Katika kuwatambua kisheria wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama wamachinga nchini, Serikali inapaswa kuwabaini, kuwasajili katika mfumo sahihi wa kodi hivyo kupelekea wamachinga kulimbikiziwa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza...ninataka kuanzisha project fulani hivi ambayo bajeti yake ni zaidi ya m17....hivyo nilikuwa nahitaji kukopa zaidi ya milioni 25....security pekee niliyonayo...
Wasalaam wakuu.
Niwape pole na majukumu ya kipindi hiki cha siku kuu.
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Ninahitaji kununua mashamba mkoa wa Morogoro kwa bei ndogo wa lengo la kuendeleza...
Leo katika Soko la Hisa la Dar es Salaam hisa za Bank ya NMB zimeporomoka Bei kutoka Sh. 2,750p hadi sh.2,340p mdondokeo Mkubwa zaidi wa Pua (Nose dive).
Wale wafuatiliaji wa Mambo ya Hisa...
Wadau mi naomba kutolewa japo format ya mahesabu ya mwaka yanayo enda tra..ili kukatwa kodo..na je ni vitabu gani tra wakija ofcn huwa wanavikagua...naombeni msàada
Anakaribishwa yeyote anayehitaji mlango / milango ya kupanga katika fremu zilizopo King'azi (Maramba Mawili uelekeo wa barabara ya kwenda Kinyerezi).
Fremu hizi zipo barabarani na ni eneo ambalo...
Habarini wana JF wenzangu,
Naombeni msaada
Nataka kuagiza vitu kutoka nje lakini vije kupitia ndege.
Je kuna yoyote anajua anifahamishe utaratibu?
Natanguliza shukrani
Asante
jamani Kwa upande wng naona kama awa jamaa wanakosea katika ukusanyaji wao wa kodi na kumkadilia mfanya biashara Kwa maana makadilio yako wamesha yapanga na kuuliza mauzo ya mlipa kodi ni kumtoa...
Habari wakuu,
Kutokana na ugumu wa maisha na ajira ndo hatuelewi kama zitakuja lini nilipata wazo la kuuza simu yangu pendwa Tecno W3 kwa laki moja na kuamua kufanya hivi;
Kama muonavyo hapo...
The problem of trading in uncertain times crept up on the Mentor Program Alumni forum and I have been thinking about my answer. The original answer I gave is shown below –
I think one of the...
Binafsi napenda sana jitihada za Waziri wetu Lukuvi ambaye amekuwa kati ya mawaziri wachapa kazi. Hata hivyo sikubaliani kabisa na hii kauli yake ya kupima ardhi nchi nzima.
Kimsingi hii nchi ina...
Ndugu zangu wanajaii nimekuja kwenu kwa heshima zote kwa kuwa nyinyi ni wajuzi wa hili ninalotaka kuuliza ndugu zangu ipi fauda ya kuwa Na akaunti ya dola? Na je mtu mwenye kipato Kidogo Kama laki...
Wapambanaji wenzangu, naomba mnijuze kama BRELA wana tawi huku ili nifike mara moja nikafanye usajili. Kuna kipindi nilisikia wanafungua matawi mikoa mingine mbali na DSM, je kwa huku Arusha vip,wapo?
An underwater tunnel connecting Tanzania mainland to Tanzania Zanzibar is in the offing. The tunnel, which is scheduled to be operational come 2030, will carry high speed passenger trains...
Leo katika kuperuzi mtandaoni nimekutana na kitu ambacho ki naweza kuwa chanzo cha kujipatia kipato kwa vijana, kwa kutumia matairi ya gari yaliyomaliza muda wake kwa kutengeza vitu vifuatavyo
Kwa...
BARAZA la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limesaini mkataba wa ushirikiano na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kwa ajili ya kuhamasisha na kuelimisha umma kuhusu masuala ya...
Matajiri wakubwa nchini ambao ni Rostam Azizi, Regnald Mengi, Mo na Bakhresa, katika kusoma historia ya maisha yao na jinsi walivyoanza kutajirika naelekea kuvutiwa zaidi na huyu Bakhresa ambaye...