Heshima mbele!
Naomba msaada wenu kuhusiana na ambacho kampuni ya bia Tanzania imekuwa ikifanya kwenye baa za hapa DSM (nafikiri na mkoani pia). TBL wanam-approach mwenye baa na kumuuliza ni...
Wana JF natafuta wheelchairs kwa ajili ya mzee wangu.(kwa matumizi ya nyumbani)..kama kuna mtu anaweza kujua wapi zinauzwa na bei zake..anaweza kuweka hiyo duka ntawatemblea very soon..natanguliza...
Kitendo cha nchi ya kenya kumpa zawadi ya MTOTO WA DUMA bingwa mkimbiaji wa mita 100 Duniani kimeipa sekta ya utalii kenya sura ya pekee kwani imekua ni tangazo tosha katika vyombo vya habari...
Ndugu zanguni si haba kuwapa hawa ndugu zetu wanaojaribu kujitoa katika soko la urtumwa la swissport;leo hii swissport wameanza rasmi kujitegemea kwenye handling ...kazi ambayo imekuwa ikifanywa...
Katika Mzungumzo na rafiki yangu mmoja mgeni inaelekea hapa kwetu gharama za barabara ni aghali zaidi kuliko katika nchi nyignine za Afrika Mashariki.
Nachofahamu barabara ya rami kwa kilomita...
By Katrina Manson
Nov 3, 2009
The United States will give Tanzania a $37.7 million economic stimulus package to help the poor country weather the impact of the world financial crisis, a senior...
Ninafikiria kuanziasha kampuni tatu za kifamilia zenye kuhusika na sekta tatu tofauti ambazo hazina uhusiano wa moja kwa moja. Kampuni hizi zitakuwa chini ya kampuni moja (umbrella company)...
Kuuaga umaskini Tanzania, ni kazi kweli kweli.Fikiria haya yafuatayo:
Asilimia 50% ya idadi ya watu Tanzania ni wale wenye umri chini ya miaka 18.Hii inaashiria fertility rate kubwa sana...
Wana JF inaelekea Economic Planners wetu wako likizo.
Umeme unaozalishwa Tanzania ni mdogo sana, karibia 800Megawatts lakini planning yake kiuchumi inaelekea hakuna.Sisi tunashindwa hata ku-plan...
If you are interested in day trading or about to start day trading or have been doing daytrading, this is a wonderful book for you and whaat!! it is free...
A Safaricom sales representative arranges solar-charged mobile phone handsets for display at a retail centre in Kenya's capital Nairobi in this September 22 file photo...
26 October 2009
SPONSOR WIRE
UBA Tanzania has opened its doors to the public today, Monday 26 October 2009, following receipt of approval of the Bank of Tanzania to commence banking...
Ndugu zangu wana jamii,,
Mimi ni mtoto wa mkulima niliyepata nafasi ya kuja kuongeza elimu yangu kwenye moja ya nchi zilizo scandnavia,,nipo karibu kabisa kumaliza masomo yangu.
Lengo langu ni...
By Samuel Kamndaya
Swedish truck and bus maker Scania and Spanish vehicle bodybuilder Irizar have jointly launched a new Scania bus model in Tanzania.
The Scania F270 model was officially...
Katika pitapita zangu nimekutana na mjasiliamari anayeweza kutengeneza viatu kwa kutumia ngozi za ngombe na samaki.Nimevutiwa sana na nikajenga hamasa ili niweze kutengeneza rangi mbalimbali, kwa...
Mwanzo wa mwezi huu kuna watu watakwenda Dodoma kwa ajili ya kuanza kazi na waajiri wao wamewaambia kuwa watafikia New Dodoma Hotel kabla ya kupatiwa nyumba za kudumu kwa ajili wa makazi....watu...
Wakuu heshima mbele,
Nimefanikiwa kukamata 12,000,000 ambayo nataka kuizungusha kwa biashara ndogo, kuna watu wamenishauri kuwa kwa kiwango nilicho nacho naweza kununua BAJAJ 3 na kufanya...