Mimi ni mwanafunzi wa Open University of Tanzania (OUT) na pia ni kiongozi wa serikali ya wanafunzi katika chuo hicho.
Ninapenda kuwasilisha changamoto kubwa inayohusu uendeshaji wa serikali ya...
Katika Kijiji cha Matokeo, Kata ya Langiro wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, kumeibuka tuhuma nzito zinazohitaji uchunguzi wa haraka kutoka kwa mamlaka husika.
Inadaiwa kuwa mwalimu mmoja wa Shule...
Mwanafunzi akishindwa kujibu maswali aliyoulizwa kwenye mtihani hufeli mtihani. Tatizo la kutojibu maswali kwa usahihi ni tatizo kubwa sana Tanzania.
Unamuuliza mtu unatoka mkoa gani anakujibu...
Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule ya sekondari ya wasichana ya 'Competence Girls' Islamic Seminary ' iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam wameendelea kutoa...
Kuna kozi za education zinatutesa sana. Kozi hizi nyingi zinatolewa UDOM.
Mfano bachelor of education in psychology, education in administration and management, education in policy planning...
Tunapenda kuwasilisha kero yetu kama wanafunzi wa masomo ya Ubingwa na Ubingwa Bobezi katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS).
Wakati wa kujiunga na masomo...
Ninaomba kuwasilisha ombi kwa Serikali kuhusu hali ya miundombinu katika Shule ya Msingi Bumu iliyopo Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Mvomero, Tarafa ya Mgeta, Kata ya Langali, Kijiji cha Bumu.
Hii...
Ninaomba kuwasilisha kero kuhusu hali mbaya ya miundombinu katika Shule ya Sekondari ya Pendamoyo Secondary School, iliyopo Temeke Municipal, mtaa wa Pendamoyo (ukitokea Sokota kuelekea Msikiti wa...
Shule ya Msingi NANJANGA iliyopo kata ya Ngunja Halmashauri ya Tandahimba haina nyumba ya mwalimu kitu ambacho kinalazimika mwalimu mkuu kulala ofisini.
Muda wa kazi ukiisha, ofisi inageuzwa kuwa...
Wazazi na wanafunzi tunalalamikia tabia ya baadhi ya walimu wa Shule za Msingi Gmhasa iliyopo Ilala, Dar es Salaam kuwashinikiza watoto kuhudhuria shule siku za mwisho wa wiki (Jumamosi), pamoja...
Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule moja ya sekondari ya wasichana iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam (jina linahifadhiwa), wametoa wito kwa mmiliki wa shule...
Chuo cha Afya cha Chato ada yake ni Shilingi 1.7M kwa Kozi za Clinical Dentistry na Radiography wakati vyuo vingine vya serikali ada ni Shilingi 1.2M maximum, kwanini chuo hicho kiwe na ada kubwa...
Kutoka Jiji la Mbeya, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wazazi kuhusu shule za msingi zinazowatoza wanafunzi wa madarasa ya mitihani (Darasa la Nne na Darasa la Saba) fedha kwa ajili ya...
Ninaomba kuwasilisha kero kuhusu uhaba mkubwa wa walimu wa somo la Literature katika shule nyingi za serikali kwa ngazi ya kidato cha tano na sita.
Serikali ilianzisha kombi mpya za masomo...
HII NDIO LIST YA HUDUMA UTAKAZOPATA KWETU
HUDUMA KATIKA MASUALA YA AJIRA
1. KUJISAJILI AJIRAPORTAL
2. KUJISAJILI TAESA
3. KUJISAJILI KATIKA BANK PORTALS
4. KUANDAA APPLICATION LETTER
5. KU EDIT...
Mimi mwanafunzi wa degree institute of social Work campus ya dar es salaam.
Nimeathirika kisaikolojia baada ya kuzuiwa kufanya mtihani wa continuous assessment (CA) kwasababu sijalipa ada kwenye...