nique bernie
New Member
- Oct 19, 2017
- 4
- 1
Wakuu habari za mida hii..
Asee nafikiria namna ya kuwa na savings account lakini ambayo itakuwa ni dollar account..
In the sense that..visenti vyangu ntavyokuwa navpata naviweka kwa hyo dollar saving account baada ya kuvibadlsha kupitia Bureau de change..
Nan anafaham bank nzur ambayo haina usumbufu kufungua dola account na charges zake ni za kawaida...
Msaada hapo kidogo
Asee nafikiria namna ya kuwa na savings account lakini ambayo itakuwa ni dollar account..
In the sense that..visenti vyangu ntavyokuwa navpata naviweka kwa hyo dollar saving account baada ya kuvibadlsha kupitia Bureau de change..
Nan anafaham bank nzur ambayo haina usumbufu kufungua dola account na charges zake ni za kawaida...
Msaada hapo kidogo