Asante mkuu, nataka nipate used land engine mbili au refurbished one toka UK zikiwa complete na zifike DSM-Tz, then mimi nitalipa gharama zote zitakazokuwa zimetumika kununulia na kusafirisha plus comission na kama security ni nzuri kwangu basi naweza lipia kablalabda ungeli toa maelezo ya ziada ya kitu unachotaka kununua. Pia ueleze kama ni cha biashara , matumizi binafsi, n.k. Kisa cha kutka kulipa kwa Tshs ni nini?
Asante mkuu, nataka nipate used land engine mbili au refurbished one toka UK zikiwa complete na zifike DSM-Tz, then mimi nitalipa gharama zote zitakazokuwa zimetumika kununulia na kusafirisha plus comission na kama security ni nzuri kwangu basi naweza lipia kabla