Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Wakuu heshima mbele,
Nimefanikiwa kukamata 12,000,000 ambayo nataka kuizungusha kwa biashara ndogo, kuna watu wamenishauri kuwa kwa kiwango nilicho nacho naweza kununua BAJAJ 3 na kufanya biashara ya usafiri ya Bajaj.
Kinachotakiwa nifanye ni kununua hizo Bajaj 3, baada ya hapo natafuta watu watatu ambao kila mmoja nitampatia Bajaj moja moja, hawa jamaa watakuwa wakinilipa shiling 15,000 kila mmoja kila siku, lakini kufanya shughuri ya kukusanya hela iwe rahisi hawa jamaa watakuwa wana-bank sh 105,000 kila mmoja kila week...hesabu yake imekaa hivi.
3 bajaj x 105,000 kila bajaj kila week = 315,000 kila week.
315,000 X 52 weeks a year = 16,380,000
Kwa hesabu hiyo nitakuwa na uwezo wa kuingiza 16,380,000 kwa mwaka.
Matengezo ya Bajaj nimeambia ni ya gharama ya chini nitatumia chini ya 100,000 kwa kila Bajaj kwa Mwaka.
Wadau mnaonaje kuhusu hili, niko mbali na Dar na nadhani Bi mkubwa ataweza kabisa kusimamia mradi huu.
Nimefanikiwa kukamata 12,000,000 ambayo nataka kuizungusha kwa biashara ndogo, kuna watu wamenishauri kuwa kwa kiwango nilicho nacho naweza kununua BAJAJ 3 na kufanya biashara ya usafiri ya Bajaj.
Kinachotakiwa nifanye ni kununua hizo Bajaj 3, baada ya hapo natafuta watu watatu ambao kila mmoja nitampatia Bajaj moja moja, hawa jamaa watakuwa wakinilipa shiling 15,000 kila mmoja kila siku, lakini kufanya shughuri ya kukusanya hela iwe rahisi hawa jamaa watakuwa wana-bank sh 105,000 kila mmoja kila week...hesabu yake imekaa hivi.
3 bajaj x 105,000 kila bajaj kila week = 315,000 kila week.
315,000 X 52 weeks a year = 16,380,000
Kwa hesabu hiyo nitakuwa na uwezo wa kuingiza 16,380,000 kwa mwaka.
Matengezo ya Bajaj nimeambia ni ya gharama ya chini nitatumia chini ya 100,000 kwa kila Bajaj kwa Mwaka.
Wadau mnaonaje kuhusu hili, niko mbali na Dar na nadhani Bi mkubwa ataweza kabisa kusimamia mradi huu.