Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Katika kuwatambua kisheria wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama wamachinga nchini, Serikali inapaswa kuwabaini, kuwasajili katika mfumo sahihi wa kodi hivyo kupelekea wamachinga kulimbikiziwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza...ninataka kuanzisha project fulani hivi ambayo bajeti yake ni zaidi ya m17....hivyo nilikuwa nahitaji kukopa zaidi ya milioni 25....security pekee niliyonayo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wasalaam wakuu. Niwape pole na majukumu ya kipindi hiki cha siku kuu. Husika na kichwa cha habari hapo juu. Ninahitaji kununua mashamba mkoa wa Morogoro kwa bei ndogo wa lengo la kuendeleza...
1 Reactions
35 Replies
9K Views
Leo katika Soko la Hisa la Dar es Salaam hisa za Bank ya NMB zimeporomoka Bei kutoka Sh. 2,750p hadi sh.2,340p mdondokeo Mkubwa zaidi wa Pua (Nose dive). Wale wafuatiliaji wa Mambo ya Hisa...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Wadau mi naomba kutolewa japo format ya mahesabu ya mwaka yanayo enda tra..ili kukatwa kodo..na je ni vitabu gani tra wakija ofcn huwa wanavikagua...naombeni msàada
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Anakaribishwa yeyote anayehitaji mlango / milango ya kupanga katika fremu zilizopo King'azi (Maramba Mawili uelekeo wa barabara ya kwenda Kinyerezi). Fremu hizi zipo barabarani na ni eneo ambalo...
0 Reactions
21 Replies
8K Views
Habarini wana JF wenzangu, Naombeni msaada Nataka kuagiza vitu kutoka nje lakini vije kupitia ndege. Je kuna yoyote anajua anifahamishe utaratibu? Natanguliza shukrani Asante
0 Reactions
2 Replies
3K Views
jamani Kwa upande wng naona kama awa jamaa wanakosea katika ukusanyaji wao wa kodi na kumkadilia mfanya biashara Kwa maana makadilio yako wamesha yapanga na kuuliza mauzo ya mlipa kodi ni kumtoa...
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Hellow! Naomba msaada wenu nataka niwe naagizia lipsticks then niwe naziuza hapa dar.Naombeni ushauri kwa wenye experience
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Salamu wakuu,naomba kufahamishwa bei ya gunia la vitunguu kwa sasa shambani na sokoni (K'koo).Ahsanteni sana
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wakuu, Kutokana na ugumu wa maisha na ajira ndo hatuelewi kama zitakuja lini nilipata wazo la kuuza simu yangu pendwa Tecno W3 kwa laki moja na kuamua kufanya hivi; Kama muonavyo hapo...
20 Reactions
112 Replies
12K Views
The problem of trading in uncertain times crept up on the Mentor Program Alumni forum and I have been thinking about my answer. The original answer I gave is shown below – I think one of the...
0 Reactions
0 Replies
421 Views
Binafsi napenda sana jitihada za Waziri wetu Lukuvi ambaye amekuwa kati ya mawaziri wachapa kazi. Hata hivyo sikubaliani kabisa na hii kauli yake ya kupima ardhi nchi nzima. Kimsingi hii nchi ina...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu wanajaii nimekuja kwenu kwa heshima zote kwa kuwa nyinyi ni wajuzi wa hili ninalotaka kuuliza ndugu zangu ipi fauda ya kuwa Na akaunti ya dola? Na je mtu mwenye kipato Kidogo Kama laki...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Wapambanaji wenzangu, naomba mnijuze kama BRELA wana tawi huku ili nifike mara moja nikafanye usajili. Kuna kipindi nilisikia wanafungua matawi mikoa mingine mbali na DSM, je kwa huku Arusha vip,wapo?
0 Reactions
9 Replies
8K Views
An underwater tunnel connecting Tanzania mainland to Tanzania Zanzibar is in the offing. The tunnel, which is scheduled to be operational come 2030, will carry high speed passenger trains...
7 Reactions
19 Replies
6K Views
Leo katika kuperuzi mtandaoni nimekutana na kitu ambacho ki naweza kuwa chanzo cha kujipatia kipato kwa vijana, kwa kutumia matairi ya gari yaliyomaliza muda wake kwa kutengeza vitu vifuatavyo Kwa...
3 Reactions
8 Replies
10K Views
Naomba msaada jinsi ya kupata mashine ya EFD kwa sisi tulioko Mikoani. Nina photocopier kuna kazi za shule wanadai uwe na EFD
0 Reactions
8 Replies
2K Views
BARAZA la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limesaini mkataba wa ushirikiano na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kwa ajili ya kuhamasisha na kuelimisha umma kuhusu masuala ya...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Matajiri wakubwa nchini ambao ni Rostam Azizi, Regnald Mengi, Mo na Bakhresa, katika kusoma historia ya maisha yao na jinsi walivyoanza kutajirika naelekea kuvutiwa zaidi na huyu Bakhresa ambaye...
4 Reactions
10 Replies
25K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…