? or both?

Ukiwa kwenye University cha kwanza ni kusoma, kufanya research. if you dont publish you perish.

Ukiingia na MSc. ni kuanza kutafuta shule uanze PhD maana ukikaa sana kama AL wanakutimua kwa mujibu wa sheria zao.

Advantages:
1. Kusoma na research projects
2. Consultancies depending on your field

Hautapata pesa kwa faster kama mtaani but in a long runner kama aim yako ni PhD, prof.................... this is the right place. Pesa zitakuja as you climb the ladder.
Karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom