Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habarini wandgu? Nina simu ya smarphone na huwa natumia muda mwingi saana kutumia kwa ajili ya social media n.k. Nimejitathimini na kujiuliza je kupitia hizi social media zinazonyonya muda wangu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna uzi uliletwa humu kama sikosei ilikuwa tarehe 22 February uliosema kuwa fursa yakujipatia pikipiki mpya kwaajili yakufanyia kazi kutoka kwawaziri waviwanda nauwekezaji Ndugu Charles mwijage...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Je, mnajua ni kosa kwa watu binafsi kukopeshana kwa riba? Ni muhimu sana kwenu kulijua hili. Anakuja mtu anaomba umkopeshe hela.Unamkubalia lakini kwa sharti la riba ya kiasi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau; Ndugu yangu ako na 15,000,000 nahitaji biashara itakyompa profit isiyopungua 3m kwa mwezi.Je ni biashara gani inaweza kuwa na return hiyo Asnateni kwa msaada
2 Reactions
74 Replies
12K Views
Najua watz wengi tunapenda michezo mbalimbali na haswa huu mpira wa miguu. Na hiii imeenda mbali zaidi kufikia hatua ya watz wenzetu kuiona hii ni kama fursa kwao ya kujiingizia kipato kulingana...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Waslaamu, Naomba maelekezo kwa aliyewahiq kukopa katika mabank hapa nchini,kwa miradi ya kilimo cha kumwagilia na greenhouse. Nitashukuru kupata maelekezo yenu. Siku njema.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1.Mfumo wa kutokupeda kujifunza,sio wengi wetu wanao penda kujifunza wengi wetu tunapeda kufanya mambo bila hata kufikiria namna ya kupata maarifa ya kutosha kuhusiana nalo. Tanzania tunayo...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari za kuamka Wanahitajika wabia wanne wenye uwezo wa kuwekeza katia ya milioni 1.5 hadi 7 katika biashara inayohusu elimu.Matarajio ya faida ni kati ya shilingi 300,000 hadi 750,000 kwa miezi...
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Wakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie...
6 Reactions
25 Replies
4K Views
Salaam Wakuu, Ni dhahir shair bila chembe ya kumung'unya kuwa uchumi umedorora, biashara zinafungwa na hali ya uchumi imekuwa ngumu kuitabiri Sabab mjasiriamali sio mwanasiasa ayo mengine...
8 Reactions
18 Replies
3K Views
Hivi ni nani ana mamlaka ya kuprint hela???? Kampumi gani ina print hela? Na wanafuata principles zipi,??? Kuna uhusiamo gani kati ya b.o.t na hao wanaoprint hela?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau, Nimepata fursa ya kupeleka USA baadhi ya bidhaa ambazo ni Matembele, Mchunga, Mbegu za mronge na Shanga za kimasai. Hivyo naomba kujua procedures za kufuata ili niweze kusafirisha...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hi wanabodi, Kipi kinamfaa mstaaf wa kitz afanye ili asitegemee watu kumsaidia, Nina mstaafu, kaanzisha biashara mara tatu kashindwa, nilimtrain awe na consistency ktk biashara, lakini kashindwa...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish The market is bearish, and the bearishness has been in place since February 16. Last week, price moved briefly below...
1 Reactions
0 Replies
414 Views
Wakuu heshima kwenu. Kwa yeyote anaejua utaratibu wa kubadilisha pesa chakavu (sio wale wanaonunua mtaani) naomba kujuzwa tafadhali. a) niende wapi? b) kuna kiasi cha kuanzia? c) ziwe katika...
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Ndugu wana JF, Mimi ni mtanzania ninaye tafuta fursa za kibiashara nje ya Tanzania.. Hususani nchi ya zilizoko ndani ya africa.. Tafadhali. Kama wewe unauzoefu wa biasha nje ya tanzania...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nimekuja na wazo la kuanzisha mobile toilets pembezoni mwa barabara zenye foleni sana hapa Dar maana nimefanya uchunguzi nimegundua kuna uhitaji mkubwa. Hasa mida ya jioni kuanzia saa 9 k...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Brand ya FILA siioni kabisa wakati enzi hizo naanza shule; begi, kiatu, soksi hadi chupi vilikuwa vimeandikwa FILA.
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Heshima kwenu wakuu, Mwenye uzoefu na biashara ya kuagiza mchele kutoka kwa wakulima huko Mbeya na kuusafirisha kuuleta hadi Dar. Naomba uzoefu na msaada wenu hapa.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom