Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

WHY ONLY SORBONNE-EDUCATED, LITERATURE PH.D.S SHOULD CUT YOUR HAIR You get a haircut every few weeks. Everyone does. Men, women, children. Even balding men need a trim occasionally (as I’m...
1 Reactions
0 Replies
629 Views
Hii biashara ilivuma sana hasa ikihusisha na nguvu za kiume na watu walipiga hela sana kwa kuanzisha ufugaji wa kware na kuuza mayai yake lakini sasa naona kimyaa. Watu wakianza kuvumisha kitu...
9 Reactions
89 Replies
10K Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bearish The market has been showing weakness since last week (price dropped more than 1200 pips last week alone). A bullish attempt was made on February 26, but...
1 Reactions
1 Replies
544 Views
“ Serikali inafikiria kuweka akiba yake Benki Kuu kwa kutumia madini ya Tanzanite.” Hayo ni maneno ya Waziri mwenye dhamana ya fedha Dkt Philipo Isdor Mpango aliyoyatoa Novemba 2016, ikiwa ni...
0 Reactions
0 Replies
810 Views
Wakuu naomba kufahamishwa utaratibu kuwa kuanzisha na kusajili saccos ama kikoba.. Kwa maana ya idadi ya wanachama na vigezo muhimu vinavyozingatiwa kupata usajili. Naomba kuwasilisha..
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Waungwana habari za jumapili? Wakati flani nilipotembea hapo DSM nilishingazwa nilipokutana mtaani na jamaa ambaye alijivalia vizuri huku akiwa na kipaza sauti akitangaza kuwa yeye ana nunua Fedha...
3 Reactions
16 Replies
5K Views
Habar zenu kwa mtu anaejua kampuni ambazo mtu unaweza kuingia nazo mkataba wakujenge sehemu ya biashara...
0 Reactions
1 Replies
721 Views
KWA SHUGHULI NDOGO NDOGO NA VIKAO AWIMO BAR AND GUEST HOUSE INATOA UKUMBI, MUZIKI PAMOJA NA COCKTAILS BUREEE KABISA, NA ENDAPO NI SHUGHULI IHUSISHAYO WAPENDANAO kama Engagement tutawapatia zawadi...
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Leo nimependelea kushilikiana nanyi elimu hii ya ujasiliamali,karibuni kuchangia zaidi ili tupeane ujuzi zaidi; Mjasiliamali - ni mtu anayeiona fursa na kuifanyia kazi, Ujasiliamili - ni yale...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba tushauriane wana jf mana hapa Niko njia panda
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Samahani wanajanvi Mimi ni mjasiriamali pia Mwanafunzi.. Sasa nmejichanga na kununua pikipiki kwa mtu (used) na likizo ndo imefika na nataka kuipeleka mkoani. Ombi langu ni ushauri je naweza...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari wanaJFrm... Tupeane madini hapa. Ni Misingi gani unaweza mpatia kijana mwenye KIU ya kuingia katika safari ya Ujasiliamari na apate kufanikiwa.
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Hbr Wana jamvii. Nimesikia takwimu za wafanyabiashara wa kariakoo wakilalamika hali ya biashara kuwa ngumu... last time niliskia biashara 800 zimefungwa na wkt huo huo zikafunguliwa biashara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za saa wajasiriamali wenzangu. Naomba kujua kama Dhl wana agent Ruvuma -songea. Na kama hawapo ntaupataje mzigo wangu kwani kuna mzigo inabd nitumiwe toka nje na anataka kunitumia kupitia...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu, naomba kujua kama kuna gharama za ziada mbali na zinazoonekana kwenye calculator ya TRA na ile uliyolipa kwa muuzaji hadi gari kuingia barabarani. Ahsante!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Utengenezaji na uuzaji wa chapati hasa mida ya jioni ni biashara inayokua kwa kasi. Muda si mrefu biashara hii itaipiku biashara ya kukaangiza chips.
7 Reactions
45 Replies
20K Views
Habari Wakuu, Kwanza Napenda Kutoa Shukrani Za Dhati Kwa Watu Mbalimbali Wanaotoa Michango Yao Juu Ya Vitu Mbalimbali Hapa Jf Kwangu Mimi Jf Nin Zaidi Ya Ndugu. Baada Ya Kukaa Mtaani Na Kupigika...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello wakuu, naomba kujua habari za visiwa vya commoro, kibiashara zaidi na maisha ya huko kwa ujumla, na je kuna watanzania wanapeleka biashara yoyote huko, karibuni.
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Back
Top Bottom