Kaniki1974
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 352
- 22
Ninafikiria kuanziasha kampuni tatu za kifamilia zenye kuhusika na sekta tatu tofauti ambazo hazina uhusiano wa moja kwa moja. Kampuni hizi zitakuwa chini ya kampuni moja (umbrella company). Ninahitaji kujuzwa KITAALAM:
1. Kama ni wazo liwezekanalo kimanejiment
2. Masuala ya kodi
3. Kama umiliki hautakuwa issue
4. Uendelevu
5. Uwezekano wa kuzianzisha kwa pamoja/siku moja
Nahitaji ushauri wa kitaalaam.
Asanteni
1. Kama ni wazo liwezekanalo kimanejiment
2. Masuala ya kodi
3. Kama umiliki hautakuwa issue
4. Uendelevu
5. Uwezekano wa kuzianzisha kwa pamoja/siku moja
Nahitaji ushauri wa kitaalaam.
Asanteni