asante mkuuunaweza kupata mkuu,chamsingi barua ya uthibitisho wa umiliki wa kiwanja(hati ya kimila) pamoja na barua ya mtendaji au mwenyekiti wa mtaa kukutambua kama mkazi na mmiliki wa kiwanja,wanakuja kuitazama nyumba then taratibu nyingine za kupata mkopo zinafuata.
Ila uwe makn na hzo pesa eeh ucjerudia nyumba za kupangaunaweza kupata mkuu,chamsingi barua ya uthibitisho wa umiliki wa kiwanja(hati ya kimila) pamoja na barua ya mtendaji au mwenyekiti wa mtaa kukutambua kama mkazi na mmiliki wa kiwanja,wanakuja kuitazama nyumba then taratibu nyingine za kupata mkopo zinafuata.
Umempa angalizo la Msingi...!Ila uwe makn na hzo pesa eeh ucjerudia nyumba za kupanga
Crdb na nmb hamna kitu kama hichoUnaweza kupata mkuu,chamsingi barua ya uthibitisho wa umiliki wa kiwanja(hati ya kimila) pamoja na barua ya mtendaji au mwenyekiti wa mtaa kukutambua kama mkazi na mmiliki wa kiwanja,wanakuja kuitazama nyumba then taratibu nyingine za kupata mkopo zinafuata.
Mkuu habari,Wadau hivi inawezekana kupata mkopo kwenye mabenki esp. NMB na CRDB kwa dhamana ya nyumba isiyo na hati? ila hiyo nyumba ipo kwenye kiwanja kilichopimwa na kina offer/leseni ya kiwanja.
Msaada kwa wenye ufahamu