Bajaj business, 12,000,000

Bado Niponipo

JF-Expert Member
Aug 15, 2008
680
168
Wakuu heshima mbele,

Nimefanikiwa kukamata 12,000,000 ambayo nataka kuizungusha kwa biashara ndogo, kuna watu wamenishauri kuwa kwa kiwango nilicho nacho naweza kununua BAJAJ 3 na kufanya biashara ya usafiri ya Bajaj.

Kinachotakiwa nifanye ni kununua hizo Bajaj 3, baada ya hapo natafuta watu watatu ambao kila mmoja nitampatia Bajaj moja moja, hawa jamaa watakuwa wakinilipa shiling 15,000 kila mmoja kila siku, lakini kufanya shughuri ya kukusanya hela iwe rahisi hawa jamaa watakuwa wana-bank sh 105,000 kila mmoja kila week...hesabu yake imekaa hivi.

3 bajaj x 105,000 kila bajaj kila week = 315,000 kila week.

315,000 X 52 weeks a year = 16,380,000

Kwa hesabu hiyo nitakuwa na uwezo wa kuingiza 16,380,000 kwa mwaka.

Matengezo ya Bajaj nimeambia ni ya gharama ya chini nitatumia chini ya 100,000 kwa kila Bajaj kwa Mwaka.

Wadau mnaonaje kuhusu hili, niko mbali na Dar na nadhani Bi mkubwa ataweza kabisa kusimamia mradi huu.
 
Wakuu heshima mbele,

Nimefanikiwa kukamata 12,000,000 ambayo nataka kuizungusha kwa biashara ndogo, kuna watu wamenishauri kuwa kwa kiwango nilicho nacho naweza kununua BAJAJ 3 na kufanya biashara ya usafiri ya Bajaj.

Kinachotakiwa nifanye ni kununua hizo Bajaj 3, baada ya hapo natafuta watu watatu ambao kila mmoja nitampatia Bajaj moja moja, hawa jamaa watakuwa wakinilipa shiling 15,000 kila mmoja kila siku, lakini kufanya shughuri ya kukusanya hela iwe rahisi hawa jamaa watakuwa wana-bank sh 105,000 kila mmoja kila week...hesabu yake imekaa hivi.

3 bajaj x 105,000 kila bajaj kila week = 315,000 kila week.

315,000 X 52 weeks a year = 16,380,000

Kwa hesabu hiyo nitakuwa na uwezo wa kuingiza 16,380,000 kwa mwaka.

Matengezo ya Bajaj nimeambia ni ya gharama ya chini nitatumia chini ya 100,000 kwa kila Bajaj kwa Mwaka.

Wadau mnaonaje kuhusu hili, niko mbali na Dar na nadhani Bi mkubwa ataweza kabisa kusimamia mradi huu.

Such a good idea, what you need is just a bit of entrepreneurship knowledge, and then...you take-off at jet-speed with your idea!Kupanga ni kuchagua, lakini mimi nasema pia kwamba KUCHAGUA NI KUPANGA, so go for what your heart feels undertaking, nadhani utakuwa na amani ya moyo zaidi, and under a good management you will prosper! Lakini kuna wanaJF ambao hadi dakika hii wanamiliki Bajaj, wanaweza kukusaidia zaidi..
 
Kweli watanzania sio wabunifu, yaani bajaj zilivyo jaa na wewe unaenda funga foleni??? Milioni 12 but ubunifu sifuri. Fuga kuku basi.
 
Kweli wa tz sio wabunifu,yaani bajaj zilivyo jaa na wewe unaenda funga foleni???????milioni 12 but ubunifu sifuri.fuga kuku basi

The Boss,

Hii imenivutia, Je ni kuku wapi wanalipa zaidi na kwa haraka, wa nyama au wa mayai? Unaweza kutoa mchanganuo wa kufuga kuku hasa kwa mtu anayetaka kuanza na kuku 1000?
 
Wakuu heshima mbele,

Nimefanikiwa kukamata 12,000,000 ambayo nataka kuizungusha kwa biashara ndogo, kuna watu wamenishauri kuwa kwa kiwango nilicho nacho naweza kununua BAJAJ 3 na kufanya biashara ya usafiri ya Bajaj.

Kinachotakiwa nifanye ni kununua hizo Bajaj 3, baada ya hapo natafuta watu watatu ambao kila mmoja nitampatia Bajaj moja moja, hawa jamaa watakuwa wakinilipa shiling 15,000 kila mmoja kila siku, lakini kufanya shughuri ya kukusanya hela iwe rahisi hawa jamaa watakuwa wana-bank sh 105,000 kila mmoja kila week...hesabu yake imekaa hivi.

3 bajaj x 105,000 kila bajaj kila week = 315,000 kila week.

315,000 X 52 weeks a year = 16,380,000

Kwa hesabu hiyo nitakuwa na uwezo wa kuingiza 16,380,000 kwa mwaka.

Matengezo ya Bajaj nimeambia ni ya gharama ya chini nitatumia chini ya 100,000 kwa kila Bajaj kwa Mwaka.

Wadau mnaonaje kuhusu hili, niko mbali na Dar na nadhani Bi mkubwa ataweza kabisa kusimamia mradi huu.

I thought bado upo upo kwanza!
 
the boss,

hii imenivutia, je ni kuku wapi wanalipa zaidi na kwa haraka, wa nyama au wa mayai? Unaweza kutoa mchanganuo wa kufuga kuku hasa kwa mtu anayetaka kuanza na kuku 1000?

kuku popote pale,we hakikisha bei yako haizidi 3500 mmoja.wateja watakuja kukugongea hadi usiku wa manane.
 
The Boss,

Hii imenivutia, Je ni kuku wapi wanalipa zaidi na kwa haraka, wa nyama au wa mayai? Unaweza kutoa mchanganuo wa kufuga kuku hasa kwa mtu anayetaka kuanza na kuku 1000?

Mkuu usiangalie faida tu angalia na risks, kuku wakipata kideri imetoka, Bajaj ikipata pacha unapeleka kwa fundu mwendo mdundo!
 
Kweli wa tz sio wabunifu,yaani bajaj zilivyo jaa na wewe unaenda funga foleni???????milioni 12 but ubunifu sifuri.fuga kuku basi

Sasa maneno ya kejeli ya nini tena kaka, nimeanzisha thread hii kuomba mawazo ya wanachama hapa JF na wala sikuanzisha thread hii kutafuta kejeli bali ushauri, wazo la kuku zuri lakini kama umenisoma vizuri nimewaeleza niko mbali na Dar na hivyo itakuwa vigumu kufanya biashara hiyo ya kuku.

Samahani kama nimekukwaza mkuu.
 
I thought bado upo upo kwanza!

Bi mkubwa kwetu sisi hunamaanisha mama...na si mke kama ulivyofikiri.
Bado nipo sana.

Vipi Biashara ya Bajaj unaionaje inalipa?..hasa hasa wazee wa serengeti inawafaa sana hii jioni mkiwa mnaingia maeneo kukamata moja baridi.
Unakuwa umeepuka Drink Driving
 
Uzuri wa biashara hii, unarudisha mtaji wako in one year time, the second year 16,000,000 mfukoni third year 16,000,000 4th year unauza hizo bajaj for 10,000,000.

So you can make a 42,000,000 profit in 3years time na kumbuka biashara hii haihitaji usimazi mkubwa toka kwako, wewe ni kumake sure jamaa wanakuletea hela yako kila week.

Mnaonaje.
 
Umeula kaka! Hesabu zako kali, lakini umeweka bajeti ya mapolisi na vimada wa madereva wako? Wao nao wanayo hesabu ya kuchuma ili bajaji hizo ziwapatie bajaji za kumiliki wenyewe na nyumba za kuishi na mali ya kuolea na za kumpelekea yule chui anayeshangilia mpira na chupa mkononi kwenye kideo.

Umeumia wewe peke yako kupata hiyo hela, walaji ni wengi zaidi ya wewe na wana matumbo makubwa zaidi. Vibajaj hivyo wewe unasema laki moja service kwa mwaka, labda utafanya mwenyewe, lakini kama watafanya wengine hiyo laki moja ni mara moja labda kwa mwezi.

Leka
 
Umeula kaka! Hesabu zako kali, lakini umeweka bajeti ya mapolisi na vimada wa madereva wako? Wao nao wanayo hesabu ya kuchuma ili bajaji hizo ziwapatie bajaji za kumiliki wenyewe na nyumba za kuishi na mali ya kuolea na za kumpelekea yule chui anayeshangilia mpira na chupa mkononi kwenye kideo.

Umeumia wewe peke yako kupata hiyo hela, walaji ni wengi zaidi ya wewe na wana matumbo makubwa zaidi. Vibajaj hivyo wewe unasema laki moja service kwa mwaka, labda utafanya mwenyewe, lakini kama watafanya wengine hiyo laki moja ni mara moja labda kwa mwezi.

Leka

Mkuu Leka, heshima mbele.

Nimepata wasaa wa kuwauliza wenye bajaj, wanadai mfumo ni kama wa biashara ya taxi, yeye hata akitengeneza 100,000 kwa siku wewe lazima upate 15,000 yako, nasikia biashara kama ikiwa mbaya dereva hakosi 30,000 kwa siku, kwa hiyo 15,000 yako iko palepale.
 
Ndugu yangu mawazo yako mazuri lakini katika kuweka hesabu yako umesahau
risks ya dereva wko akigonga mtu je utafanyaje au yeye akifa je. Nionavyo mimi nenda nazo kijijini ukafungue mraji wa KILIMO KWANZA PEMBEJEO.
 
Dah mkuu huu ubunifu nimeukubali kabisa ukipata madereva wazuri itakulipa tu.
 
Hi! i think you real need an assiatance in entrepreneurship as well as bznees kwa ujumla, kimsingi mkuu hatua ya kwanza huwa ni generation of bznes idea and then una fanya screening kupata at least the three best ideas halafu yanafuata mengine kupitia bznes planning, resource mobilization etc or otherwise if you dont mind plz let contanct via safariwafungo@yahoo.com/+255 (0) 713 764589 at any time, your welcome!
 
Ndugu yangu mawazo yako mazuri lakini katika kuweka hesabu yako umesahau
risks ya dereva wko akigonga mtu je utafanyaje au yeye akifa je. Nionavyo mimi nenda nazo kijijini ukafungue mraji wa KILIMO KWANZA PEMBEJEO.

Kilimo Kwanza SASA, MAISHA BORA 2015....HAHAHA.....lakini bajaj hata UKIWA mbali mtu mwingine anaweza kusimamia..fanya research inaweza lipa kaka..
 
Hi! i think you real need an assiatance in entrepreneurship as well as bznees kwa ujumla, kimsingi mkuu hatua ya kwanza huwa ni generation of bznes idea and then una fanya screening kupata at least the three best ideas halafu yanafuata mengine kupitia bznes planning, resource mobilization etc or otherwise if you dont mind plz let contanct via safariwafungo@yahoo.com/+255 (0) 713 764589 at any time, your welcome!

Duh...

Hope huta kula million moja 1,000,000 kwa ajili ya Bajaj Business Plan ukamwacha jamaa na 11,000,000.

MJ
 
Ushauri wangu usianze na bajaj tatu, biashara huwa hawaanzi hivyo. Wanaanza kidogo kidogo na kuangalia biashara inaendaje. Bora uanze na moja, ukiona biashara inaenda vizuri ndio uongeze, ila usile hizo pesa nyingine ziweke hata kwenye fixed deposit ya miezi mitatu-mitatu ili usiile. ukiona biashara inaenda vizuri unazitoa na kuongezea kwenye biashara yako, ukiona haifai utatumia zile ulizoweka akiba kuanza na wazo lingine
 
Ushauri wangu usianze na bajaj tatu, biashara huwa hawaanzi hivyo. Wanaanza kidogo kidogo na kuangalia biashara inaendaje. Bora uanze na moja, ukiona biashara inaenda vizuri ndio uongeze, ila usile hizo pesa nyingine ziweke hata kwenye fixed deposit ya miezi mitatu-mitatu ili usiile. ukiona biashara inaenda vizuri unazitoa na kuongezea kwenye biashara yako, ukiona haifai utatumia zile ulizoweka akiba kuanza na wazo lingine

Benki gani hiyo ya fixed ya three moths na Riba yake ikoje.

MJ
 
Start with one you fool! do not invest all yr monry first...kuwa kama wahindi their success is caution ...frst invest reap and invest agian..and you wll be filthy rich!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom