Ndugu wanaJF nilituma maombi wizara ya afya kwa ajili ya mdogo wangu,lakini mpaka sasa sina uhakika kama kuna lolote wizara ya afya,hivyo mwenye namna ya kunisaidia kupata chuo chochote ama cha...
Mmetoa tangazo kwamba mtatuletea majina ya watakaomaliza chuo na kuwepo kwenye mahafali tarehe 16 Oktoba 2012. Mbona mpaka leo hii majina hayajatoka? Mnategemea sisi tuliopo Kigoma tukipata majina...
Naomba kwa anayefahamu kujua ni lini mtinahi wa kitaifa wa kidato cha pili 2012 unafanyika. If possible niambiwe unaanza tarehe gani hadi tarehe gani. Please...!
Inasemekana "mwanafunzi wa first year baada ya kuchukua boom lake akatokomea town kuzitumbua(akalewa chakali), akachukua malaya.baadae ya kumaliza kazi yao yule dada akamwambia kuwa yy...
Katika hali isiyo ya kawaida katika ufisadi unaoendelea kuwaka moto Tanzania hali imekuwa mbaya zaidi huko udom kwani wameondoa watu kibao medicine,nursing, midwifery na petrolleum engineering...
kwanza nawasalimu woote mliokwisha ripoti chuoni UDOM
vipi mnakionaje chuo chetu hicho?, vipi mazingira yanaridhisha? vipi watoto?
wale wa social sciences, hiyo ndio college maarufu hapo chuoni...
wapendwa shikamoo,poleni na majukumu ya kujenga taifa
msaada tafadhali
nimeappeal loan board lakini cha ajabu nakutana na hilo tatizo hapo chini kwenye picha "The Course field must contain only...
Wana JF salaam. Naomba kwa mwenye link au list ya SELECTION ya Msc Information Technology and Management kwa mwaka 2012/2013 hapo IFM. Mimi niko huku Singida sijajua kinachoedelea. Please kwa...
Wadau, naomba yeyote mwenye "idea" kuhusu kichwa hapo juu anisaidie ili nifanikishe hatua husika. Swali n kama ifuatavyo;Write the "Programming Competency Statement" (The ProgrammingCompetency...
Jamani mie kwa upande wangu naonekana tapeli halafu mwongo kisa hii wizara. Matokeo ya watu hawatoi, wanasema yapo kwenye website, ukiangalia web, hakuna kitu kama hicho. Wanataka tuandamane?
Sasa hii imekuwa to much maana tumekaa banch mpaka tumechoka sa nahisi mpaka viwango vya watu vimepungua kwa ajili ya strees ngoja tu tusubiri mpaka hiyo tar. 15 kama ni kweli maana tumezoea...
Ni wiki nzima sasa sijapata update toka heslb kuhusu cont' students.naomba aletembelea huko au tetesi atujuze wat iz going on life ni gumu macho yapo heslb!
Ndugu zangu wa JF tafadhali sana naomba mnijuze kama wale applicants ambao walikosa kabisa mkopo for undergraduate (majina yao hayakutokea kwenye orodha yenye mapungu na hawakupata) wanaweza...
Chuo cha kufundisha ukahaba kimeanzishwa huko nchini Hispania na gharama ya kusoma kozi hiyo ni euro 100.Kampuni inayohusika na kuanzisha kwa kozi hiyo imeshinda changamoto zote za kidini na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.