nyahinga
Member
- Dec 18, 2016
- 45
- 23
Uhali gani mwana Jamii Forum, natumaini umzima kabisa.
Husika sana na title hapo, napenda kuuliza: Inawezekana kwa mtu binafsi kuanzisha sehemu ya biashara zinazofanyika hasa vijijini ambazo zinafahamika kama minada, kawaida minada hii huwa na siku maalum kwa kila wiki. Je Kuna utaratibu wowote wa kufuata kama inawezekana kuanzisha hiyo business na kuruhusu watu kuja na bidhaa zao kuuza?
Ahsanteni sana wadau.
Husika sana na title hapo, napenda kuuliza: Inawezekana kwa mtu binafsi kuanzisha sehemu ya biashara zinazofanyika hasa vijijini ambazo zinafahamika kama minada, kawaida minada hii huwa na siku maalum kwa kila wiki. Je Kuna utaratibu wowote wa kufuata kama inawezekana kuanzisha hiyo business na kuruhusu watu kuja na bidhaa zao kuuza?
Ahsanteni sana wadau.